JWTZ kutumwa tena DRC, Rais wa DRC asema kikosi cha Afrika mashariki kinashirikiana na M23 kuimaliza DRC

JWTZ kutumwa tena DRC, Rais wa DRC asema kikosi cha Afrika mashariki kinashirikiana na M23 kuimaliza DRC

Askari wa chini yake kumwacha akijiuzulu bila kumshughukia kijeshi hawajakitendea haki jeshi la Kenya alitakiwa kurudi Kenya akiwa kwenye jeneza Askari walio chini yake wangemalizana naye

Kwa nini? Yeye kama kamanda kama msaliti anasababisha Askari wadogo kupigwa Risasi na kuuawa na M23 yeye akiwa tu anakula nao pizza na chips kuku

Askari wadogo walitakiwa wamuue arudi maiti Kenya

Sababu aweza toa maelekezo mabovu kwa kujikomba kwa M23 yakasababisha Askari wadogo kufa dawa ilitakiwa kumuuua akiwa kongo maiti wampelekee Ruto wanwambie M23.wamemuua vitani kwa ambush

Kamanda vitani anatakiwa kutokuwa muoga wala kuungana na adui ina cost Askari wadogo waweza uawa kama kuku vitani

Askari wadogo wa jeshi la Kenya walioko kongo hawajalitendea haki jeshi lao Kenya huyo Generali alitakiwa arudi Kenya akiwa kwenye jeneza
naungana na wewe
 
Askari wa chini yake kumwacha akijiuzulu bila kumshughukia kijeshi hawajakitendea haki jeshi la Kenya alitakiwa kurudi Kenya akiwa kwenye jeneza Askari walio chini yake wangemalizana naye

Kwa nini? Yeye kama kamanda kama msaliti anasababisha Askari wadogo kupigwa Risasi na kuuawa na M23 yeye akiwa tu anakula nao pizza na chips kuku

Askari wadogo walitakiwa wamuue arudi maiti Kenya

Sababu aweza toa maelekezo mabovu kwa kujikomba kwa M23 yakasababisha Askari wadogo kufa dawa ilitakiwa kumuuua akiwa kongo maiti wampelekee Ruto wanwambie M23.wamemuua vitani kwa ambush

Kamanda vitani anatakiwa kutokuwa muoga wala kuungana na adui ina cost Askari wadogo waweza uawa kama kuku vitani

Askari wadogo wa jeshi la Kenya walioko kongo hawajalitendea haki jeshi lao Kenya huyo Generali alitakiwa arudi Kenya akiwa kwenye jeneza
Mpaka raisi aje atamke hivo siyo kesi ndogo.

Japo sina uhakika na hili swala ila nimesikia Kuna kipindi m23 walikua wanajichanganya humo humo kwenye kambi zake.
 
Mpaka raisi aje atamke hivo siyo kesi ndogo.

Japo sina uhakika na hili swala ila nimesikia Kuna kipindi m23 walikua wanajichanganya humo humo kwenye kambi zake.
Dawa yao JWTZ Liingie kazini

Jeshi la JWTZ ambalo ni no nonsense army wakienda kupigana popote they mean business

Hakuna porojo ni vita tu na kupigana tu

Hawaelewi chochote zaidi ya vita kupigana tu 24 hours
 
Matatizo ya Drc na M23 hayawezi kumalizwa na JWTZ Kuna mengi zaidi yanatakiwa kufanyika zaid ya kupeleka JWTZ huko,

Rais Samia asiingiie kwenye huu mtego askari wetu wasije enda poteza maisha kwa faida ya wapuuzi wachache.
 
Majenerali wa Kenya ni kama Majenerali ya Urusi tu.
[emoji41][emoji41][emoji41]
Screenshot_20230510-132250.jpg
View attachment 2616705View attachment 2616706View attachment 2616707
 
Matatizo ya Drc na M23 hayawezi kumalizwa na JWTZ Kuna mengi zaidi yanatakiwa kufanyika zaid ya kupeleka JWTZ huko,

Rais Samia asiingiie kwenye huu mtego askari wetu wasije enda poteza maisha kwa faida ya wapuuzi wachache.
Askari wapo enlisted wakijua kuna kufa ni vyema wakapata uwanja wa medani wakajifunza zaidi, If they train hard then we expect less bloodshed.

Na wakitaka jeshi liende waondoe vikosi vyote vya East Africa hapo Congo ili kuondoa kile kilichomkuta Col Mamadou Ndala.
 
Mkuu jeshi letu we sikiliza tu hadithi za humu endelea na shughuli zako, ila moto wake unafahamika na nchi nyingi tu na tunaheshimika sana maeneo mengi tu
Waliingia visiwa vya Anzuani kama sikosei,usiku,asubuhi washaipindua serikali,kilichoifutia UN hapakuwepo na umwagaji wa damu.

Kwenye makablasha ya UN nahisi Tz imeandikwa Kwa peni nyekundu.

Kama utakumbuka,nchi ya kwanza barani Africa kukutana na Obama alipoingia madarakani ni TZ,wachambuzi wanasema ni Kwa sababu za misheni zake kijeshi.
 
Dawa yao JWTZ Liingie kazini

Jeshi la JWTZ ambalo ni no nonsense army wakienda kupigana popote they mean business

Hakuna porojo ni vita tu na kupigana tu

Hawaelewi chochote zaidi ya vita kupigana tu 24 hours
Hivi ni jwtz sindo jeshi mnaloliponda kila uchwao kwamba halifai na halina uwezo😃😃leo hii mnaona umuhimu wake sio?
 
Uadilifu hakuna kabisa tukiingia mkenge tutakutana na cha moto sana, Wale wanazungukana sana. hata hawa ma Op's Kamanda wa zile base, kama wanatamaa hakuna tutakachofanya. Maana watu wanakufata unaonyeshwa dunia inachokupa na njaa zako kusema Hapana ni Mungu tu.
 
Ndio maana kagame alikuja bongo alijua hesabu zao wanakuja kuomba jeshi letu. So mama anajua cha kufanya
 
Back
Top Bottom