Mto Songwe
JF-Expert Member
- Jul 17, 2023
- 6,683
- 14,060
Unatengeneza disconnection kubwa kati ya wananchi na jeshi lao hii ni hasara kubwa katika vita.Asante kwa mada hii. Nashauri elimu kuhusu jeshi isitolewe bali tubaki na uelewa huohuo ndiyo lina make sense.
TPDF siyo kama TTCL au VODACOM au TANESCO kila mtu alijuwe. Hivyo ndivyo jeshi linapaswa kuwa. Yaani lisizoeleke kabisa ndiyo ufanisi wake utakuwa mkubwa.
Haipaswi kuwa hivyo.ukizingua unapigwa na huna pakwenda kusema
Katika taasisi ambazo vitendo vya usenge na umalaya vipo sana hapa duniani basi majeshiniUtakubali tu kama wewe ni shoga. TPDF wamefundishwa nidhamu ya hali ya juu. Na ukigundulika kuwa ni shoga au tasa huajiliwi kule
Nchi ipo mikononi mwa wananchi sio jeshi pekee
maana ya neno ulinzi sio kuua,wala wanajeshi hawafundishwi kuua usiwe kama kasuku unabeba kauli jumla jumla.mfano wako ni mdogo sana. Jukumu la kwanza la jeshi ndani ya nchi ni kuhakikisha usalama wa taifa na ulinzi. Hii inahusisha kulinda uhuru wa nchi, mipaka yake, na raia wake dhidi ya vitisho na mashambulizi kutoka nje. Jeshi lina jukumu la kuzuia maadui wanaoweza kujitokeza, kujibu mashambulizi, na kuwa katika hali ya utayari wa kutetea taifa dhidi ya aina yoyote ya tishio la kijeshi kutoka nje.
So tell me? Unawezaje kulinda nchi na kujibu mashambulizi if you are not trained to do so?
Nchi zinazo jitambua zina alika mpaka watoto na watu wazima wasio wanajeshi kuona ufahari wa jeshi lao na jinsi walivyo jizatiti kulinda nchi yao.Mtu mwenyewe unaitwa Restless Hustler halafu unajipendekeza kupita maeneo ya jeshi, ulitegemea wakuache? Jeshini siyo soko la Tandale au Station ya Mwendokasi ambapo hata wazembe utawakuta. Lile ni eneo la wakakamavu tu
Hivi unajua kuna nchi hazina jeshi kabisa???Hakuna uongo hapo hata kidogo.
Jeshi ndio nchi.
Ukitaka maelezo tofauti na hayo ndio unataka upotoshaji wènyewe.
Hata huko Ulaya au mbinguni kazi za jeshi na hizohizo tuu.
Mtu anayedhani ukiwa mwanajeshi basi ni kunyoosha silaha na kuua,aulize askari wanaokwenda mission😁😁.atajifunza jambo jipya.Wanachoniudhi hao jamaa ni kuonea raia kwa mambo madogomadogo lakini wakienda Congo huko wanatolewa kamasi na M23.
Hii ni siasa kabisa.Mkuu hiyo ni siasa tuu.
Uhalisia ni kuwa dola ndio nchi
Haya mambo huwa kama volcano tu siku ya kiripuka unabaki kushangaa ndio hawa wabongoNyie wabongo ambao tu polisi wakiwatisha mnasepa? Muungane na adui yupi. Bado sana hiki kizazi bado sanaa
Mtu kwa ujinga wake tu anaweza karopoka kwamba jeshi ndio kila kitu,jeshi,serikali,mahakama,polisi,bunge si kitu si lolote kama wananchi hawajawa radhi na kuvibariki hivyo.Hii ni siasa kabisa.
Wananchi wao ndio wanauwezo pekee wa kuamua nchi yao iendeshwe vipi ? Iwe wapi au ilindwe vipi ?
Kitu chochote kile wananchi wasipo kubaliana nacho hata kama jeshi likipinga halina uwezo wa kuzuia.
