Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wamewekwa busy wasichukue nchi kama kule Niger na Gabon leoHivi kwa huu unyama unaotendeka hapa chini hili linafaa liitwe jeshi la Wananchi wa Tanzania au jeshi la Maharamia dhidi ya wananchi wa Tanzania?
CDF haya ndio mafunzo mnaowapa vijana wenu dhidi yetu Watanzania wenzao?
Ni sheria gani ya nchi na hapo jeshini inaruhusu huu upuuzi unaofanywa na hawa makamanda dhidi ya huyu mtu ?
Hivi hawa askari wanatengeza chuki gani kati ya jeshi na wananchi?
Naomba hatua za kisheria zichukuliwe kwa hawa makamanda wote waliofanya huu upuuzi.
Wanajeshi wanaojielewa hawawezi deal na petty issues za manguo machupi mavitambaa nkWamewekwa busy wasichukue nchi kama kule Niger na Gabon leo
Nimecheka sana tena kwa nguvuWanajeshi wanaojielewa hawawezi deal na petty issues za manguo machupi mavitambaa nk
Ova
Nakumbuka kipindi cha zamani wanajeshi wakimaliza mafunzo wanakuja kuwapiga raia bila sababu ya msingiWanajeshi wanaojielewa hawawezi deal na petty issues za manguo machupi mavitambaa nk
Ova
Mfano mwingine tena, jeshi la Marekani wakati linafanya recruitment ya wanajeshi wa kupigana vita ya pili ya dunia kuna vijana wengi walikuwa na miaka 17 na 16 wako under age walidanganya umri wao, idadi yao ni kama 200,000.Sahihi sana mkuu, vita kuu ya pili ya dunia boats za raia zaidi ya 850 zilikwenda kuokoa askari wa Uingereza na allies ambao tayari walikuwa wamezungukwa,
Zaidi ya skari 336,000 waliokolewa, Operation Dynamo, inaitwa Miracle of Dunkirk, yalikuwa ni maajabu, jeshi la Hitler tayari lilikuwa karibu kuwamaliza askari hao na hawakuwa na mahala pakutokea, lakini kwa upendo wa wananchi waliamua kujitolea kwenda kuwakomboa askari hao, hata hivyo jeshi la Hitler lilijitahidi kuzuia uokozi huo lakini ndio hivyo kwa moyo waliokuwa nao wananchi wakashirikiana na jeshi hatimaye wakafanikisha operation hio ambayo haiwezi kusahaulika Miracle of Dunkirk.
Watu washenzi kwani huzivaa wakati wa mchana ? Huwa wanazifaa wanapo enda fanya ushenzi waoMbona sioni mateso yoyote hapo, naona kama anawekewa alama kwenye ubongo wake kuziogopa kabisa nguo za jeshi, madhara ya hizi nguo ni mabaya kweli zinapokuja kuvaliwa na watu washenzi.
Umeona sasa,huo ni ujinga tu na uonevu tuNakumbuka kipindi cha zamani wanajeshi wakimaliza mafunzo wanakuja kuwapiga raia bila sababu ya msingi
Watakuwezea wapi hukoHio mijamaa haina kazi,kazi ni kutesa raia,kubeti na umalaya tu mtaani.
Yawe yanapelekwa hata huko Yemen,syria nk kulinda amani huko
Zamani nilikuwa mjinga sana nilikuwa ninawatetea sana wanajeshi kabla ya kugundua kuwa wengi wao ni watu wa hovyo sana.Hivi kwa huu unyama unaotendeka hapa chini hili linafaa liitwe jeshi la Wananchi wa Tanzania au jeshi la Maharamia dhidi ya wananchi wa Tanzania?
CDF haya ndio mafunzo mnaowapa vijana wenu dhidi yetu Watanzania wenzao?
Ni sheria gani ya nchi na hapo jeshini inaruhusu huu upuuzi unaofanywa na hawa makamanda dhidi ya huyu mtu ?
Hivi hawa askari wanatengeza chuki gani kati ya jeshi na wananchi?
Naomba hatua za kisheria zichukuliwe kwa hawa makamanda wote waliofanya huu upuuzi.
na ukiwachapa mikono na combat zao.. msala mwingineUmeona sasa,huo ni ujinga tu na uonevu tu
Ova
Mbona wanafunzi wanavaa suruali za kaki na kijani? Au yale sio mavazi ya majeshi yetu?Haikubaliki kuchukua sheria mkononi ila na raia pia wakumbuke hawaruhusiwi kuvaa nguo za jeshi.
Majeshi yetu yana udhaifu kwenye kufanya good judgement kwahiyo sio vizur kuwa provoke, unaweza kufa kirahisi sana
Should be prohibited, importer wapishe bit, kuenea kwake kunaweza kuhamasisha uhalifu, due to availability! Yake.Watu washenzi kwani huzivaa wakati wa mchana ? Huwa wanazifaa wanapo enda fanya ushenzi wao
Man 2 man hawawezi kabisana ukiwachapa mikono na combat zao.. msala mwingine
Ndio ujanja wao upo hapo.. na ukiwagonga wakiwa kwenye uniform zao za kazi.. unapewa msala .. vyombo vya ulinzi vina onea sana watu..Man 2 man hawawezi kabisa
Wao washazoea kuja kikundi
Ova