inamankusweke
JF-Expert Member
- Apr 24, 2014
- 20,344
- 21,967
Ulikua na umri gani 2013?Anapokuja kwenye Sherehe zenu Kagame anawacheka tu mnapoonesha Askari wenu wana shuka na parachute na wengine kuvunja Matofali!! Hizo ni mbinu za vita za kale ; Kagame yuko kwenye cyber weaponry ambapo atawalipua Askari wenu wakiwa ndani ya ma handaki yeye akiwa Kigali!
Unataka kila mjeda ajue IT?!..mnashangaza sanaMaofisa wake wanapishana kwenye vibanda wa mafundi simu kwenda kuwekewa application ya Whatsup. Nakuachia mwenyewe utafakari weledi wao kwenye hii sekta.
Jibu lenye ukweli na maumivu chungu nzima.Angalia mtaani kwenu au ata kwenu kijijini nature ya watu wanao kuwa recruited Jwtz alafu ufanye generalisation kisha udraw conclusion.
Pass marks D mbili tu, urefu na utimamu wa mwili.🤣
Ndo moja ya taasisi yenye vilaza wengi per capita.
Soma tena. Kama nimeandika nataka kila mjeda ajuwe IT basi niite mbwa.Unataka kila mjeda ajue IT?!..mnashangaza sana
Si umesema maafisa wao hupeleka simu kwa fundi simu kuwekewa app,hapo umeshangaa maafisa kutojua kuweka appSoma tena. Kama nimeandika nataka kila mjeda ajuwe IT basi niite mbwa.
Wanajeshi wanapeana post kuingiza ndugu zao, sasa unategemea wataalam utawapataje?Nauliza tu…
Mara nyingi sasa tumeziona mbwembwe za makandoo wa JWTZ.
Tumeona jinsi wanavyovunja matofali kwa mikono.
Tumeona jinsi wanavyovunja vibao kwa mateke.
Tumeona jinsi wanavyobeba mabegi ya mgongoni makubwa na mazito.
Pia, tumeona na kumsikia msemaji wa jeshi letu akisema kuwa jeshi letu ni moja ya majeshi bora 6 duniani 🤣.
Sasa, kwa ufahamu wangu mimi, majeshi yote yaliyo bora duniani yana vitengo vya cyber warfare.
Wiki hii tumeshuhudia moja ya kazi za kitengo cha cyber warfare huko Lebanon.
Ingawa hawajakiri kuwa ni wao, lakini watu wengi wenye akili wana fununu kuwa ni akina nani hao waliohusika na kuzilipua pagers za Hezbollah……IDF kupitia kitengo chao cha cyber warfare.
Sijui Kama JWTZ wana hicho kitengo. Sina hakika kama wana uwezo hata wa kudukua mifumo yoyote iliyopo Burundi au hata Sudan ya Kusini.
Kwa mnaojua, JWTZ wakoje kwenye hayo mambo?
Kuweka app kunahitaji kuwa IT?Si umesema maafisa wao hupeleka simu kwa fundi simu kuwekewa app,hapo umeshangaa maafisa kutojua kuweka app
Kwani IT ni nini na app ni nini!?Kuweka app kunahitaji kuwa IT?
Anakuja saajenti anasema kuruta wote pale kihangaiko wakatike mauno awaone ili kuonesha uzalendo wa nchi yao.Huwezi kuwa na jeshi bora bila uwekezaji mkubwa hizo nchi zimewekeza mfano kama USA wizara ya Ulinzi ndo ina budget kubwa kuliko wizara zote na hata mfumo wao wa ajira ni tofauti Tz anaajiriwa Raia asie na vinasaba vya nchi tofauti, ila Usarmy utakuta hadi mchina, mnyakyusa, mkorea yuko ndani ya jeshi lao wao wanazingatia uwezo wa mtu haijalishi asili yake ni wapi lazima jeshi liwe bora.
Kwetu hapa uwekezaji ndani ya jeshi bado mdogo sana, Technology ni 0 maana hata vifaa vinavyotumika vyote ni vya kuletewa vingine hata marekebisho hatuwezi hadi tuombe msaada
Kibangu ?Kuna jamaa wanasimamia rada pale kambi x wakiwa mtaani wanajiita ma ma hacker eti kisa wanaona.kila.kimachopita angani ukowauliza Kuna cha.ziada.hawana, mtu una muuliza what is cyber attack hajui hata unasema nini Sasa ndo Hali halisi. Mimi nimekaa nao
Anakuja saajenti anasema kuruta wote pale kihangaiko wakatike mauno awaone ili kuonesha uzalendo wa nchi yao.
Hii nchi imeoza walahi
Kama tuma Vijana wa TISS kutwa nzima akitekenywa tu anasema mie ni Usalama. ( Ofcoz ni mwanausalama wa TISS).
Unadhan tunaweza kua na JWTZ Cyber unit yenye ubora, Uwezo ulotukuka??.
Sisi ya kwetu ni masifa na majiguvu tu.
Look, mwaka 2022 Mossad kupitia kampuni mbalimbali za ulaya, walifanikiwa kutengeneza Pagers, laptop, na simu ambazo Kwa pamoja zilipandikizwa milipuko. Fikiria Jambo kubwa kama Hilo, lakini Jamaa wanahakikisha vifaa hivo vitakwenda Kwa HEZIBOLLAH TU , kwamba hamna Raia wakawaida mwingine Ndani ya Lebanon na Dunia nzima atakayekua na kifaa hiko zaidi ya HEZIBOLLAH TU.
Angalia Kichapo wanachopewa HEZIBOLLAH Sasa !!.
Jana nilikua Job, kaletwa demu Yuko hoi, walomleta ni Wanawake wenzie majirani, huwezi amini walipofika tu ukasikia " jaman jaman msaidieeni huyu haraka Mumewe ni yule Usalama wa Taifa" ( Ofcoz ni kweli).
Kuna kipindi Niko ivoivo job, naletewa Faili na Nurse huku akiniambia.... Dokta Dokta doktaaa naomba unisaidie huyu Dada , ni mwanausalama wa Taifa ".
Acha kututishaHicho kitengo kipo msijaribu kuishi kwa mazoea!
Hapo wanafanya nini hao? 🤣
Last born wangu yuko primary anadownload app bila tatizo lolote, anapair device kwenye google tv anaangalia Youtube kwenye tv bila tatizo lolote, hiyo information technology alisoma lini?Kwani IT ni nini na app ni nini!?