Watawala wa Afrika wanadhani JWTZ ni Wanachama wa CCM.
Watawala wanadhani JWTZ ipo kwaajili ya kuwalinda wabaki madarakani.
Nawakumbusha tu. JWTZ ni Jeshi la wananchi wa Tanzania. Na wapiga kura ni Wananchi wa Tanzania.
Ni vizuri tukakumbushana haya. JWTZ si TPF, muulizeni Mama Nyerere. Mumewe alivalishwa baibui akaenda kufichwa Kigamboni. Ni baada ya mumewe kuingia 18 ya Maafande. Hawakujali ni rais wa kwanza wa Tanzania aliyewaletea uhuru. Wamuogope nani?
Watawala wa Afrika wanadhani JWTZ ni Wanachama wa CCM.
Watawala wanadhani JWTZ ipo kwaajili ya kuwalinda wabaki madarakani.
Nawakumbusha tu. JWTZ ni Jeshi la wananchi wa Tanzania. Na wapiga kura ni Wananchi wa Tanzania.
Ni vizuri tukakumbushana haya. JWTZ si TPF, muulizeni Mama Nyerere. Mumewe alivalishwa baibui akaenda kufichwa Kigamboni. Ni baada ya mumewe kuingia 18 ya Maafande. Hawakujali ni rais wa kwanza wa Tanzania aliyewaletea uhuru. Wamuogope nani?
ni lazima kuka tayari dhidi ya puppets na mercenaries wanaotumwa na mabwenyenye ya magaharibi kujaribu kutugawa na kuvuruga umoja, amani na utulivu wa waTanzania.
na ni vizuri kua tayari kuilinda amani kwa nguvu na gharama yoyote ile na kuwadhibiti na kuwasambaratisha bila huruma bandits wote wa kisiasa hasa wale wavurugaji na waliokosa uelekeo
Watawala wa Afrika wanadhani JWTZ ni Wanachama wa CCM.
Watawala wanadhani JWTZ ipo kwaajili ya kuwalinda wabaki madarakani.
Nawakumbusha tu. JWTZ ni Jeshi la wananchi wa Tanzania. Na wapiga kura ni Wananchi wa Tanzania.
Ni vizuri tukakumbushana haya. JWTZ si TPF, muulizeni Mama Nyerere. Mumewe alivalishwa baibui akaenda kufichwa Kigamboni. Ni baada ya mumewe kuingia 18 ya Maafande. Hawakujali ni rais wa kwanza wa Tanzania aliyewaletea uhuru. Wamuogope nani?
Watawala wa Afrika wanadhani JWTZ ni Wanachama wa CCM.
Watawala wanadhani JWTZ ipo kwaajili ya kuwalinda wabaki madarakani.
Nawakumbusha tu. JWTZ ni Jeshi la wananchi wa Tanzania. Na wapiga kura ni Wananchi wa Tanzania.
Ni vizuri tukakumbushana haya. JWTZ si TPF, muulizeni Mama Nyerere. Mumewe alivalishwa baibui akaenda kufichwa Kigamboni. Ni baada ya mumewe kuingia 18 ya Maafande. Hawakujali ni rais wa kwanza wa Tanzania aliyewaletea uhuru. Wamuogope nani?