Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Swali la msingiKwanini uvae nguo za jeshi na wanakataza kila siku? Tuanzie hapa kwanza
Naunga mkono hii hojaWazuie huko viwandani zisitengenezwe na sio kuonea wavaaji
Haya ni mawazo ya kipumbavu kama yao,ndio maana ujinga kama huu huwezi kuukuta kwenye jamii zilizostarabika hasa wazungu!!sheria zipo wazi kama mtu amekutwa na nguo ya jeshi nini kifanyike na sio upuuzi kama huo!!miafrika tuna shida sanaLakini si walitoa tamko ...
Wakienda huko hoiiiMadhara ya kukosa kazi ya kufanya, wapelelekwe Ukraine waone
We mwanajeshi humjui?Yaani kichwa chako kinaamini kila anayevaa nguo ya jeshi au inayofanana na ya jeshi ni mwanajeshi?Hivi huyo akifanya kosa halafu raia wakamuona na asikamatwe si watasema ni mwanajeshi? Nakumbuka hata tukiwa tulikuwa hatukatizi kwenye makambi yao labda kama umevaa nguo za shule lakini si vinginevyo
Ukivaa nguo ya jeshi, jeshi litapungukiwa nini?Huko nchi zingine wanajeshi wao wanapungukiwa nini coz ni mambo ya kawaida sana.Acheni kushabikia ufala Sina huruma na wapumbavu wote wanaovaa nguo za jeshi acheni upumbavu mafala nyie
Kuna watu wanaakili za kipumbavu sana.Eti mtu kavaa pensi yenye mabakabaka basi ni ya jeshi na atakua jambaziJeshi letu linavaa pensi? Unauliza yalipopatikana hayo mavazi kabla ya kuuliza jeshi liliyapotezea wapi hadi watu wakayapata
majambazi wanavaaga sare za jeshi eti eh?
Kila nguo inayofanana na jeshi ni ya jeshi?Wao wanapungukiwa nini huko jeshini?Kwanini uvae nguo za jeshi na wanakataza kila siku? Tuanzie hapa kwanza
Mtu amefeli kidato 4 ameenda police au jeshi unafikiri anaweza kufanya reasons ya vitu vidogo vidogo tofauti na mtu aliyeenda University?Wanajeshi wengi wana hiyo shida.. sijui huwa wanajiona nani.. Nimekutana na hizo case mala kadhaa.. hadi huwa najiuliza sana
Hacha ujinga wewe,kama walitoa tamko hicho wanachofanya ni taratibu ya kisheria.Lakini si walitoa tamko ...
Hyo ni nini kwa akili yako ndogo,mtu akivunja sheria kama mwanausalama walitakiwa kumpeleka police,huo moto ungemuunguza mwili mzima stori ingekuwa nyingine.Haya ndo yalimtokea Suwetu FundikiraHuyo hata hajateswa, tuviheshimu sana vyombo vyetu vya ulinzi.
Huu ni upuuzi kabisa.Kwahyo kwenye uzi ule hujatosheka umeamua kuanzisha uzi mpya angalia dogo walishatoa katazo na epuka hisia kali kwenye jambo kama hili ambalo wafanye wasifanye ww hautapungukiwa na kitu cha msingi kama una ndugu anashobo na gwanda mwambie akazisotee asivae kizembe atapata tabu sana