spade4spade
JF-Expert Member
- Jun 5, 2014
- 2,207
- 2,156
Wanajeshi nao waanze kulipa nauli kwenye mabasi...
Hahahahhahhahah! Kwani hujui kuwa nusu ya daladala ni za hao!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanajeshi nao waanze kulipa nauli kwenye mabasi...
Inakera mkuu, mtu analipwa mshahara mara mbili kwa mwezi (nasikia). MAhitaji yote maishani ananunua kwa bei iliyopunguzwa, hadi pombe halafu anashindwa kulipa mia nne ya nauli.Hahahahhahhahah! Kwani hujui kuwa nusu ya daladala ni za hao!
Na wao wasivae sare za raia.., wavae hizo hizo za kwao.., tusiingiliane kabisa.
Tatizo la wanajeshi wengi ni shule, misuli mingiii ubongo kisoda.
Na wao wasivae sare za raia.., wavae hizo hizo za kwao.., tusiingiliane kabisa.
Polisi ni raia tu sema wao ni raia wakakamavuMbona za polisi hazivaliwagi!!!?
Polisi ni raia tu sema wao ni raia wakakamavu
Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
koti langu situpi ata iweje acha kinuke
Hakyanani we hamnazo, nitajie chuo chochote cha elimu ya juu ambacho hakina wanajeshi wanaosoma hapo. They are everywhere!
Uonevu tu wa mamlaka za kishetani.Hili neno linanichanganya sana 'kutokujua sheria siyo utetezi mbele ya mahakama' msaada pliz
Mbona za polisi hazivaliwagi!!!?
Mbona wanasema kila mwananchi ni mlinzi wa nchi yake? Kama hawataki sare basi hata silahaKila mwanajeshi ni raia ila sio kila raia ni mwanajeshi.
Mbona sare za shule hamvai?
kwani hakuna shule nzuri hapa TANZANIA?
VAENI SARE ZA FEZA, ILBORU, TABORA SCHOOLS, NGANZA, SHULE YA MSINGI JANJA JANJA NA T-SHIRTS ZA VYUO VYETU KAMA MLIMANI NA UDOM...
JAMANI JESHI NI SECTOR NYETI... IACHENI KAMA ILIVYO..!
Wapo Vijeba wanaovaa kukwepa nauli za daladala.Acheni ubishi usio na tija, Vaeni basi na sare za wanafunzi wa primary tujue mnapenda sare.
Mbona sare za shule hamvai?
kwani hakuna shule nzuri hapa TANZANIA?
VAENI SARE ZA FEZA, ILBORU, TABORA SCHOOLS, NGANZA, SHULE YA MSINGI JANJA JANJA NA T-SHIRTS ZA VYUO VYETU KAMA MLIMANI NA UDOM...
JAMANI JESHI NI SECTOR NYETI... IACHENI KAMA ILIVYO..!
Inahitajika elimu kwa wananchi kuhusu sheria ya mavazi ya majeshi ili hata ikitokea mtu kakiuka basi hata raia walioko mtaani watasaidia kumkamata na kumfikisha mahala husika.
Kwa upande mwingine nafikiri kuna tatizo hata kwenye majeshi yetu yaani JWTZ, Polisi na Magereza. Utakuta vifaa vya jeshi yakiwemo mavazi vinawafikia raia wa kawaida kupitia hao hao askari. Mfano buti, kombati na hata bunduki na hatimaye kukamatwa ktk matukio mbalimbali ya kihalifu.
Mbona hilo la kuvaa sare za jeshi kwamba ni kosa linajulikana hadi huku kwetu vijijini, kinachosumbua ni kiburi tu cha raia. Aisee, siku raia ajichanganye anga zangu na hizo sare atasimulia.