Ambiente Guru
JF-Expert Member
- May 21, 2012
- 2,605
- 1,085
Lakini hoku hazitumii ktk kuibia watu, kufanyia ujambazi, na sio kila kinachofanyika Marekani na ulaya kinafaa kukifuata.
Tatizo la la wizi ni kushindwa kwa MFUMO hasa wanaohusika na USALAMA, sio mavazi! MAJANGILI NAO wanavaa sare za Wanyamapori ??? Na Magaidi wanava sare gani?