JWTZ kuwatesa raia wanaovaa nguo za Jeshi ni ukatili

JWTZ kuwatesa raia wanaovaa nguo za Jeshi ni ukatili

Mtafute uyo mtu chuma au kama na wewe ni chuma vaeni gwanda alafu mkinaswa mkatoe somo kwa askari jeshi.

Akuna askari jeshi akakuona raia umevaa gwanda zao akukupa lugha laini kwa jambo ambalo lishakatazwa..yani jeshi akuite akwambie,👉"blaza asalam aleikum,,bwana yesu asifiwe,braza nakuomba ukavue izo gwanda aziruhusiwi kuvaa raia sawa braza,,haya kwaheri blaza,"
Kwan askari jeshi wote ni waonevu..mm nimesema hao waonevu
Kaka usomaji wako upoje au hujazoea sana kiswahili
Ninachopinga mm ni uonevu wala simtetei mtu anaevaa hizo gwanda maana ni kinyume cha sheria..na mkosefu anapaswa awajibishwe kwa sheria na sio uonevu
 
Kwan askari jeshi wote ni waonevu..mm nimesema hao waonevu
Kaka usomaji wako upoje au hujazoea sana kiswahili
Ninachopinga mm ni uonevu wala simtetei mtu anaevaa hizo gwanda maana ni kinyume cha sheria..na mkosefu anapaswa awajibishwe kwa sheria na sio uonevu
Mambo mengine mnawachokoza wenyewe nyie mnajua kabisa jeshi letu mazoezi ni Makali kinyama halafu hakuna mechi.
Acheni hizo nguo zao .Kukaa 40 bila kulala akili lazima itavaa kitu kipya Waulize 6weeks ni nini?
 
Haikubaliki kuchukua sheria mkononi ila na raia pia wakumbuke hawaruhusiwi kuvaa nguo za jeshi.

Majeshi yetu yana udhaifu kwenye kufanya good judgement kwahiyo sio vizur kuwa provoke, unaweza kufa kirahisi sana
Raia akikutwa na nguo hizo afkishwe kweny vyombo vya sheria ikibainika kama nguo hizo zimetoka China na zimelipiawa kodi basi aachiwe maana haileti maana[emoji120]
 
Kwahyo kwenye uzi ule hujatosheka umeamua kuanzisha uzi mpya angalia dogo walishatoa katazo na epuka hisia kali kwenye jambo kama hili ambalo wafanye wasifanye ww hautapungukiwa na kitu cha msingi kama una ndugu anashobo na gwanda mwambie akazisotee asivae kizembe atapata tabu sana
huna akili.
 
Hivi kwa huu unyama unaotendeka hapa chini hili linafaa liitwe jeshi la Wananchi wa Tanzania au jeshi la Maharamia dhidi ya wananchi wa Tanzania?

CDF haya ndio mafunzo mnaowapa vijana wenu dhidi yetu Watanzania wenzao?

Ni sheria gani ya nchi na hapo jeshini inaruhusu huu upuuzi unaofanywa na hawa makamanda dhidi ya huyu mtu ?

Hivi hawa askari wanatengeza chuki gani kati ya jeshi na wananchi?

Naomba hatua za kisheria zichukuliwe kwa hawa makamanda wote waliofanya huu upuuzi.

Nichukieni muwezavyo GENTAMYCINE japo Mimi siyo Mwanajeshi ila nawaunga mkono tena 100% kwa Adhabu zao Kali wanazotoa Kwetu Raia kwani tunadharau sana, Wabishi, tunawadharau, hatusikii, tuna mazoea nao ya Kijinga halafu tunapenda sana Kuwachukulia poa.

Hata Mimi GENTAMIYCINE nikikosea na Kuadhibiwa nao sitowalaumu kwani nawajua huwa hawakurupuki kutoa Adhabu na hawana huo Uhuni au Ukosefu huo wa Kimaadili tunaowalaumu nao hapa.

Tuacheni Unafiki na tutii AMRI zao Ok?
 
Kuna mjeda amewahi nipora g shock anasema ni saa za jeshi
 
Raia akikutwa na nguo hizo afkishwe kweny vyombo vya sheria ikibainika kama nguo hizo zimetoka China na zimelipiawa kodi basi aachiwe maana haileti maana[emoji120]
Hawana muda wa kubisha na wewe utazibuliwa tu acha kuvaa nguo zao
 
hizi shobo shobo kwenye nguo za wanajeshi binafsi sio kama ni sawa.

wacha wawafilimbe,mnuke mavi muache shobo dundo.
 

Attachments

  • IMG_2602.jpeg
    IMG_2602.jpeg
    106.7 KB · Views: 3
Kuna mmoja alizinguaga kitunda kwenye 2015 nahisi watu tu walichoka ndani ya dakika kumi watu kama 300 walikuwa wameshamznguka mwenye panga,kisu,nyundo,tyre.

Sema wakubwa wake wakaja yakamaliza kidiplomasia pale pale na fine wakatoa sijawahi muona tena.

Hivyo haya yanayofanywa sio ya kuyachekea sababu binadamu anatabia ya kuchoka siku wakichoka mnaweza sababisha yale ya arab spring na mengineyo tunayoyaona maana wenyewe hata laki 5 hawafiki wakati sisi tupo 45+m
 
Back
Top Bottom