JWTZ cyber warfare unit

JWTZ cyber warfare unit

I disagree, jwtz imekuwa mordenized sikuizi. Watu wanakuwa recruited kutokana na mahitaji, kama wanataka infantry only ndio hao sasa , ila kama wanataka watu wenye elimu fulani na specialization fulani huwa wanachukua wasomi. Or wasomi ambao tayari wako ndani wanaendelezwa kwenye uwanja huo
Hao wasomi hata huku mtaani kwenye much more application na wanakohitajika zaidi hawapo au hawako-compitent..unamkumbuka yule proffessor aliyekiita UDSM chalalani??
Do you kama sehemu kubwa ya population hao wasomi hawatumii bongo zao unafikiri ndo utawapata jeshini?? Sisi kila kitu tia maji tia maji..ndo ukweli mchungu. Hutuwezi tukawaza na kuwekeza kwenye hayo mambo wakati bado watu tunabishana kuhusu katiba tu! Katiba tu - tunashindwa kuelewana - kuna kakikundi kanapenda hii katiba sababu inawasaidia wenyewe abd they dont care about the whole country.Sasa kama basic issues hizo tunashindwa unafikiri kuna brains huko ndani zinaweza kujitoa kabisa 100%?
Vijijini huko kuna umaskini wa kutisha - serikali ndo kwanza wanajinunulia migara ya 500M each...
Naamini hata jeshi letu ni kwa sababu hakuna kitu kinatupa namna ya kuwa-assess..lkn sisi tunaujanjaujanja mwingi sana na Rushwa..mambo ya Lugumi yale.Hakuna maendeleo yenye short cut...watu walioko mtaani ndo hao hao walioko jeshini..the same mentallity ndo tulichopanda.
 
Ni kosa kwa mwana-usalama kujitambulisha.

Ni kosa kwa mwana-usalama kutambulika (hata kama hajajitambulisha)

Ni kosa kumtambulisha mwanausalama.

Ni kosa!View attachment 3101058
Sasa hizi pimbi tunazo huku , masifaa mengi, kichwani sifuri .

Wanachoweza ni Mademu

Huwa mna Wana-recruit vipi watu kama Hawa ??.

Na ndipo tatizo lilipo, Undugu ,uchama.

Utapata matokeo gan??


Majuzi nakutana na jamaa yangu Mkoani Dodoma , tulosoma naye kidato Cha Sita, tukaanza kupiga stori zile za "Fulani Yuko wapi?"


Jamaa akaanza, Fulani ni TISS ( huyu jamaa Baba yake ni TISS) , Fulani ni mwanajeshi ( huyu jamaa Baba yake alikua mwanajeshi kile kipindi alikua Luteni Kanali ) , Fulani vile ,Fulani vile..

Unaweza kuona , vyombo Vyeti vya Ulinzi vina watu wa aina gan!!!.


Sasa vichwa kama hivo kwann wasimshauri Samia kua "CHADEMA wamepanga kupindua Serikali yako".
 
Lazima kitengo kama hivyo vitakuwepo ila shida ni bajeti na manpower iliyo na uwezo na.mambo hayo.
 
04 August 2024

Joint Counter-Terrorism military operations dubbed the “Peace Unity – 2024”

Chinese PLA and Tanzanian TPDF troops hold joint tactical training drills

View: https://m.youtube.com/watch?v=PIQFxh_wlko

Running from late July to mid-August, and focusing on joint counter-terrorism military operations, the “Peace Unity – 2024” joint military drill is being conducted both on land and at sea. The joint exercise aims to enhance the capabilities of the participating troops in joint counter-terrorism operations and to deepen military mutual trust and practical cooperation.
Source : Ariana News .
 
Sasa hizi pimbi tunazo huku , masifaa mengi, kichwani sifuri .

Wanachoweza ni Mademu

Huwa mna Wana-recruit vipi watu kama Hawa ??.

Na ndipo tatizo lilipo, Undugu ,uchama.

Utapata matokeo gan??


Majuzi nakutana na jamaa yangu Mkoani Dodoma , tulosoma naye kidato Cha Sita, tukaanza kupiga stori zile za "Fulani Yuko wapi?"


