hapana ndugu kwa huku kwetu sabab sisi ni shithole kantirii ni bora kukatazaHivi kwani kuvaa nguo za jeshi kuna shida gani zaidi ya kuonyesha uzalendo?
Mbona nchi zingine tena Africa na US unavaa fresh tu?
Tuna complicate sana mambo.
Sent using Jamii Forums mobile app
kuna mambwiga watazitumia vibaya
ila siung mkono walichomfanya dogo apo ni mambo ya kiwak