JWTZ ni Wananchi, wanaopiga kura ni Wananchi. Je, Jeshi linatakiwa kukaa tayari dhidi ya nani?

JWTZ ni Wananchi, wanaopiga kura ni Wananchi. Je, Jeshi linatakiwa kukaa tayari dhidi ya nani?

figganigga

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2010
Posts
25,724
Reaction score
55,906
Watawala wa Afrika wanadhani JWTZ ni Wanachama wa CCM.

Watawala wanadhani JWTZ ipo kwaajili ya kuwalinda wabaki madarakani.

Nawakumbusha tu. JWTZ ni Jeshi la wananchi wa Tanzania. Na wapiga kura ni Wananchi wa Tanzania.

Ni vizuri tukakumbushana haya. JWTZ si TPF, muulizeni Mama Nyerere. Mumewe alivalishwa baibui akaenda kufichwa Kigamboni. Ni baada ya mumewe kuingia 18 ya Maafande. Hawakujali ni rais wa kwanza wa Tanzania aliyewaletea uhuru. Wamuogope nani?

Wanaangalia sarakasi zenu. Ingieni 18 zao ndo mtajua kilichomtoa nyoka pangoni mwake.

Huwezi minya Demokrasia ukadhani JWTZ watakutetea.

Shikamoo Afande.
 
Alipowaambia wakaee tayari sidhani maneno yale yalipitia kwenye ubongo.
 
Watawala wa Afrika wanadhani JWTZ ni Wanachama wa CCM.

Watawala wanadhani JWTZ ipo kwaajili ya kuwalinda wabaki madarakani.

Nawakumbusha tu. JWTZ ni Jeshi la wananchi wa Tanzania. Na wapiga kura ni Wananchi wa Tanzania.

Ni vizuri tukakumbushana haya. JWTZ si TPF, muulizeni Mama Nyerere. Mumewe alivalishwa baibui akaenda kufichwa Kigamboni. Ni baada ya mumewe kuingia 18 ya Maafande. Hawakujali ni rais wa kwanza wa Tanzania aliyewaletea uhuru. Wamuogope nani?

Wanaangalia sarakasi zenu. Ingieni 18 zao ndo mtajua kilichomtoa nyoka pangoni mwake.

Huwezi minya Demokrasia ukadhani JWTZ watakutetea.

Shikamoo Afande.
View attachment 3169033
ni lazima kuka tayari dhidi ya puppets na mercenaries wanaotumwa na mabwenyenye ya magaharibi kujaribu kutugawa na kuvuruga umoja, amani na utulivu wa waTanzania.

na ni vizuri kua tayari kuilinda amani kwa nguvu na gharama yoyote ile na kuwadhibiti na kuwasambaratisha bila huruma bandits wote wa kisiasa hasa wale wavurugaji na waliokosa uelekeo :pulpTRAVOLTA:
 
  • Nzuri
Reactions: Tui
Watawala wa Afrika wanadhani JWTZ ni Wanachama wa CCM.

Watawala wanadhani JWTZ ipo kwaajili ya kuwalinda wabaki madarakani.

Nawakumbusha tu. JWTZ ni Jeshi la wananchi wa Tanzania. Na wapiga kura ni Wananchi wa Tanzania.

Ni vizuri tukakumbushana haya. JWTZ si TPF, muulizeni Mama Nyerere. Mumewe alivalishwa baibui akaenda kufichwa Kigamboni. Ni baada ya mumewe kuingia 18 ya Maafande. Hawakujali ni rais wa kwanza wa Tanzania aliyewaletea uhuru. Wamuogope nani?

Wanaangalia sarakasi zenu. Ingieni 18 zao ndo mtajua kilichomtoa nyoka pangoni mwake.

Huwezi minya Demokrasia ukadhani JWTZ watakutetea.

Shikamoo Afande.
View attachment 3169033
Umenena vema
 
Hii thread ilikuwa grounded naamini.

Tupe uzoefu wa Zanzibar kwenye uchaguzi na matumizi ya Jw..🙏
 
Watawala wa Afrika wanadhani JWTZ ni Wanachama wa CCM.

Watawala wanadhani JWTZ ipo kwaajili ya kuwalinda wabaki madarakani.

Nawakumbusha tu. JWTZ ni Jeshi la wananchi wa Tanzania. Na wapiga kura ni Wananchi wa Tanzania.

Ni vizuri tukakumbushana haya. JWTZ si TPF, muulizeni Mama Nyerere. Mumewe alivalishwa baibui akaenda kufichwa Kigamboni. Ni baada ya mumewe kuingia 18 ya Maafande. Hawakujali ni rais wa kwanza wa Tanzania aliyewaletea uhuru. Wamuogope nani?

Wanaangalia sarakasi zenu. Ingieni 18 zao ndo mtajua kilichomtoa nyoka pangoni mwake.

Huwezi minya Demokrasia ukadhani JWTZ watakutetea.

Shikamoo Afande.
View attachment 3169033
We Jamaa Bwana

Anyway ngoja tuone huu uzi tu kwa macho.

Hakuna aliyejuu ya Mwenyekiti kama ulikuwa hujui.
 
Back
Top Bottom