JWTZ kuwatesa raia wanaovaa nguo za Jeshi ni ukatili

JWTZ kuwatesa raia wanaovaa nguo za Jeshi ni ukatili

Waajiriwa wengi hapo ni low IQ na wanajua kati makundi yanayoongoza kwa kutesa raia na wao wapo.
 
wajitafakari sana mwisho wao utakua mbaya sana,kuna mzee hapa mtaan kwangu alikua mwanajeshi sasa kafilisika kauza kila kitu saiz kes ipo kituo cha polis anatuhumiwa kumbaka mjukuu wake wa darasa sita binti mdogo kamharibu vibaya
 
Hivi huyo akifanya kosa halafu raia wakamuona na asikamatwe si watasema ni mwanajeshi? Nakumbuka hata tukiwa tulikuwa hatukatizi kwenye makambi yao labda kama umevaa nguo za shule lakini si vinginevyo
We mwanajeshi humjui?Yaani kichwa chako kinaamini kila anayevaa nguo ya jeshi au inayofanana na ya jeshi ni mwanajeshi?
 
Jeshi letu linavaa pensi? Unauliza yalipopatikana hayo mavazi kabla ya kuuliza jeshi liliyapotezea wapi hadi watu wakayapata


majambazi wanavaaga sare za jeshi eti eh?
Kuna watu wanaakili za kipumbavu sana.Eti mtu kavaa pensi yenye mabakabaka basi ni ya jeshi na atakua jambazi
 
Wapo iddle sana kazi hadi vita itokee ni lini, unaajiriwa hadi unastaafu vita haijatokea,ni wakati sasa wawasaidie police mtaani kupiga doria ill angalau wawe bize wakiwa bize mambo kama haya hatutoyasikia
 
Kwahyo kwenye uzi ule hujatosheka umeamua kuanzisha uzi mpya angalia dogo walishatoa katazo na epuka hisia kali kwenye jambo kama hili ambalo wafanye wasifanye ww hautapungukiwa na kitu cha msingi kama una ndugu anashobo na gwanda mwambie akazisotee asivae kizembe atapata tabu sana
Huu ni upuuzi kabisa.
 
Back
Top Bottom