Jamaa akaanza, Fulani ni TISS ( huyu jamaa Baba yake ni TISS) , Fulani ni mwanajeshi ( huyu jamaa Baba yake alikua mwanajeshi kile kipindi alikua Luteni Kanali ) , Fulani vile ,Fulani vile..

Unaweza kuona , vyombo Vyeti vya Ulinzi vina watu wa aina gan!!!.


Sasa vichwa kama hivo kwann wasimshauri Samia kua "CHADEMA wamepanga kupindua Serikali yako".
Hawana ethics
 
Hao wasomi hata huku mtaani kwenye much more application na wanakohitajika zaidi hawapo au hawako-compitent..unamkumbuka yule proffessor aliyekiita UDSM chalalani??
Do you kama sehemu kubwa ya population hao wasomi hawatumii bongo zao unafikiri ndo utawapata jeshini?? Sisi kila kitu tia maji tia maji..ndo ukweli mchungu. Hutuwezi tukawaza na kuwekeza kwenye hayo mambo wakati bado watu tunabishana kuhusu katiba tu! Katiba tu - tunashindwa kuelewana - kuna kakikundi kanapenda hii katiba sababu inawasaidia wenyewe abd they dont care about the whole country.Sasa kama basic issues hizo tunashindwa unafikiri kuna brains huko ndani zinaweza kujitoa kabisa 100%?
Vijijini huko kuna umaskini wa kutisha - serikali ndo kwanza wanajinunulia migara ya 500M each...
Naamini hata jeshi letu ni kwa sababu hakuna kitu kinatupa namna ya kuwa-assess..lkn sisi tunaujanjaujanja mwingi sana na Rushwa..mambo ya Lugumi yale.Hakuna maendeleo yenye short cut...watu walioko mtaani ndo hao hao walioko jeshini..the same mentallity ndo tulichopanda.
Si wote walioko mtaani ni matutusa, ofcourse wasomi wengi wanasoma ili wafaulu na waajiriwe but kuna wale exception, ambao wana acquire skills na wako good in that ( wale talent). Hawa wako wachache but wako kwenye kundi hilo hilo la wasomi

ao swali hapa is not about usomi wa mtu, je anaweza fit hiyo eneo au job decription? That when test zanapotumika. Series of test mpaka wapate right person
 
Tanzania Kila kitu Kiko chini ya kiwango.kuanzia vyuo vinavyofundisha hizo kozi ukilinganisha na vya wenzetu wa ulaya.
Wameshaiona hii
Madawa yaliyo expire yanaingizwa nchini. Vyakula vilivyo expire vinaingizwa. Sukari isiyofaa kwa matumizi ya binadamu inaingizwa. Bidhaa zisizo na ubora toka China zinaingizwa. Wakati huohuo tuna TBS/TMDA, TISS. nk. Uchawa unalipa- ukiwa mzalendo utatafutiwa sababu.
Kwa hiyo kusema hatuwezi kuingizwa mkenge eti tuna watu wenye weledi, nina shaka.
Kwani hao uliowataja kazi yao ni kuhakiki vifaa vya kijeshi au vyakula.
 
Anapokuja kwenye Sherehe zenu Kagame anawacheka tu mnapoonesha Askari wenu wana shuka na parachute na wengine kuvunja Matofali!! Hizo ni mbinu za vita za kale ; Kagame yuko kwenye cyber weaponry ambapo atawalipua Askari wenu wakiwa ndani ya ma handaki yeye akiwa Kigali!
Wewe dogo acha ujuaji as if jeshi la Rwanda unalijua vizuri ndani na nje ya ulinzi na uwanja wa medani. Software engineer wapo wengi sana na cyber units zipi zaidi ya moja. Nawashangaa sana watu mnaobeza ni wivu tu zinawasumbua hamjui lolote ujinga tu
 
Nauliza tu…

Mara nyingi sasa tumeziona mbwembwe za makomandoo wa JWTZ.

Tumeona jinsi wanavyovunja matofali kwa mikono.

Tumeona jinsi wanavyovunja vibao kwa mateke.

Tumeona jinsi wanavyobeba mabegi ya mgongoni makubwa na mazito.

Pia, tumeona na kumsikia msemaji wa jeshi letu akisema kuwa jeshi letu ni moja ya majeshi bora 6 duniani 🤣.

