JWTZ msifanye makosa DRC, haya ndio yatakuwa madhara yake

JWTZ msifanye makosa DRC, haya ndio yatakuwa madhara yake

Huu ndio ukweli wenyewe, na msema kweli ni mpenzi wa Mungu..mkuu kongole kwa kuuweka ukweli peupe kbs! Tumebaki tunajimwambafai kwa historia zilizopita lkn kiuhalisia, siasa ya sasa ime compromise our military ability and intelligence
Kuna kipindi Humphrey Polepole akiwa katibu mwenezi wa CCM alisema Tanzania ina mitambo ya kuiona Congo DRC pale.

Lakini najiuliza iweje vikosi vinodaiwa ni vya Rwanda viingie Goma upande wa mashariki na sasa Goma ipo chini ya M23. Ilipaswa JWTZ kuona hata ile kunyatia tu kusogelea eneo la mpaka.

Na ikiwa itawekwa Buffer Zone pale haitakuwa rahisi kufanya lolote ndani ya Congo DRC upande wa Mashariki.

Jamaa wana "Jamming System" na DS ya "Iron Dome".

Mfumo ulokamilika wenye kompyuta, radar na mitambo minne ya kurusha makombora wagharimu dola 100 milioni.

Rwanda wamefanikiwa vipi kuwa na mitambo hiyo, na je ni hiyi tu au kuna mitambo ingine kama Arrow na David Sling, je majasusi wetu wa MI wamefanikiwa kitambua kinoendelea kwa majirani zetu?
 
Kagame acha kejeli na dhihaka
Siku zote mtu mnafiki atakwambia unachotaka kusikia bala mtu mkweli atakwambia ukweli tu na wewe daka hiyo itakusaidia.
Yesu alisema sikuja kuleta Amani bali upanga kumfitini baba na mtoto ikimaanisha kuwambia Wayaudi ukweli na wakamchukia
 
Duh nimekubali sana aisee. Hivi unajuwa ukianzisha kanisa alafu ukawa mbishi hivyo halafu unaongea mavitu ambayo hayaeleweki watu wanaweza wakakufuata ukakusanya sadaka ya kutosha.

Lakini kuhusu migogoro kama hii, suluhisho ni maelewano lazima uongee vitu ambavyo watu wanaelewa. Siri ya kuleta amani ni maelewano, watu wakishaelewana tu wanaweka silaha chini. Ndio maana rais JK (sitaki kukumbushia maugomvi ya zamani Mungu aepushie mbali) alishauri RPF wazungumze na FDLR wayamalize. Lakini RPF walikasirika sana kwa hiyo kauli kwa sababu ya kile ambacho watu wao walifanyiwa mwaka 1994 wakasema rais Kikwete ni FDLR sympathizer kidogo kiwake. Lakini viongozi wa Tanzania wamejaliwa busara moto ukazima.

Ukiongea mavitu yasiyoeleweka unazidi tu kuwatia watu gizani na kutengeneza confusion itakayochochea ugomvi. Ila ukiongea kitu kinachoeleweka unawaweka watu nuruni.

Tambua wewe ni mkristo unakuja na habari zako kuhusu roho mtakatifu. Lakini siyo kila mtu ni mkristo na hata si kila mkristo atakuelewa, kwanza wakristo wamegawanyika kwa madhehebu tofauti tofauti. Imagine akaja mtu anayefuata dini za asili za Afrika akaja na habari zake kuhusu mizimu, wewe utamsikiliza. Si utasema shetani toka.

Tambua kutofautisha field tofauti tofauti, kuna sayansi ya siasa, kuna teolojia na

Duh nimekubali sana aisee. Hivi unajuwa ukianzisha kanisa alafu ukawa mbishi hivyo halafu unaongea mavitu ambayo hayaeleweki watu wanaweza wakakufuata ukakusanya sadaka ya kutosha.

