JWTZ badilikeni, dunia ya sasa hakuna vita ya kuvunja matofali kwa kichwa!

Kwa taarifa yako ukiifanya nchi kua yenye nguvu za kisasa kijeshi na siraha za kisasa ambazo utake usitake utamhusisha mzungu,elewa huo utakua ndiyo mwanzo wa nchi kuvamiwa,mzungu siyo rafiki, akikuona tu unajiimalisha kijeshi anakuja kwa mgongo wa jirani yako yoyote na anaanza kusema una siraha za maangamizi,rejea Iraq...anakuuzia siraha anachukua pesa,anakuchokoza ili uanze kutumia hizo siraha akuuzie tena zenye uwezo tofauti,maana anakuona una kiherehere, acha waKurya wavunje matofari ili tupone
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] aiseeee

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
 
[emoji1787]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…