JWTZ kuwatesa raia wanaovaa nguo za Jeshi ni ukatili

JWTZ kuwatesa raia wanaovaa nguo za Jeshi ni ukatili

Low IQ, Majeshi mengi Duniani hufanya IQ testing kabla ya kuajiriwa Jeshini lkn Tanzania hakuna IQ testing matokeo yake ndiyo hayo Una Jeshi ambalo halijui hata jukumu lake ni lipi, hawajui hata kazi yao katika nchi ni ipi wanaishi kuleta ubabe kwa dala dala kwa raia wakati wamekuwa trained kuilinda nchi.

Mimi nimetembea nchi nyingi hata za Kiafrika hata hapo Kenya tu huwezi kuona Mwanajeshi anazurura mjini ukiona Mwanajeshi mjini wako kwenye gari na wana kitu wanafanya wakimaliza wanatokeamea hawana stori na mtu raia, Tanzania kila siku ugomvi na raia wanagombania wanawake, wakitoka mafunzoni wanaingia mtaani kupiga raia ambao walipaswa kuwalinda …
Kweli hawajui kazi yao
 
Hivi kwa huu unyama unaotendeka hapa chini hili linafaa liitwe jeshi la Wananchi wa Tanzania au jeshi la Maharamia dhidi ya wananchi wa Tanzania?

CDF haya ndio mafunzo mnaowapa vijana wenu dhidi yetu Watanzania wenzao?

Ni sheria gani ya nchi na hapo jeshini inaruhusu huu upuuzi unaofanywa na hawa makamanda dhidi ya huyu mtu ?

Hivi hawa askari wanatengeza chuki gani kati ya jeshi na wananchi?

Naomba hatua za kisheria zichukuliwe kwa hawa makamanda wote waliofanya huu upuuzi.

Hii post imenikumbusha kitu hiki hapa
#46

Ni makosa kwa mtu yeyote kuchukua sheria mkononi, ila sasa na sisi raia tuwe tunakuwa na tahdahari kwa upande wa Wanajeshi kwa sababu bila tahadhari, na pale inapotokea Wanajeshi wamefanya makosa ya kuchukua sheria mkononi, unayeumia ni wewe raia

Nguo za kawaida za kuvaa zipo nyingi tu zimejaa tele, kwa nini wewe ukafakamie nguo za Jeshi, ilhali Polisi wanalalmika kila siku watu kutapeliwa na watu waliovaa mavazi ya kijeshi?

Mimi kwa kweli katika hili naweza nikawa niko upande wa Wanajeshi
 
Sifa za kijinga tu na siungi mkono hili

Ila kwa upande mwingine tujiulize:

Ni kwanini Raia avae nguo za jeshi? Anachotafuta ni nini iihali kuna nguo za kiraia kila kona?

Tangazo lilitolewa na muda walipewa, kwanini wakaendelea kuvaa?
Taratibu za kinidhamu na kisheria zilipaswa zifuatwe ili kumuwajibisha huyo aliekiuka sheria na si kumpa adhabu kulingana na kanuni zako binafsi.

Chukulia mfano kila mtu kwa taifa hili awe anachukua hatua mkononi kumuwajibisha mkosaji wake unafikiri itakuaje, kuwa mwanajeshi haikupi wewe mamlaka kuwa juu ya sheria.
 
Wako sawa tuu mkuu inakuaje mtu una nunua nguo xa jeshi na kuzivaa ukiwa unajua wewe siyo mwanajeshi?

Na bado Hawa watu walivyo wa staarabu waliotoa siku saba watu wasarimishe nguo lakini Baado watu wamezifanya vichwa zao kuwa ngumu nabado tuwaone wanajeshi niwatu wabaya?

Hizo nguo wanazitumia kuteka watu kupora watu kubaka Dada zetu mitaani nahata kuporana wake bar nabado mnataka jeshi litumie uthtaalabu 🤣🤣 mtakuwa mnakosea kunawakati inabidi kutumia kichapo ili jeshi letu lisichafuke kisa wapuuzi wachache
 
Man 2 man hawawezi kabisa
Wao washazoea kuja kikundi

Ova
Usikalili Mzee wangu! Una haki ya kujitetea utakavyo lkn wanahaki yakutetea wanachoamini ndani ya kutetea maisha Yao,, usikalili ondoa hiyo notions mkuuu wangu! Kila binadam anamadhara haijalishi ni nani na yupo vip Kwa wkt gn,,,!
 
Hivi kwa huu unyama unaotendeka hapa chini hili linafaa liitwe jeshi la Wananchi wa Tanzania au jeshi la Maharamia dhidi ya wananchi wa Tanzania?

CDF haya ndio mafunzo mnaowapa vijana wenu dhidi yetu Watanzania wenzao?

Ni sheria gani ya nchi na hapo jeshini inaruhusu huu upuuzi unaofanywa na hawa makamanda dhidi ya huyu mtu ?

Hivi hawa askari wanatengeza chuki gani kati ya jeshi na wananchi?

Naomba hatua za kisheria zichukuliwe kwa hawa makamanda wote waliofanya huu upuuzi.