Sasa, kwa ufahamu wangu mimi, majeshi yote yaliyo bora duniani yana vitengo vya cyber warfare.

Wiki hii tumeshuhudia moja ya kazi za kitengo cha cyber warfare huko Lebanon.

Ingawa hawajakiri kuwa ni wao, lakini watu wengi wenye akili wana fununu kuwa ni akina nani hao waliohusika na kuzilipua pagers za Hezbollah……IDF kupitia kitengo chao cha cyber warfare.

Sijui Kama JWTZ wana hicho kitengo. Sina hakika kama wana uwezo hata wa kudukua mifumo yoyote iliyopo Burundi au hata Sudan ya Kusini.

Kwa mnaojua, JWTZ wakoje kwenye hayo mambo?
Unataka ugundue nini? Kwa manufaa ya nani?
 
Nauliza tu…

Mara nyingi sasa tumeziona mbwembwe za makomandoo wa JWTZ.

Tumeona jinsi wanavyovunja matofali kwa mikono.

Tumeona jinsi wanavyovunja vibao kwa mateke.

Tumeona jinsi wanavyobeba mabegi ya mgongoni makubwa na mazito.

Pia, tumeona na kumsikia msemaji wa jeshi letu akisema kuwa jeshi letu ni moja ya majeshi bora 6 duniani 🤣.

Sasa, kwa ufahamu wangu mimi, majeshi yote yaliyo bora duniani yana vitengo vya cyber warfare.

Wiki hii tumeshuhudia moja ya kazi za kitengo cha cyber warfare huko Lebanon.

Ingawa hawajakiri kuwa ni wao, lakini watu wengi wenye akili wana fununu kuwa ni akina nani hao waliohusika na kuzilipua pagers za Hezbollah……IDF kupitia kitengo chao cha cyber warfare.

Sijui Kama JWTZ wana hicho kitengo. Sina hakika kama wana uwezo hata wa kudukua mifumo yoyote iliyopo Burundi au hata Sudan ya Kusini.

Kwa mnaojua, JWTZ wakoje kwenye hayo mambo?
Kitengo kipo mkuu and we'll trained, and well laying low
 
Kama tuma Vijana wa TISS kutwa nzima akitekenywa tu anasema mie ni Usalama. ( Ofcoz ni mwanausalama wa TISS).


Unadhan tunaweza kua na JWTZ Cyber unit yenye ubora, Uwezo ulotukuka??.

Sisi ya kwetu ni masifa na majiguvu tu.


Look, mwaka 2022 Mossad kupitia kampuni mbalimbali za ulaya, walifanikiwa kutengeneza Pagers, laptop, na simu ambazo Kwa pamoja zilipandikizwa milipuko. Fikiria Jambo kubwa kama Hilo, lakini Jamaa wanahakikisha vifaa hivo vitakwenda Kwa HEZIBOLLAH TU , kwamba hamna Raia wakawaida mwingine Ndani ya Lebanon na Dunia nzima atakayekua na kifaa hiko zaidi ya HEZIBOLLAH TU.



Angalia Kichapo wanachopewa HEZIBOLLAH Sasa !!.


Jana nilikua Job, kaletwa demu Yuko hoi, walomleta ni Wanawake wenzie majirani, huwezi amini walipofika tu ukasikia " jaman jaman msaidieeni huyu haraka Mumewe ni yule Usalama wa Taifa" ( Ofcoz ni kweli).

Kuna kipindi Niko ivoivo job, naletewa Faili na Nurse huku akiniambia.... Dokta Dokta doktaaa naomba unisaidie huyu Dada , ni mwanausalama wa Taifa ".
Hata Tanzania akisaidiwa na NATO, USA na UK tutakuwa kuliko Isreal. Watupe tu silaha, walete majeshi yao kama walivyopeleka Isreal
 
Nadhani kitengo kipo mkuu hivi karibuni jeshi lilikuwq linahitaji vijana waliosoma sayansi na IT hukuona lile Tangazo?

Wakapunguza na sifa kwa kuondoa kigezo cha kupitia JKT
Marekani kitengo cha cyber wanachukua mpaka umri wa miaka 39.

Jeshi letu nalo waangalie namna ya kupata wataalam , kwa baadhi ya maeneo.
 
Back
Top Bottom