BLACK MOVEMENT
JF-Expert Member
- Mar 11, 2020
- 4,548
- 11,901
Hawa huo ndio kazi wanaweza,Warrbu wanatorosha wanyama kule Loliondo wao wako busy na magwanda ya mitumbaHivi kwa huu unyama unaotendeka hapa chini hili linafaa liitwe jeshi la Wananchi wa Tanzania au jeshi la Maharamia dhidi ya wananchi wa Tanzania?
CDF haya ndio mafunzo mnaowapa vijana wenu dhidi yetu Watanzania wenzao?
Ni sheria gani ya nchi na hapo jeshini inaruhusu huu upuuzi unaofanywa na hawa makamanda dhidi ya huyu mtu ?
Hivi hawa askari wanatengeza chuki gani kati ya jeshi na wananchi?
Naomba hatua za kisheria zichukuliwe kwa hawa makamanda wote waliofanya huu upuuzi.
Zipo mitaani kibao zinauzwa kwenye mitumbaHizo nguo za jeshi raia kazitoa wapi?
Nguo hizi zinauzwa madukani na kwenye mitumba, zikiwa ni za wakubwa na watoto wadogo kabisa. Kuwa na mabaka haihalalishi kufananishwa na za jeshi. Ni uamuzi usiofuata kanuni ya utawala bora. Vinginevyo walitakiwa wazinunue zote na wazichome na kisha watoe marufuku. Kukosa kazi unaweza fanya la kushangaza.Hivi kwa huu unyama unaotendeka hapa chini hili linafaa liitwe jeshi la Wananchi wa Tanzania au jeshi la Maharamia dhidi ya wananchi wa Tanzania?
CDF haya ndio mafunzo mnaowapa vijana wenu dhidi yetu Watanzania wenzao?
Ni sheria gani ya nchi na hapo jeshini inaruhusu huu upuuzi unaofanywa na hawa makamanda dhidi ya huyu mtu ?
Hivi hawa askari wanatengeza chuki gani kati ya jeshi na wananchi?
Naomba hatua za kisheria zichukuliwe kwa hawa makamanda wote waliofanya huu upuuzi.
Kabisaaa!!!Darasa la Saba hao mshahara Mdogo IQ ndogo too mediocre
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nguvu hii wangeiwekeza kwenye teknolojia tungekuwa mbali kijeshi
Utakuta ni form 4 failure wanafanya ujinga kama huo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kweli kabisaaTanzania ndio nchi pekee ambayo maswala ya akili hayajapewa kipaumbele.
Angalia tu mfano mdogo wakina Mwijaku na wenzake ambao ndio Machawa.
Hawa ndio wanaokubalika na ndio wenye nguvu kubwa ya ushawishi na serikali ndio inawatumia hawa kwenye propaganda zao.
Mfano leo hii upinzani wakaitisha mkutano Kariakoo kuelezea ubovu wa mkataba wa bandari kupitia vifungu vya katiba.
Serikali inaweza kuwatuma Mwijaku na Babalevo waende Kariakoo hapo hapo kufanya promosheni za kuwasifia Dp Wrld.
Si ajabu ukashuhudia wimbi la watu wengi wakajitokeza kuwatazama kina Mwijaku na Babalevo halafu mkutano wa kupinga mkataba ukakosa wahudhuriaji
Wale watu wote ambao ni conscious huwa hawafuatiliwi, jamii imewatenga wako isolated
Mawazo yao ambayo yanatija hayasikilizwi, ni watu ambao wanapuuzwa na kuchukuliwa poa kirahisi mno.
Kwasababu utamaduni tuliofikia sasa kama nchi ni kuwa watu hawapendi kuumiza kichwa kufanya tafakuri ya vitu.
Na ndio sababu watu hawa wenye akili waliopaswa kuwa asset wamejikuta wamepoteza ushawishi na kushindwa kukubalika.
Njoo kwenye mziki.
Leo hii hata uje na ngoma gani ambayo ni kali na yenye mafunzo lakini raia wataiacha yako watasikiliza "haaniiiiiiii"
Sasa unapokuja kwenye jeshi huko ndio kuna vituko.
Ukiachana na swala la kupeana shavu kwasababu ya undugu lakini jeshini kuna watu wanaweza kuajiriwa kwasababu wamejazia tu misuli.
[emoji625][emoji625][emoji625]Hiyo sababu haihalalishi huu ukatili wa kutesa mwananchi eti kisa wewe ni mwanajeshi, kama kweli wanataka hizo battle wakwende somalia huko wakakutane na maharamia waliopinda akili wapelekeane moto.
[emoji625][emoji625]Nimeanza kuelewa sasa kwanini hawa vipochi manyoya wakipigwa chuma huko Congo huwaga ni furaha kwetu.
Hawana elimu;vyeo vikubwa.
Una hoja usikilizwee.Wakati mwingine inashangaza sana. Hivi najiuliza nguo ya jeshi si mali ya jeshi? kwa hiyo raia nguo hizo wanazitoaga wapi?! Maana kama jeshi linafikia hatua ya kupiga marufuku uvaaji wa nguo zao basi kumbe inafikirisha kwamba wananchi wanaziiba huko jeshini?
Na kama zinaibiwa huko kisha kuja kuvaliwa mitaani basi kutakuwa na tatizo hapo. Lakini pia nimejiuliza ,hivi hapa Tanzania kuna raia anatengeneza hizo nguo?
Kama yupo maana yake akamatwe kisha achukuliwe hatua stahiki. Lakini kama raia wanakutwa na nguo zenye kufanana na za jeshi na ndio hao wanachezea kichapo basi pia tuipe lawama serikari kwa mifumo mibovu ya ku import bidhaa za madukani bila kujali kuwa wao wenyewe ndio tatizo maana wananchi wananunua madukani ambapo serikali imewakata kodi wafanya biashara.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Weekend hii nataka nitinge short pant na kitop cha bakabaka nililetewa zawadi kutoka UK, nitaenda kwenye beach yao pale Ulongoni nione watanifanya nini, nitawapa mrejesho.
Hata km rangi tofauti??Watapita na wewe kwa sababu nilisikia redioni kuwa sheria inakataza hata zile zinazokaribia kufanana na za JWTZ!
Yaan nivae nguo inafanana na sare ya jeshi la USA, afu jeshi la TZ wanikamate na kunipora? Huu uonevu sasa khaaa.Huruhusiwi kuvaa nguo ya Jeshi lolote lile.
Yaani jeshi la nchi yoyote ile, hata ya nchi ndogo ya Nauru.
Hizo zinazofanana ni sare za Jeshi la nchi nyingine.
Huruhusiwi kuvaa sare za Jeshi yoyote.
Umeelewa hapo Ndugu?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimekumbuka mbaliiiKuna mjeda amewahi nipora g shock anasema ni saa za jeshi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Me nilipiga kelele kama natangaza kwamba hizi ni saa za jeshi??
Akanizaba kibao
Sasa kosa la nani hapo?Zipo mitaani kibao zinauzwa kwenye mitumba
Ilikuaje myg[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimekumbuka mbaliii