JWTZ kutumwa tena DRC, Rais wa DRC asema kikosi cha Afrika mashariki kinashirikiana na M23 kuimaliza DRC

JWTZ kutumwa tena DRC, Rais wa DRC asema kikosi cha Afrika mashariki kinashirikiana na M23 kuimaliza DRC

Nawaamini wanajeshi wetu wa JWTZ... Hamjawahi kuniangusha. Kawekeni heshima tena huko
 
Tanzania iliwahi kuwa kiongozi wa kikosi cha SADC kilicho tumwa DRC mwaka 2010-214 kupambana na waasi wa M23.
Jeshi letu lilijua kumfurahisha na kumtokomeza kabisa M23, hali hii ilipelekea PK kuchukizwa na ghafla akaanza maneno ya chokochoko kwa JK
Sasa mbna walirudi tena huko hao M23 mnao sema walifurushwaaa na JWTZ?
 
maliasili za Africa ,ziliwe na wa afria ,bola pk anavyoziiba na kujenga nchi yake,wakongo si wanawahonga wazungu bule madini halafu wao wanabakia kuimba ndombolo na sukusi. Ila KDF ni jeshi la celemonial tu ,kwa battle ni viazi !!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaah
 
Matatizo ya Drc na M23 hayawezi kumalizwa na JWTZ Kuna mengi zaidi yanatakiwa kufanyika zaid ya kupeleka JWTZ huko,

Rais Samia asiingiie kwenye huu mtego askari wetu wasije enda poteza maisha kwa faida ya wapuuzi wachache.
Kuna vingi huwaga najiulizaga afu nakosaga majibu, kuhusu M23 huko Congo DRC.
 
Wacomgoman wajifunze kuacha kuendekeza mambo ya starehe na wanawake - muziki 24X7 - likitokea la kutokea ndio wanakwenda kuomba msaada wa kijeshi kutoka kwa nchi jirani, hawana hata mpango wa kuwapatia mafunzo ya kijeshi ya nguvu na nidhamu ya hali ya juu vijana wao - jeshi bila midhani na uzalendo ni sawa sawa na hakuna - ndio maana wanajeshi wake wasikia tu mlio wa mzinga au triple A's- wanatimua mbio mpaka wanapotezana.

Ndio maana siku za nyuma nilimshauri Tshekedi amuombe Putin azungumze na CEO wa Wagner Group ili awapatie wanajeshi wa Congo DRC mafunzo ya kijeshi ya hali ya juu na nidhamu juu.

Sio kila saa kuwapeleka wanajeshi wetu kwenda kuwasaidia wanajeshi ambao hawana nidhamu au kujielewa wamebweteka kabisa - ya nini kuendelea kuhatarisha maisha ya vijana wetu hii mpaka lini

Tsishekedi anapashwa kuelezwa na viongozi wa SADC na EA ukweli kwamba mwenye jukumu la kuhakakisha ulizi wa taifa lake ni yeye mwenyewe - msaada wa kijeshi uje tu inapo bidi sio kila tukio.
Andiko bora kabisa hili.
 
Kule DRC kunaonekana kuna hata watu wapo ndani ya drc government na wanashirikiana na waasi.
Juzi hapa general wa kenya kajitoa kule kwenye jeshi la East Africa maana anaona Uganda ambao wapo ndani ya jeshi la east Africa wanatoa siri kwa waasi wa drc.
Vitu ambavyo anajadili pamoja.
Jeshi la UGANDA UPDF ndo anakunywa uji wa mgonjwa ngoja baba yao TPDF aingie CONGO DRC kitakachofata ni vilio vya banyamurenge wakiomba pooo
 
Mtoto Wa Museveni aluwahi kusema anauwezo wa kuiteka Kenya Kwa massa 48!? Haya yalikuwa ni matusi Kwa Kenya
 
JWTZ inabezwa na wasioijua. Ni kwamba operation za JWTZ zinafanyika kwa usiri mkubwa sana. Op inakuja julikana years later vijiji vimesafishwa na wasumbufu wamesafishwa wote. Yaan ni kwamba op za JW zikiwekwa wazi ndo mtajua undava na unyama unaofanywa na vikosi vyetu ili kulinda amani ya Taifa na ukanda wa EA wote. Take it from me TPDF ikipewa mission, no living creature will be left behind breathing. Hata kitoto kichanga wakikikuta wanafagia.
 
... siungani na Felix; linchi lote lile size kubwa kuzidi bara Uropa kulialia dhidi ya kikoba cha M23 ni aibu sana. Hawezi apishe wenye uwezo badala ya kuwawekea kauzibe ili apite bila kupingwa; ampishe Katumbi.
Ktk nyororo looooote la watangaza nia umemuona katumbi tu
 
Wakenya waliopelekwa sio wanajeshi wa maana walienda tu. Kula dola za safari za nje

Jeshi gani ambalo Generali wake anakimbia vita?

Generali kiongozi wa vikosi kutoka Kenya kakimbia vita eti anaogopa kuuawa.Kichekesho vita alifikiri na ngoma ya mdundiko

Kenya hakuna jeshi walipeleka tu watoto wa vigogo na ndugu zao

Tanzania ikienda vitani haina utani ikiingia mahali lazima matokeo yaonekane
Okay
 
Back
Top Bottom