Mtu mwenyewe unaitwa Restless Hustler halafu unajipendekeza kupita maeneo ya jeshi, ulitegemea wakuache? Jeshini siyo soko la Tandale au Station ya Mwendokasi ambapo hata wazembe utawakuta. Lile ni eneo la wakakamavu tuMaaskari wa JWTZ wanapenda kufanya fujo mtaani na ubabe wa kipumbavu.
Binafsi niliwahi kupigwa na maaskari wa JWTZ bila sababu YEYOTE.
Siku nchi ikiingia kwenye changamoto ya kiusalama tutanguna na adui kuwapiga miti hawa malimbukeni.
Kwani TTCL au VODACOM kila mtu anaajirwa??Asante kwa mada hii. Nashauri elimu kuhusu jeshi isitolewe bali tubaki na uelewa huohuo ndiyo lina make sense.
TPDF siyo kama TTCL au VODACOM au TANESCO kila mtu alijuwe. Hivyo ndivyo jeshi linapaswa kuwa. Yaani lisizoeleke kabisa ndiyo ufanisi wake utakuwa mkubwa.
Wanajeshi wanafundishwa kuua tu?
Kuua ndio jukumu kubwa la jeshi??
Nyie wabongo ambao tu polisi wakiwatisha mnasepa? Muungane na adui yupi. Bado sana hiki kizazi bado sanaaMaaskari wa JWTZ wanapenda kufanya fujo mtaani na ubabe wa kipumbavu.
Binafsi niliwahi kupigwa na maaskari wa JWTZ bila sababu YEYOTE.
Siku nchi ikiingia kwenye changamoto ya kiusalama tutanguna na adui kuwapiga miti hawa malimbukeni.
wewe unatak jeshi liweje?Huu ndio ushamba wenyewe sasa
With all due respect jwtz ina track record nzuri sana when it comes to congo, kwanza ndio jeshi lililopotezq askari wachache kuliko jeshi lingine hapo congo.Wanachoniudhi hao jamaa ni kuonea raia kwa mambo madogomadogo lakini wakienda Congo huko wanatolewa kamasi na M23.
Ilikuaje hukutumia fursa ya hilo darasa kuwaelimisha unayotaka wayajue?Wiki iliyopita katika mizunguko yangu ya kusaka noti nilipanda daladala iliyokatiza Kurasini, kuna mahali magari yakasimama kuruhusu wanajeshi wengi waliokuwa wakivuka barabara kwa makundi huku wakiimba nyimbo zao.
Kama mnavyojua Watanzania ni watu wanaopenda na wazuri sana kuanzisha soga popote hata kama hawafahamiania, basi soga au stori za kupoteza muda kuhusu jeshi na wanajeshi zikaanza kwa mshwashwa mkubwa kila upande,
Wa kwanza niliyemsikia alikuwa ni kondokta, yeye alisema hao ndio wenye nchi yao tutulie tu wapite hatuwezi kushindana nao.
Mzee Mwingine aliyevalia kaunda suti wa miaka kama 55 hivi akasema tuogope sana watu waliofundishwa kuua tu, hao ni watu huwezi kushindana nao kabisa!, alikuwa akiyarudia haya maneno kila mara. Pia akaongezea hao watu wakipewa amri ya kuua mahali popote ni lazima kutekeleza bila kuhoji!
Mwanaume mwingine wa makamo akasema hapo huwezi kutofautisha kati ya mwanaume na mwanamke, cha ajabu mimi nilikuwa naona tofauti hiyo tena niliona mabinti wengi tu warembo sana katik hao wanajeshi.
Mwingine alisema kukitokea taharuki au sintofahamu yoyote kubwa katika nchi wao ndio kila kitu na hadi polisi wanageuka kuwa raia!
Katika hayo mastori pia kulitokea jinsi gani zamani wanajeshi walivyokuwa wababe wakichapa watu mitaani.
Mwingine akasema jeshini hakuna sheria ni amri tu!
Itoshe kusema mengi niliyoyasikia yalikuwa ni upotoshaji mkubwa, mtazamo finyu, uongo na chumvi nyingi kuhusu jeshi. Mastori ya aina hii yamejaa mitaani na kwenye vijiwe vya kahawa, hiyo inamaanisha jeshi linahitaji uwekezaji mkubwa katika elimu kwa raia kuwapa mwanga kidogo kuhusu historia, maisha ya wanajeshi na majukumu muhuimu ya jeshi ili kuondokana na vihiyo makanjaja wapotoshaji
HospitalKwani elimu ya masuala ya malaria, uzazi wa mpango, mazingira n.k huwa inatolewa wapi?
Kazi ya jeshi ,core function ni kulinda mipaka ya nchi na kusaidia nchi nyakati za majanga.Wanajeshi wanafundishwa kuua tu?
Kuua ndio jukumu kubwa la jeshi??
Basicaly wale ni civilians, is why hawawi categorized as jeshi, ni paramilitary element. Polisi dunia nzima hawahesabiki kama jeshi bali taasisi ya ulinzi ya kulinda raia.mnawaona raia kwasababu mnashinda nao mda mwingi
wewe unatak jeshi liwejeHuu ndio ushamba wenyewe sasa
Nimesema jeshi halpaswi kueleweka kama unavyoielewa TTCL au VodacomKwani TTCL au VODACOM kila mtu anaajirwa??
Unataka utafuniwe kila kitu, utatafuniwa mkeMost effective in what sense?
Hata wewe ukivamiwa na majambazi nyumbani kwako unaweza kuua bila hata kuwa na mafunzo,Kazi ya jeshi ,core function ni kulinda mipaka ya nchi na kusaidia nchi nyakati za majanga.
Likapokuja suala la kulinda, utawaje kulinda kama huwezi kumuua adui na kumuharibu?
Hakuna jeshi duniani lisilofundishwa kuua. Tofauti ni doctrine, nani wa kumuua na wapi
Umekaaa huko ukaamua kuandika uzi ukaona hicho ndicho kitu cha maana kwelikweli. Haya. Mastori ya aina hii yamejaa mitaani na kwenye vijiwe vya kahawa, hiyo inamaanisha jeshi linahitaji uwekezaji mkubwa katika elimu kwa raia kuwapa mwanga kidogo kuhusu historia, maisha ya wanajeshi na majukumu muhuimu ya jeshi ili kuondokana na vihiyo makanjaja wapotoshaji