JWTZ na Polisi wategua Bomu ndani ya chumba cha NMB Bank Shinyanga

Polisi,wapewe mafunzo,namna ya kutegua mabomu,la sivyo,kila lindo awepo askari wa JWTZ mmoja.
Qualifications za polisi entry iwe kama ni cheti cha form four isipungue division 3,yaani iwe division 3,2 au 1. Halafu kuelekea juu yaani form six na degree.
 
Kwa Tanzania hao ni swala la muda tu anzia pale Tanga, moshi arusha tabora shinyanga na dar wwmejipenyeza sana wengi sana

Na wwmejipenyeza kwenye top position
Wale watu sio wakuchangamana nao hata kidogo wanambegu mbaya sana wale jamaa. Na wanapoweka jamii yao lazima machafuko yatokee.
 
Hawa watu mpaka walipue mahali nyeti ndio utawala uliopo uelewe ni chanzo halisi cha matukio ya kiharifu na ugaidi kushamiri sana. Wanatakiwa watafute (Root Cause)
 
Qualifications za polisi entry iwe kama ni cheti cha form four isipungue division 3,yaani iwe division 3,2 au 1. Halafu kuelekea juu yaani form six na degree.
Kwa hiyo academic qualifications tu za secondary na vyuo tu,ndiyo yanahusika?Silaha hawafundishwi...?
 
Unadhani wewe utaenda wapi? Huko hakuna wa kukufira, huko ni haki tu itatawala na ndio utajua kuwa ulikua hujui
Haki gani kuna uzinzi na kuvywa pombe? Kama unaamini kwa Mungu kuna haya mambo yako ya hadithi alokuletea huyo mtume wako mbakaji Endelea kujidanganya! Mohamed alikuwa hana sifa hata moja ya kuwa mtume! Ndo maana mnasoma hadithi za mtume! Tokea lini hadithi mtu mzima akazisikiliza na kuziamini kama hana matatizo ya akili? Umepotea hujui uendako!
 
Hamzaaa mjegejo.
Mungu amrehemu huko alipo
Hawa watu huwa siwaelewi kabisa.... kama wanataka vita si waende kambi za jeshi?

Ndio maana ninamheshimu sana, yule Hamza wa Selander... alikwenda ku-deal na watu wenye mafunzo na silaha like a man; sio hawa cowards.
 
Yuko na mabikira 72 na anaogelea kwenye mito ya pombe!πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Mahrulain sio!!?


Mungu nisaidie hizi Dini hizi!!

Dini hizi kuu mbili zimedumu KWA miaka 222 tu hapa Africa yaani (2022-1800=222) Kumbuka wakoloni walikuja kuanzia mwaka 1800 Mungu a Dini hizi tumeanza kufundishwa na kumuamini kuanzia mwaka 1800 tu,lakini impact ya imani hizo mbili ni kubwa Sana kuliko hata zile za mizimu za mwaka 0-1800,ambazo Babu yetu waliabudu!!

Msaada inahitajika kwakweli KWA vijana wetu kuhusu imani hizi ZOTE waweze ku balance imani zao na common sense!
 
Kwahiyo hilo bomu lilikuwa halina remote trigger wala timer trigger hadi aliwashe manually kwa kibiriti na mafuta ya petroli?!

Hilo gaidi ni jinga kuliko maelezo. Halafu ugaidi unafanya una miaka 60 ili iweje?!
Huyo siyo gaidi,hizo ni mbinu na madhala technologia kuna kitu wataalamu wanita technoligical dualism.
Upnde mmjoa wa tecnoligia unazo faida nyingi za kurahisisha maisha ya mwanadamu, lakini pia upande wa pili una hasara na madhala makubwa.
Mfano makampuni yanayotengeneza mifumo ya kiusalama (security system devices) ili wauze vifaa vya mifumo ya usalama ya kugundua vilipuzi ni lazima watengeneze mazingira yanayohatarisha usalama kwa kuunda nakufadhili vikundi vya kigaidi ili vihatarishe usalama na kisha makampuni hayo kupata fursa ya kuuza mifumo ya kiusalama kwa nchi na taasisi mbailmbali.
Kwa tukio la NMB Shinyanga benki zote nchini zinaenda kununua vifaa vya kugundua vilipuzi na hii ni kutokana na mbinu ovu za kibeberu za kutumia upande wa pili wa tekinologia kwa kutengeneza taharuki na hofu ili kujinufaisha kiuchumi.
Mmarekani Avin Toffer amelieleza vizuri hili kwenye kitabu chake cha "THE THIRD WAVE"
Aliandika na kutahadhalisha kuwa tekinologia ikitumika vibaya inaweza kuleta maafa makubwa kwa mwanadamu. Alitoa mfano kuwa kampuni fulani inaweza kutengeneza ugonjwa na kisha kutengeza na kuuza dawa ya ugonjwa huo.
 
Mkuu kwetu sisi Yesu kristo alipokufa alishuka kuzimu huko kwa wafu na alienda pia kuwa fungua kifungoni watu wote huko waliokufa wakiwa watu wema ila hawakupata bahati ya kulisikia neno lake! Ukristo umekamirika mkuu! Issue ya kuanza 1800 haina tija! Watu wote waliokufa wakiwa wametenda matendo mema Yesu aliposhuka kuzimu alienda kumaliza kazi zote!
 
Kwahiyo hilo bomu lilikuwa halina remote trigger wala timer trigger hadi aliwashe manually kwa kibiriti na mafuta ya petroli?!

Hilo gaidi ni jinga kuliko maelezo. Halafu ugaidi unafanya una miaka 60 ili iweje?!
Hamna gaidi hapo huyo ni mwehu tu aliyechangamka.
Bomu gani lina matambara,vichanuo makopo na mavi ya ng'ombe
 
Ni sehemu ya mpango kazi wa mental slavery wa hicho unachoamini!!ukristo unasaidia nchi zetu kutawaliwa vizuri uislamu ni zao la WAKRISTO watawala ambayo walianzisha Bakwata!hayo madhehebu mengine ya kiislamu na kikristo ni Mpango kazi wa watu kujipatia kipato!

Japo ni kweli MUNGU yupo lakini kuamini ANAPATIKANA katika Dini zote mbili ni MATATIZO ya Akili kuamini hivyo!!

Mungu yupo tumheshim!Dini tuziangalie tu kama taasisi nyingine za serikali kama shule,zahanati n.k!na sio kuamini Mungu yupo kwenye DINI!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…