Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mfano wako ni mdogo sana. Jukumu la kwanza la jeshi ndani ya nchi ni kuhakikisha usalama wa taifa na ulinzi. Hii inahusisha kulinda uhuru wa nchi, mipaka yake, na raia wake dhidi ya vitisho na mashambulizi kutoka nje. Jeshi lina jukumu la kuzuia maadui wanaoweza kujitokeza, kujibu mashambulizi, na kuwa katika hali ya utayari wa kutetea taifa dhidi ya aina yoyote ya tishio la kijeshi kutoka nje.Hata wewe ukivamiwa na majambazi nyumbani kwako unaweza kuua bila hata kuwa na mafunzo,
Lengo la kwanza la jeshi sio kuua, hata kwenye vita adui akijisalimisha au ukiua adui uliyemkamata ni war crimes na ikithibitika utafungwa miaka mingi sana.
Haya yote uliyoyazungumzia yanatakelezwa kwa mkakati mpana zaidi ya kuua, vinginevyo hilo halitakuwa jeshi bali kama kikundi cha maimai, Al-shabaab au Boko Haram tu.mfano wako ni mdogo sana. Jukumu la kwanza la jeshi ndani ya nchi ni kuhakikisha usalama wa taifa na ulinzi. Hii inahusisha kulinda uhuru wa nchi, mipaka yake, na raia wake dhidi ya vitisho na mashambulizi kutoka nje. Jeshi lina jukumu la kuzuia maadui wanaoweza kujitokeza, kujibu mashambulizi, na kuwa katika hali ya utayari wa kutetea taifa dhidi ya aina yoyote ya tishio la kijeshi kutoka nje.
So tell me? Unawezaje kulinda nchi na kujibu mashambulizi if you are not trained to do so?
Kijana wa jkt akili zako na raia wa kwenye daladala ni sawa kabisa.,nyie ndio mnachanganyikiwa mkiishia suma.Wewe utakuwa polisi. Jeshi liko sahihi kama ulivyosikia kwa wananchi.
Kumbe ile miezi sita,ukakamavi na kutumia silaha za moto hufundishwa ili kufufua!?..jeshi ni killing machineWanajeshi wanafundishwa kuua tu?
Kuua ndio jukumu kubwa la jeshi??
Hayo magenge Haram yenye silaha,jeshi la nchi ni genge halali lenye silaha,kazi yake kuharibu/uaKama jeshi ni killing machine vipi kuhusu Boko Haram, Al-Shabaab, ISIS na Intarahamwe??
Nidhamu gani wakati mtaani wanatoa vipigo kwa raia bila sababu za msingi. Unajua majeshi yenye nidhamu wewe?Utakubali tu kama wewe ni shoga. TPDF wamefundishwa nidhamu ya hali ya juu. Na ukigundulika kuwa ni shoga au tasa huajiliwi kule
Ukipigwa mtaani na mtu yeyote haijalishi yuko kwenye uniform ya jeshi au kiraia, nenda kashtaki Polisi.Nidhamu gani wakati mtaani wanatoa vipigo kwa raia bila sababu za msingi. Unajua majeshi yenye nidhamu wewe?
Nchi ipo mikononi mwa wananchi sio jeshi pekeeHakuna uongo hapo hata kidogo.
Jeshi ndio nchi.
Ukitaka maelezo tofauti na hayo ndio unataka upotoshaji wènyewe.
Hata huko Ulaya au mbinguni kazi za jeshi na hizohizo tuu.