GANA BANKS
JF-Expert Member
- Apr 1, 2020
- 608
- 872
we nae akili zako kisoda kweli sasa ndo umeandika nini? unamtisha nani? kwa manufaa ya nani? kinachofanyika ni sawa jibu hoja acha kuruka ruka kiazi ww?Kwahyo kwenye uzi ule hujatosheka umeamua kuanzisha uzi mpya angalia dogo walishatoa katazo na epuka hisia kali kwenye jambo kama hili ambalo wafanye wasifanye ww hautapungukiwa na kitu cha msingi kama una ndugu anashobo na gwanda mwambie akazisotee asivae kizembe atapata tabu sana