Hivi kwani kuvaa nguo za jeshi kuna shida gani zaidi ya kuonyesha uzalendo?

Mbona nchi zingine tena Africa na US unavaa fresh tu?

Tuna complicate sana mambo.
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wako sawa tuu mkuu inakuaje mtu una nunua nguo xa jeshi na kuzivaa ukiwa unajua wewe siyo mwanajeshi?

Na bado Hawa watu walivyo wa staarabu waliotoa siku saba watu wasarimishe nguo lakini Baado watu wamezifanya vichwa zao kuwa ngumu nabado tuwaone wanajeshi niwatu wabaya?

Hizo nguo wanazitumia kuteka watu kupora watu kubaka Dada zetu mitaani nahata kuporana wake bar nabado mnataka jeshi litumie uthtaalabu [emoji1787][emoji1787] mtakuwa mnakosea kunawakati inabidi kutumia kichapo ili jeshi letu lisichafuke kisa wapuuzi wachache

Kwani kuvaa nguo za jeshi kuna shida gani zaidi ya kuonyesha uzalendo, mbona nchi zingine watu wanavaa fresh

Ina maana hayo matukio sasa hivi hayatokei

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi kwa huu unyama unaotendeka hapa chini hili linafaa liitwe jeshi la Wananchi wa Tanzania au jeshi la Maharamia dhidi ya wananchi wa Tanzania?

CDF haya ndio mafunzo mnaowapa vijana wenu dhidi yetu Watanzania wenzao?

Ni sheria gani ya nchi na hapo jeshini inaruhusu huu upuuzi unaofanywa na hawa makamanda dhidi ya huyu mtu ?

Hivi hawa askari wanatengeza chuki gani kati ya jeshi na wananchi?

Naomba hatua za kisheria zichukuliwe kwa hawa makamanda wote waliofanya huu upuuzi.

Huu ni ushamba sana tunaomba JWTZ Mutembee duniani kuva nguo za Jeshi ni kitu cha kawaida sana as longer hawavai sare zenu .Dah hii nchi ina watu washamba sana munaonekana Jeshi letu muko coward sana nguo za jeshi tu munaogopa sasa Hao Wagner si mutatupa siliha kwa kutemea mbio na wabunge vile vile wacheni ushamba na ujinga .Safirini na tembeeni .Mama samia watembeze washamba wako na nguo zao wazijue tuko karne ya 21 mpk sasa munaogopa kivuli chenu.Nguo za jeshi Dubai mafundi wa cherehani wa kawaida ndio wanashona na vaa unavotaka hata vaa full combat.
 
Kwahyo kwenye uzi ule hujatosheka umeamua kuanzisha uzi mpya angalia dogo walishatoa katazo na epuka hisia kali kwenye jambo kama hili ambalo wafanye wasifanye ww hautapungukiwa na kitu cha msingi kama una ndugu anashobo na gwanda mwambie akazisotee asivae kizembe atapata tabu sana
Wanajeshi sema tu tunawaogopa lakini ukidinda wanaogopa pia. Saikolojia kuhusu jeshi ndiyo inatutesa.
 
🤣🤣si alivaa lakin mavazi yasiyo muhusu?
Akubali yoteee
Kama watu wanavaa sanda sembuse nguo za jeshi? Afu wanapenda hayo manguo wanapenda jeshi pia sema nafasi hawakuipata. Njia pekee ya kujifariji ni kuvaa nguo kama za jeshi.
 
Kuna binti alikulia ndani ya kambi ya jeshi mkoa x siku si siku dingi mjeda akadanja akahamia mkoa y sasa alizoea kupiga pigo za jeshi hafanywi kitu si dingi mjeda. We ikatokea siku moja akadakwa akiwa mkoa y tena na kuruta tu alitembelea magoti toka mwanzo wa mtaa hadi mwisho mara mbili wamama wakawa wanalia tu kuruta wala halijali kitu. Kisha akapekwa likampeleka kwao akavuliwa likasepa kilikuwa ni kipensi fulani hivi.

Yale unayowatendea wengine ipo siku kizazi chako kitalipwa. Nikawaza baba mtu angekuwa hai au hata kama amestaafu alafu asikie mjeda kamfanyia hayo mwanaye mkono wa hapo sipati picha.

Kingine wanajeshi wetu wanausongo sana na vita yaani wanamafunzo wasiyoyatendea kazi. Ingeanzishwa mieleka jeshini wawe wanazipiga ngumi kavu kavu mpaka majeruhi au kifo kabisa hii itawapa kujua utu ni nini. Au nchi ziandae mapigano kwenye mapori ka mafunzo hivi ila inakuwa live hii itawafanya wapungue na ajira kupatikana jeshini kuliko sasa walivyorundana makambini kula na kunywa tu mwishowe ndio haya tuyaonayo. Jeshi liingize pesa kwa kuanzisha michezo ya ngumi na iwe ni lazima kwa kila Mwanajeshi kushiriki ngumi hizo. Akila vitasa akamuoneshe na mkewe home. Naomba nipewe wizara ya ulinso na mambo ya ndani nimuingizie mama kipato kupitia jeshi.
 
Back
Top Bottom