JWTZ kuwatesa raia wanaovaa nguo za Jeshi ni ukatili

JWTZ kuwatesa raia wanaovaa nguo za Jeshi ni ukatili

Kwahyo ndio aambiwe aishike ikiwa inawaka moto? Tuwe na utu Demi #bythewaynimefurahikukuona
Aisee mimi hawa watu nawajua sana, nimeshuhudia adhabu zao nyingi wanazotoa. Hiyo adhabu ya huyo dogo ni cha mtoto.
Mzima lakini jirani?
 
Hii post imenikumbusha kitu hiki hapa
#46

Ni makosa kwa mtu yeyote kuchukua sheria mkononi, ila sasa na sisi raia tuwe tunakuwa na tahdahari kwa upande wa Wanajeshi kwa sababu bila tahadhari, na pale inapotokea Wanajeshi wamefanya makosa ya kuchukua sheria mkononi, unayeumia ni wewe raia

Nguo za kawaida za kuvaa zipo nyingi tu zimejaa tele, kwa nini wewe ukafakamie nguo za Jeshi, ilhali Polisi wanalalmika kila siku watu kutapeliwa na watu waliovaa mavazi ya kijeshi?

Mimi kwa kweli katika hili naweza nikawa niko upande wa Wanajeshi
Jinga kabisa wewe. Uko kwenye upande wa wapumbavu wanaotesa watu kwa sababu wanahisi wamevunja sheria? Unajua mahakama ziliwekwa za nini? Hivi tukiruhusu kila mtu kumfanyia unyama raia anayevunja sheria nchi itatawalika? Huoni hata wewe unaweza kulawitiwa kwa sababu tu kuna ameona umevunja sheria?
 
Kila nguo inayofanana na jeshi ni ya jeshi?Wao wanapungukiwa nini huko jeshini?
Usipovaa nguo inayofanana na ya jeshi unapungukiwa nini?
Tii sheria bila shurti.
 
Aisee mimi hawa watu nawajua sana, nimeshuhudia adhabu zao nyingi wanazotoa. Hiyo adhabu ya huyo dogo ni cha mtoto.
Mzima lakini jirani?
Na wewe unaona ni sawa? Kwasababu sio wewe au mtu wako wa karibu. Imagine alivyodhalilishwa mbele ya camera. Demi Demi Demi nimekuita thrice.
 
Na wewe unaona ni sawa? Kwasababu sio wewe au mtu wako wa karibu. Imagine alivyodhalilishwa mbele ya camera. Demi Demi Demi nimekuita thrice.
hajadhalilishwa bana msikuze mambo
😀😀. Kuna mtu ambae hajui kwamba inakatazwa kuvaa nguo za jeshi? Kila mara wanasema na sasa wameamua kutoa mfano ili iwe fundisho.
Mbona nguo za polisi hamzivai?
 
Walikuwa wana
Hivi kwa huu unyama unaotendeka hapa chini hili linafaa liitwe jeshi la Wananchi wa Tanzania au jeshi la Maharamia dhidi ya wananchi wa Tanzania?

CDF haya ndio mafunzo mnaowapa vijana wenu dhidi yetu Watanzania wenzao?

Ni sheria gani ya nchi na hapo jeshini inaruhusu huu upuuzi unaofanywa na hawa makamanda dhidi ya huyu mtu ?

Hivi hawa askari wanatengeza chuki gani kati ya jeshi na wananchi?

Naomba hatua za kisheria zichukuliwe kwa hawa makamanda wote waliofanya huu upuuzi.

Walikuwa wanawaona siku zote tena wengine wanawaazima raia wavae.raia anayedeka hivi kweli?mauwezo haya ndiyo uwezo wenyewe wa Kuvuta?
 
Hawa wa kwetu akili na upeo wao unawaza madem, bia,kununua ka gari mtumba,basi! Hawawazi, zaidi ya, hapo,
Wenzao West Afrika wanafanya mapinduzi
Hawana shuguli za kufanya hawa

Wanaofanya mambo haya

Ova
 
Lazima kuwe na tofauti,shida hizo sare huwa zinatumika vibaya baadhi ya sehemu kutapeli na kufanya uharifu.
 
hajadhalilishwa bana msikuze mambo
[emoji3][emoji3]. Kuna mtu ambae hajui kwamba inakatazwa kuvaa nguo za jeshi? Kila mara wanasema na sasa wameamua kutoa mfano ili iwe fundisho.
Mbona nguo za polisi hamzivai?
Waende wakalinde mipaka huko

Waachane na issue ndogo ndogo

Ambazo hazina kichwa wala miguu

Ova
 
Hivi kwa huu unyama unaotendeka hapa chini hili linafaa liitwe jeshi la Wananchi wa Tanzania au jeshi la Maharamia dhidi ya wananchi wa Tanzania?

CDF haya ndio mafunzo mnaowapa vijana wenu dhidi yetu Watanzania wenzao?

Ni sheria gani ya nchi na hapo jeshini inaruhusu huu upuuzi unaofanywa na hawa makamanda dhidi ya huyu mtu ?

Hivi hawa askari wanatengeza chuki gani kati ya jeshi na wananchi?

Naomba hatua za kisheria zichukuliwe kwa hawa makamanda wote waliofanya huu upuuzi.

Katiba mpya inahitajika haraka!
 
Waende wakalinde mipaka huko

Waachane na issue ndogo ndogo

Ambazo hazina kichwa wala miguu

Ova
Mipaka inalindwa.
Kuna wahuni hutumia nguo za kijeshi kufanya uhalifu, ni sahihi wao kufanya hivyo.
Kwani mkiacha kuzivaa mtapungukiwa nini? Mngekuwa hamjaambiwa ingeeleweka tatizo watu wabishi sana.
 
Back
Top Bottom