Lakini kuhusu migogoro kama hii, suluhisho ni maelewano lazima uongee vitu ambavyo watu wanaelewa. Siri ya kuleta amani ni maelewano, watu wakishaelewana tu wanaweka silaha chini. Ndio maana rais JK (sitaki kukumbushia maugomvi ya zamani Mungu aepushie mbali) alishauri RPF wazungumze na FDLR wayamalize. Lakini RPF walikasirika sana kwa hiyo kauli kwa sababu ya kile ambacho watu wao walifanyiwa mwaka 1994 wakasema rais Kikwete ni FDLR sympathizer kidogo kiwake. Lakini viongozi wa Tanzania wamejaliwa busara moto ukazima.

Ukiongea mavitu yasiyoeleweka unazidi tu kuwatia watu gizani na kutengeneza confusion itakayochochea ugomvi. Ila ukiongea kitu kinachoeleweka unawaweka watu nuruni.

Tambua wewe ni mkristo unakuja na habari zako kuhusu roho mtakatifu. Lakini siyo kila mtu ni mkristo na hata si kila mkristo atakuelewa, kwanza wakristo wamegawanyika kwa madhehebu tofauti tofauti. Imagine akaja mtu anayefuata dini za asili za Afrika akaja na habari zake kuhusu mizimu, wewe utamsikiliza. Si utasema shetani toka.

Tambua kutofautisha field tofauti tofauti, kuna sayansi ya siasa, kuna teolojia na kuna mambo ya kijeshi kila kimoja kina nafasi yake. Huwezi tatua kila changamoto kwa kutumia teolojia peke yake utakuwa ni mpumbavu.
Inabidi ujue ukweli na lengho sio kufuraisha watu Mungu anatumia mtu mmoja kumaliza tatizo ndio maana nimeweka wazi kuwa ninachokisema ninauakika nacho sio kubahatisha.
Mambo ya teolojia, sayansi ya siasa wala Mungu hayapo huko na mambo ya .Mungu hayafundishwi!
Tatizo kubwa la hizi imani tulizo nazo wala haziendani na ukweli ndio maana huko makanisani mnawaita watu wachungaji, walimu, waijilisti, nitumie na manabii na mnaona ni sawa kabisa.
HATARI sana!!!!
Uliwai jiuliza kwanini Yesu alisema atakuja kunyakua/kuchukua kanisa lake wala sio kuliendeleza???
Unaposoma Biblia penda kujiuliza maswali magumu utagundua mambo mengi na uwezi elewa kitu kama huna Roho Mtakatifu saau.
Amesema waaminio watapewa kuongea lugha nyingine...Angalizo!
 
Maeneo ya mashariki ya Congo yatakua chini ya uthibiti wa Rwanda chini ya M23 Kwa asilimia 100%

Mzozo wa DRC: Nani wa kulaumiwa na suluhu ni nini? - Andrew M. Mwenda kwenye kipindi cha Maswali Magumu


View: https://m.youtube.com/watch?v=du9itFQZkQE

DRC iko ukingoni. Mapigano yanazidi, mivutano ya kieneo inaongezeka, na tishio kwa Goma linazidi kuwa kubwa. Katika kipindi hiki cha kipindi cha #maswali magumu , mwanahabari mkongwe, Andrew Mwenda anachambua mizizi ya mzozo huo, jukumu lenye utata la Rwanda, na kukataa kwa Tshisekedi kufanya mazungumzo. Suluhu ni nini na, nani wa kulaumiwa? Mwenda anatoa chaguzi mbili kali kwa rais. Usikose kipindi hiki cha kipindi cha Maswali Magumu na Solomon Serwanjja..
Source : AIIJ Channel
 
M23 wakimaliza Goma wataendelea ndani zaidi drc , wakishapata nguvu kubwa ni wazi watatest tz, muda ni huu wa tz kuingia na kuwapoteza
 
ni dharau za kagame tu kwa kuona tz inatawaliwa na mwanamke, hata hahesabu kama kuna kitu hapa. I tell you.
Kwani mara ya kwanza hii?

