JWTZ cyber warfare unit

JWTZ cyber warfare unit

Hii Nchi hakuna la maana
Tupo uchi na hatujui kama tupo uchi

Kinachotusaidia watanzania wengi wao niwajinga
Hata waliosoma niwajinga sanaa
Hamna mtu mjinga sema tu watanzania wengi wanapenda kuishi. Haijalishi wanaishije ila ilimradi wa exist tu.
 
Hii ni concept niliitaja kule National Vision 2050 ila sina uhakika kama watanielewa:
Kwa ufupi saana nazungumzia 'Network-Centric Warfare'.
 
Jana nilikua Job, kaletwa demu Yuko hoi, walomleta ni Wanawake wenzie majirani, huwezi amini walipofika tu ukasikia " jaman jaman msaidieeni huyu haraka Mumewe ni yule Usalama wa Taifa" ( Ofcoz ni kweli).

Kuna kipindi Niko ivoivo job, naletewa Faili na Nurse huku akiniambia.... Dokta Dokta doktaaa naomba unisaidie huyu Dada , ni mwanausalama wa Taifa ".
Wangempeleka Mzena tu.
 
Jeshi letu linahitaji mabadiliko ya kimfumo na kiutendaji ni wakati wa wao kuongeza wigo zaidi kwenye Researches and Development ,Jeshi la marekani kila kukicha linagundua teknlojia mpya kuanzia kwenye Vaccines ,Drones ,Drugs na Hata aina mpya ya Silaha.Tukiacha kupeleka watu ubalozini kama fadhila au njia za kunyamazisha watu na kupeleka watu wenye uwezo wa kuchukua teknlojia mpya huko nje na kurudisha nyumbani itatusaidia sana
 
Binafsi kama mm moja ya technology ambayo nmeikubal sana n ya ukrain kutumia drone kushushia mabomu yao kuulia mrusi ii n kali sanaa yan unamsubiri wakuvamie vita vya ardhin uko mtwara wee uko zako nanjirinji unatuma drone zako kazaa zenye kamera kali za kuzoom unajua kabsa apa nikidondosha iili bomu sikosi watatu au wanne walokua pamoja wanakula sogaaa......yan kama sisi kwa tunapoendelea inabd tutawale jeshi la anga mana ndo kila kituuu ....yan natamn sanaa hii technology.......lakn pia kwa anae jua nchi nzuri ya kusomea cyber ukawa nondo ashushe madini tuweze kuchangamka tuibadilishe nchii kama n mafisadi tunawavumbue ya siri wanayofanya mitandaon ....yan natamn sanaa na sisi tuogopwe kweny technology yan hata haya ma smg(sub machine gun) au ma Ak 47 ilibd technologia yake tuinunue tutengeneze za kwetu na kuanzia apoo tuzifanyie modification nzuri kutokea kweny iyo technology yan tutengeneze ma sniper rifle yakwet kama tunavoona kweny ile clip ma haramia wa hamas wakitengeneza ya kwao wenyw mbn pakistan wanajiundia ya kwao kwann sisi tushindwee bajet ikitengwa kwa mwaka n mara moja kila kitu kina maumivu yake kweny kukianzishaaa........yan nataman sana kupitia hizi opinion nizilizo nazo nizione kweny uhalisia wake ata one day tufike ad kutengeneza chopa na ata ma atomic bomb weny kila kitu naamn kina wezekana tukiamua na tukipata watu weny maono makali ya iviii ....ata kama tuna aman ila kujieka na kujiimarisha kijesh daaah tam sanaaa......
NB: HAYA NI MAWAZO NA NDOTO YANGU
HAYA NI MAWAZO NA NDOTO YANGU
HAYA NI MAWAZO NA NDOTO YANGU
nimerudia mara tatu nategemea positive feedback wapwa
 
Kwamba wawe na Unit 8200?

Majeshi yetu yote kwa kuangalia tu unajua hawana la maana.
 
Last born wangu yuko primary anadownload app bila tatizo lolote, anapair device kwenye google tv anaangalia Youtube kwenye tv bila tatizo lolote, hiyo information technology alisoma lini?

Au umekariri tu IT?
Ushasahau ulikotoka kihoja,hoja niliyemkoti alitaka kila afisa wa jeshi ajue kuinstall app,hoja yako ikawa hiyo siyo IT
 
Wewe ndio umeleta habari za IT, kuinstall app mpaka uwe IT wakati watoto tu wanafanya?
Suala lilikua kuinstall app ni IT au laa,kwa reply yako iliyomhusisha mwanao aliye primary tumemaliza kuwa hiyo ni IT,hata kuchoma CD ni IT
 
Back
Top Bottom