gallow bird
JF-Expert Member
- Aug 10, 2024
- 3,915
- 6,272
Una uhakika yeye si miongoni mwao?Nina ndungu expert wa IT huwa anaitwa akafanye kaz huko makambini kwao huwa inanipa maswali mengi sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Una uhakika yeye si miongoni mwao?Nina ndungu expert wa IT huwa anaitwa akafanye kaz huko makambini kwao huwa inanipa maswali mengi sana
Mkuuu drone tuuu...kuruka na parachuti ni changamotoKwenye nchi za kifisadi kama ya kwetu kila idara ni upigaji tu. Kila siku wananunua vifaa na magari ya kichina sidhani kama wanajua hata kurusha drones
Katika kesi inayoendelea ya Boni Yai ndio walikuwa wanaomba hizi password lakini imekuwa NgumuHii kama ilikuwa ni kweli ni aibu.
mambo ya jeshi hayakuhusu kwa sababu wewe sio mwanajeshi, unataka ujue kila kitu cha jeshi ili iweje?Nauliza tu…
Mara nyingi sasa tumeziona mbwembwe za makomandoo wa JWTZ.
Tumeona jinsi wanavyovunja matofali kwa mikono.
Tumeona jinsi wanavyovunja vibao kwa mateke.
Tumeona jinsi wanavyobeba mabegi ya mgongoni makubwa na mazito.
Pia, tumeona na kumsikia msemaji wa jeshi letu akisema kuwa jeshi letu ni moja ya majeshi bora 6 duniani 🤣.
Sasa, kwa ufahamu wangu mimi, majeshi yote yaliyo bora duniani yana vitengo vya cyber warfare.
Wiki hii tumeshuhudia moja ya kazi za kitengo cha cyber warfare huko Lebanon.
Ingawa hawajakiri kuwa ni wao, lakini watu wengi wenye akili wana fununu kuwa ni akina nani hao waliohusika na kuzilipua pagers za Hezbollah……IDF kupitia kitengo chao cha cyber warfare.
Sijui Kama JWTZ wana hicho kitengo. Sina hakika kama wana uwezo hata wa kudukua mifumo yoyote iliyopo Burundi au hata Sudan ya Kusini.
Kwa mnaojua, JWTZ wakoje kwenye hayo mambo?
Huyo hana tofauti na jirani yangu anaejifanya kujua mambo ya ndani kwangu lakini hata siku moja hajawai kuingia ndani kwangu!![emoji113]mambo ya jeshi hayakuhusu kwa sababu wewe sio mwanajeshi, unataka ujue kila kitu cha jeshi ili iweje?
Kwa nini imekua ngumu wakati swala lipo kwenye uchunguzi!? Je kwa kuficha password huoni kama ni hijuma hiyo ili uchunguzi ufeli!!??Katika kesi inayoendelea ya Boni Yai ndio walikuwa wanaomba hizi password lakini imekuwa Ngumu
Mbona hata polis nkiibiwa simu hawajawai kuikamata?Police wao wana Cyber kukimbizana vibaka wa simu tu.....research and Development hakuna JW wala Police.....labda TISS kidogooo wana kitengo kinafanana hicho
wana tabu sana watu wa namna hiiHuyo hana tofauti na jirani yangu anaejifanya kujua mambo ya ndani kwangu lakini hata siku moja hajawai kuingia ndani kwangu!![emoji113]
Kwa hiyo unataka kuzama pm kwangu?Kuna mtu ameniambia kuna kina dada huwa wanafanya biashara mtandaoni akishakufuata kwenye posti yako halafu anakuelekeza pm hivyo leo amenitokea na asubuhi wacha nimsikilize!
Unavyotutisha hadi nahisi hakipo!Hicho kitengo kipo msijaribu kuishi kwa mazoea!
Nguvu asilimia 80, akili asilimia 20
20 nyingi sana labda 5Nguvu asilimia 80, akili asilimia 20
😂😂😂 Hii ya email mbil namim naitaka aseeWaziri wa ulinzi mwenyewe hata Darubini hajui kuitumia......Cyber attack umeenda mbali sana hao Wanajeshi sidhani hata kama Kutumia Emails mbili ndani ya simu moja wanaweza.
Kwa hiyo kama huyo ukoo hauna akili itakuwaje sasa!Wanajeshi wanapeana post kuingiza ndugu zao, sasa unategemea wataalam utawapataje?
Hujataka tu....wanaweza ila utaliwa hela bure...uambiwe iko arusha utoe nauli...Mbona hata polis nkiibiwa simu hawajawai kuikamata?
Kama kipo nchi inahuzwa wapo tu na walihapa kulinda nchi na mipaka yake viva TroureHicho kitengo kipo msijaribu kuishi kwa mazoea!
Kama kipindi kile walinunua rada mtumba ndio useme tuna wataam hao ni wanyanyua vitu vizito siyo makomando kama marehem TamimKuwalipua maadui kwa simu zao na pagers wataanza kujifunza wakipitia hii mada kila kitu ni kujifunza,sidhani kama Jeshi letu linaweza likaingizwa mkenge na kuuziwa vifaaa vya mawasiliano vya kuwalipukia wenywewe,Wataalamu wetu wenye weledi wa hali ya juu, pamoja na ndugu zetu wachina,wacuba warusi watahakiki kabla hatujaanza kuvitumia.
Naunga mkono hoja ujinga ndio mtaji wa CCM siku wajinga wakipungua kwenye hii nchi basi ndio utakuwa mwisho wa CCM kutawala.Hii Nchi hakuna la maana
Tupo uchi na hatujui kama tupo uchi
Kinachotusaidia watanzania wengi wao niwajinga
Hata waliosoma niwajinga sanaa