Ukorofi wa Rwanda kuitaka Goma, masharikibya Congo, upo hata wakati wa nyerere na kabla yake sio leo wala jana.

Tanzania na mwanamke vinahusu nini?
 
31 October 2024

Kituo cha Mafunzo ya Kimkakati na Kimataifa CSIS kimemwalika Jenerali mstaafu James Kabarebe kutoa mwanga kuhusu changamoto za kikanda Afrika

Uhusiano Wenye Changamoto wa Rwanda na Nchi Majirani

View: https://m.youtube.com/watch?v=nxEFebqJ968
Rwanda imevumilia mfululizo wa nyakati za kuyumba ambazo zimeunda historia yake tata na uhusiano na nchi jirani.

Utawala wa kikoloni uliweka mazingira ya migawanyiko ya kikabila ambayo ilizidi kuwa mbaya chini ya serikali za baada ya ukoloni, na kusababisha mauaji ya kutisha ya Rwanda 1994.

Kufuatia mauaji ya kimbari, ujenzi wa haraka wa Rwanda uliibadilisha kuwa hadithi ya mafanikio ya kiuchumi. Hata hivyo, mivutano ya muda mrefu na majirani zake, ikichochewa na malalamiko ya kihistoria na wasiwasi wa kiusalama, inaendelea kuvuruga na kutoa changamoto kwa taswira hii na kusababisha ukosefu wa utulivu na usalama katika Maziwa Makuu.

Leo, uhusiano wa Rwanda na nchi jirani bado ni mbaya. Msuguano umesababisha kufungwa kwa mipaka ya mara kwa mara na Uganda na Burundi, wakati uwepo wa jeshi la Rwanda mashariki mwa DRC umechangia kuongezeka kwa migogoro.

Maswali yanaendelea kuhusu jinsi Rwanda na majirani zake wanaweza kusonga mbele zaidi ya malalamiko ya kihistoria na mapambano ya kisiasa ya kijiografia ili kukuza amani ya kudumu katika eneo hilo.

Katika kipindi hiki, Mvemba ameungana na Jenerali mstaafu James Kabarebe, Waziri wa Mambo ya Nje wa Rwanda anayeshughulikia Ushirikiano wa Kikanda ambaye pia aliwahi kuombwa na kutumikia cheo cha mnadhimu mkuu wa jeshi la serikali (chief of Staff ) wa jeshi la DR Congo katika uwamu ya Mzee Laurent Kabila .

Jenerali Kabarebe anatoa mtazamo wa ndani kuhusu changamoto za usalama zinazokabili Rwanda na majirani zake.

Anazungumzia msimamo wa kidiplomasia na kimkakati wa Rwanda, akitoa mwanga juu ya utata wa ushirikiano wa kikanda, na kuchunguza njia za kukabiliana na mvutano unaoathiri Rwanda na majirani zake. Tukio hili linawezekana kwa usaidizi mkubwa wa Open Society Foundations
 
Ile ni migogoro yao ya ndani, hatupaswi kuwaingilia. Waacheni M23 watafute makazi yao ya kudumu. Kuwakataa kwa kigezo cha ukabila ni kuwanyima haki yao. Walipaswa wakubalike kwanza kwamba wao ni Watusi lakini ni wakazi wa Kongo.

Baadaya hapo wanyang'anywe silaha ili wawe sehemu ya wananchi, nao washiriki shughuli za kiuchumi na wamiliki ardhi kama wengine nchini Kongo.

Wao hawataki kufanywa kama Wamasai, ambao tunawaamisha kila siku kwa nguvu halafu tunasema wamehama kwa hiyari yao.

Tanzania mnapaswa kulinda amani siyo kama huyo jamaa anavyoshauri wakapigwe, wapigwe kisha muwapeleke wapi na pale ndio kwao?

Big up M23 haki HAIOMBWI piganeni mpaka kieleweke.
 
