Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wakiwa zaidi ya wawili ndio itakua tabu kukabiliana naoHawa wajinga Sana jeshi la Ccm limejaa vilaza one day watajaa king ntawanyoosha
[emoji1787][emoji1787]Walisema baada ya siku saba watashikisha watu moto watakaokutwa wamevaa hizo nguo. Dogo alitaka kujua kwa vitendo kama kweli mtu anaweza kushika moto!!
Sasa lini umesikia "court martial" wakasikiliza kesi ya raia ?!!! [emoji15]Sasa si usivae tu, kwani sheria yenyewe ndio hiyo inakataza ambayo utakuwa umeivunja. Halafu kumbuka JWTZ wana mahakama zao (courts martial) na kwa kawaida hakimu ni OC kama sikosei. Sijawahi kusikia wakili msomi anaenda kutetea kwenye hizo mahakama!
Zinahamishiwa kule!Sasa lini umesikia "court martial" wakasikiliza kesi ya raia ?!!! [emoji15]
Hao wanajesh wako waonevu hawajawah tu kukutana na vyuma chakavu wafundishwe adabuKwa anaejua sheria avae suruali ya jeshi alafu ajipitishe Mgulani,makongo au pale sabasaba,ili wazee wa kwenzi jiwe wamnase alafu atumie sheria anazo jua kunusuru raia wanaovaa nguo za mbogamboga.
Huruhusiwi kuvaa nguo ya Jeshi lolote lile.Elewa kidogo.
Nguo za jeshi hazipo mtaani ila kuna nguo zinafafana na nguo za jeshi hizi hasa zinapatikana mitumbani huko au pengine.
Elewa neno kufanana/ kuelekeana.
Au nikuulize kila shati jeupe ni sale ya shule?
Kwa mantiki hiyo ukivaa nguo fulan inayofanana na jeshi wewe ni mwanajeshi?
MTU kama ni mbaya ni mbaya tu haijalishi kavaa au hajavaa nguo zinazofana naza jeshi.
Pili: hatupingi katazo bali Namana ya kushughurika na hao wanazivaa! Unaelewa utawala wa Sheria na HAKI.
Hakuna aliyejuu ya Sheria ni mahakama tu ndicho chombo chakutoa adhabu. Hao wamatoa wapi mandate hiyo?
Dunia ya Leo ni ya watu wastarabu mkuu mambo ya kiunyama hapana. Sheria zipo
[emoji1787][emoji1787]Itafika muda ata yale mabatiki ya rangirangi yatakatazwa kuvaliwa na raia kwa sababu yale yanamchanganyiko wa rangi
Key bord worrior.Hao wanajesh wako waonevu hawajawah tu kukutana na vyuma chakavu wafundishwe adabu
They are dealing with petty issues....Hivi kwa huu unyama unaotendeka hapa chini hili linafaa liitwe jeshi la Wananchi wa Tanzania au jeshi la Maharamia dhidi ya wananchi wa Tanzania?
CDF haya ndio mafunzo mnaowapa vijana wenu dhidi yetu Watanzania wenzao?
Ni sheria gani ya nchi na hapo jeshini inaruhusu huu upuuzi unaofanywa na hawa makamanda dhidi ya huyu mtu ?
Hivi hawa askari wanatengeza chuki gani kati ya jeshi na wananchi?
Naomba hatua za kisheria zichukuliwe kwa hawa makamanda wote waliofanya huu upuuzi.
Achana na waliotunga sheria,wewe unaweza elezea nini?Au humo KICHWANI hamna kitu?Sihitaji kujibu hilo kauliza waliotunga Sheria ya kukataza,
Soma vzuri uelewe...usisome kama unakimbizwa na vibakaKey bord worrior.
Vaa gwanda zao wakunase alafu wewe mtu chuma jitu mtu msitu uwashikishe adabu.
Mtafute uyo mtu chuma au kama na wewe ni chuma vaeni gwanda alafu mkinaswa mkatoe somo kwa askari jeshi.Soma vzuri uelewe...usisome kama unakimbizwa na vibaka
Nimemaanisha hao waonevu wakija kukutana na mtu chuma wataelewa somo
Na ugomvi wao mkubwa ni wa mademuThey are dealing with petty issues....
Watu wa ajabu sana hawaMakamanda zaidi ya watatu mna-deal na teenager WAs#ng$ tu