Majeshi yenyewe hata robo za population huwa hayafiki una utani na population ya wananchi.
Serikali nyingi tu duniani zimeangushwa pamoja na majeshi yake.
Ufaransa, China hii ni mifano ya haraka zaidi tena hao wachina ndio wananchi waliitandika serikali na jeshi lake na kuunda serikali yao hii unayo iona sasa hivi.
Jeshi sio chochote mbele ya wananchi, wananchi wao ndio wamebeba roho ya nchi siku wakivurugwa hata jeshi halitaweza zuia mafuriko ya wananchi.
Ni muhimu jeshi kuheshimu wananchi tena kuwaheshimu sana siku wakicharuka watazikimbia hizo kambi nakuambia.
Teh teh 😃 kazi kweli kweliMwanaume mwingine wa makamo akasema hapo huwezi kutofautisha kati ya mwanaume na mwanamke, cha ajabu mimi nilikuwa naona tofauti hiyo tena niliona mabinti wengi tu warembo sana katik hao wanajeshi.
Acha kutetea upuuzi mjinga wewe.Ulishawahi kufundishwa popote kuwa una haki yoyote dhidi ya JWTZ ( siyo askari wa JWTZ)?
Usilazimishe kuwa na haki katika kila taasisi, wanajeshi wamejengwa kwenye nidhamu na misingi ya kuheshimu raia isipokuwa katika nyakati Fulani.
Raia sisi muda mwingine ni wakorofi, bahati mbaya ni ngumu kumtambua askari wa JWTZ akiwa Hana sare. Tukiwachokoza wakitukarabati na tukija kugundua kuwa tumepigwa na askari wa JWTZ ( ambaye kimsingi Hana uniform na tumemchokoza sisi wenyewe) basi tunahitimisha JWTZ limetuadhibu kwa ugomvi wa mitaani.
Hiyo elimu unayoihitaji ndiyo itakufanya uingie kambini kwa kiburi Cha kujua haki na elimu. Kaa nao mbali mkuu Kuna vitu vingi vya kukufurahisha na siyo kuhangaika na hao jamaa waliozoea kusikia milindimo ya vilipuzi, mizinga na vifaru vyenye rangi ya bakabaka😀
Hiyo siyo TANESCO mkuu,
Nb: usije kubishana na kundi la wanajeshi kwa jeuri kuwa una elimu au unajua haki zako.
kuna trend ya wabongo wengi ni ma keyboard warrior, ujasiri online ila kwenye field hawatokei. Na wanao tokea hawaungwi mkono wanapigwa vita.Haya mambo huwa kama volcano tu siku ya kiripuka unabaki kushangaa ndio hawa wabongo
Hawa wapuuzi hawapaswi kuongoza nchi maana hata wao hawajitambui watu wanaotumiwa na CCM hama kondomu wakati wa uchaguzi kuiba kura na kulinda tena hawa wa JKT na mwisho kutemwa hawajitambui hata kidogoChakuongezea.wananchi wanapenda jeshi lichukue Nchi.
Sijui una elimu gani kwanza ndugu? Kama ni kusoma na kuandika hili siyo jukwaa lakoUnatengeneza disconnection kubwa kati ya wananchi na jeshi lao hii ni hasara kubwa katika vita.
Wananchi watakuwa wanaliogopa jeshi lao na kulichukulia limekaa kishari shari tu na halina upendo juu yao.
Huwezi nipiga mitama mimi uraiani halafu siku mpigane na maadui nikuunge mkono sahau kuhusu hilo.
Wewe ni m-senge kwani?Katika taasisi ambazo vitendo vya usenge na umalaya vipo sana hapa duniani basi majeshini
Wape silaha hao wabongo ndio upime ujasiri wao wa kunyukana na jeshi lenu la CCMkuna trend ya wabongo wengi ni ma keyboard warrior, ujasiri online ila kwenye field hawatokei. Na wanao tokea hawaungwi mkono wanapigwa vita.
Siku mkiwa wamoja ndio siku mtaweza pata matoke until then labda kizazi kijacho