Waende tu hao Bongo movie watarudishwa kwa aibu kama wale mercenaries wa Kifaransa na Kiromania, jeshi letu linapaswa kusukwa liwe kama lile la enzi za Nyerere kuanzia kwenye drills, discipline na patriotism.
Kwa sasa hatuna soldiers wa kukabiliana na wale wahuni.
Hiyo geopolitical military influence tumeutoa wapi au unazungumzia enzi za Mchonga? Hivi tuna influence Kenya au Uganda au Zambia au wapi labda mimi ndiyo niko gizani?
Acha jeshi na intelijensia yake waendelee kulinda CCM dhidi ya vyama vya upinzani kwani huko ndiyo tuna uhakika hawategemei kuaibishwa na wala kuliaibisha taifa kwa ujumla wake.
Vyombo vyetu vyote vya ulinzi na usalama wamejikita kwenye siasa zaidi na confidence uchwara eti tulimpiga Nduli Idd Amin Dada(history).
Tukipata Watanzania wenye akili na wasio waoga kama wewe hakika tutafika mbali.
 
Hupo sahii Kabisa
Mimi sio mwanajeshi wala mtu wa intelligentsia lakini nasisitiza Taifa la Tanzania linauwezo mkubwa wa kutatua matatizo mengi sana kwa sasa.
Nipo tayari kutoa maelekezo.
0747285555/0747534444
Natamani sana nikutane na wausika wa nchi yetu waliopewa dhamana ya utawala kwa wakati huu.
Nimewai kuongea jambo na mmoja wa wausika akasema atanikutanisha na wakuu wa vyombo vya usalama lakini akapotea.
Naitaji sana kukutana na Mheshiwa Rais alafu Kuna maelekezo nitampatia.
Ndugu zangu watanzania haya mambo ni mepesi sana kwa msaada wa Mungu. I m 100% sure kuwa taifa letu kwa sasa ndio lenye nguvu saana duniani. Narudia naitaji kukutana na wausika then wote tutajua Tanzania ni nchi gani!
Majina yangu naitwa Deogratias Byela Henry Rutabana.
Najua sana Mh Rais yupo tayari kupokea ushauri tena wa kiMungu lakini bahati mbaya sana wote anaokutana nao wamevaa SURA za utumishi wa Mungu na wanajiita viongozi wa Dini wakati hamna kitu na ndio maana hata Yesu alitumia wakina Petro, dakitali wa binadamu Dk Luka nk akamuacha Nikodemu ambaye alionekana Mtumishi wa Mungu katika macho ya watu kumbe hamna kitu, lakini pia hata Farao aliyemsaida tafsili ya ndoto yake alikuwa ni Yusuph baada ya waganga na wote waliojiita watumishi wa Mungu kukosa majibu.
Najua muda na wakati utafika wa kukutana na Mh Rais.
Tusiishi kwa kukalili Mungu yupo hatuitaji kupata tabu.
It is always good to work in easy way.
dakitali, tafsili, kukalili..... MTU KAMA WEWE UNATAKA KUMSHAURI RAIS WA NCHI .... !!! hahaha
 
Na hapo ndio utaelewa bayana, tofauti ya mwanamke na mwanaume, maamuzi ya kike na Yale ya kiume, vipaumbele vya mwanamke na vile vya mwanaume n.k n.k
Sahihi kabisa. Hata Marekani siyo wajinga walipowakataa akina Hilary Clinton na Kamara Harris. Kwa sababu kuna tofauti kubwa sana kati ya mwanaume na mwanamke linapokuja suala la ujasiri, vipaumbele vyao na pia maamuzi yao.
 
Hili la Congo hata mara moja ungekua ulienda mission moja ya kongo au una ndg wa karibu akakusimulia yanayoendelea kati ya vikosi vya afrika UN na waasi wala msingejifanya political /Military analytical hzo ishu ni mambo ya wakubwa wa dunia wala jwtz haihitajiki
Kuna watu wanaiona JW ni kama CIA fulani hivi.
 
Back
Top Bottom