JWTZ yaonya wanaovaa sare zake

JWTZ yaonya wanaovaa sare zake

Tatizo la wanajeshi wengi ni shule, misuli mingiii ubongo kisoda.

Watanzania bwana kila mtu anajiona ni msomi, lakini kama msomi hana mchango wowote kwa taifa, pamoja na usomi wake.
 
Unaongelea wanaoshinda wanafyeka majani pale Lugalo?? Jamaa kasema kweli...wanajeshi wengi wanatumia nguvu tu kufikiri kwa kina ni sufuri...

Wewe mwenye uwezo kufikiri ni kipi kizuri umeivamyia Tanzania? Tanzania ni zaidi uijuavyo yaani hata mwendawazimu anaweza kukosoa. Sasa wakifyeka wanafyeka nyumbani kwako si kazini kwao, ulitaka awafanyie nani usafi wa mazingira yao?
 
Mkuu, kijiji ulichopo ni moja ya vijiji vichache Tanzania ambapo ufahamu wa sheria ya vifaa na mavazi ya jeshi upo juu, sehemu zingine hawajui kitu.

Inaonekana hata hujui kuhusu vijiji. Nenda popote, kila mtu anajua vazi la kijeshi. Tz nzima tulieneza mgambo kwa hiyo kijiji kisichojua. Watu waliokulia mijini ndo wanafikiri vijijini hawajui kumbe ndo werevu na watekelezaji wa sheria kuliko popote!
 
Inaonekana hata hujui kuhusu vijiji. Nenda popote, kila mtu anajua vazi la kijeshi. Tz nzima tulieneza mgambo kwa hiyo kijiji kisichojua. Watu waliokulia mijini ndo wanafikiri vijijini hawajui kumbe ndo werevu na watekelezaji wa sheria kuliko popote!

Yawezekana ni kweli sijui kuhusu vijiji. Kama uliyoyaeleza ndivyo yalivyo ktk uhalisia basi hongereni.
 
Kuvaa mfananio na jeshi huwahamasisha vijana kupenda jeshi toka utotoni. Marekani ni ruksa kuvaa toka umri mdogo ndio maana huchangamkia kujiunga na jeshi wakati wa vita.

Wasanii wa marekani mfano Rihanna ni ruks kuvaa vya jeshi, wacheza sinema wa Hollywood nao ni ruksa. Si mmeona picha za akina Shwazznegaer . Hawa huruhusiwa kutumia mpaka ndege za Kivita (Top Gun) na vifaru. Wasani hukuza uchumkhiv


Huku ni Tanzania sio Marekani na sheria za kwao zinaruhusu kwetu sheria haziruhusu kuuza wala kuvaa nguo za jeshi kwa mtu asiyehusika. Imeeleweka hiyo!?
 
Watanzania bwana kila mtu anajiona ni msomi, lakini kama msomi hana mchango wowote kwa taifa, pamoja na usomi wake.

Wanajeshi wanafikiria kijeshi, wewe usomi wako na uprofesa wako huko huko chuoni, jeshini na amri na nidhamu ya kijeshi tu, mwanajeshi hafikirii kiraia raia wao wanafikiria kimkakati zaidi ndio mana kule jeshini unatolewa uraia na ubinafsi unapewa akili ya kijeshi na ku think strategically
 
umeamua kunifurahisha wewe, haya bana wacha nicheke hahaahaahaa, uwe na siku njema basi!!![/QUOTEwanajeshi wote ni raia ila so raia wote ni wanajeshi. kwahiyo mwanajeshi anavaa nguo zote za kiraia na za kijeshi
 
Wanajeshi wanafikiria kijeshi, wewe usomi wako na uprofesa wako huko huko chuoni, jeshini na amri na nidhamu ya kijeshi tu, mwanajeshi hafikirii kiraia raia wao wanafikiria kimkakati zaidi ndio mana kule jeshini unatolewa uraia na ubinafsi unapewa akili ya kijeshi na ku think strategically
Mkuu jitahidi usome maelezo kwanza na uelewe ndipo uijibu hoja, maana hukutakiwa kuniandikia Mimi Maelezo yako. Tafadhari hebu rudi kule juu usome kwanza maelezo ya niliyemreply, alafu soma ndipo usome maelezo ya kwangu kuna kitu utagundua.
 
Ngoja tuone jeshi la marekani kuhusu uvaaji wa sare za kijeshi
 

Attachments

  • 1406306902026.jpg
    1406306902026.jpg
    83.4 KB · Views: 172
  • 1406306924413.jpg
    1406306924413.jpg
    75.4 KB · Views: 138
  • 1406306938568.jpg
    1406306938568.jpg
    69.2 KB · Views: 132
Waigizaji wanaruhusiwa iwapo wameomba.
 

Attachments

  • 1406307232424.jpg
    1406307232424.jpg
    13.6 KB · Views: 142
Kama kila kinachofanywa na wamerekani kizuri, kuna siku mtaishauri Serikali wawatambue mashoga kama wao.

Ngoja nicheck iq yako, kwa sababu lengo langu la kuleta hii ni kuangalia sheria mbalimbali za ulinzi ktk nchi zingine ili umma uelewe kuwa kuvaa nguo za kijeshi tofauti na wahusika ni kosa popote duniani. Ww umekimbilia ushoga sijui unauza mitumba ya mavazi haya. Pia kila mtu anaweza kutoa lugha chafu hivyo jaribu kuwa mstaarabu. Watu hawajui km ni kosa kimataifa kuvaa nguo hizo bila lengo na bila kibali. Sisi tunaojua tunaleta nyaraka mbali mbali ili waelewe. Wewe unatukejeli na kutumia lugha isiyo na staha kana kwamba hatuwezi kufanya hivyo kwako, si sahihi.
 
Kama kauli imetolewa na JWTZ maana yake ni nini? Je, JWTZ wana uwezo kisheria kutoa kauli? Je hizo power za kutoa kauli kama hiyo ni sahihi? Na kama ni sahihi Je, ni halali?

Ninavyofahamu mimi Tanzania haiko chini ya sheria za kijeshi na kumbukumbu zangu zinanifanya niwe na mashaka na uelewa wako maana ni hawa hawa Wanajeshi ambao tunasikia wanawapiga raia bila sababu zozote za msingi na hawafanywi chochote. Je, Jeshi la Tanzania limeshindwa kuwa na nidhamu? Kama wanataka kuingilia mambo ya kutunga sheria za nchi hii wajikite kwenye siasa waondoke kwenye makambi ambako tumewawekea sheria zinazowalinda.

Hawa wanajeshi wanaachiwa kutoa kauli kama hizi ambazo hazina kichwa wala mkia sio competent kwenye nyanja zao ndio sababu wanajikita katika mambo yasiyowahusu. Swala la ulinzi na usalama wa raia ndani ya nchi ni jukumu la polisi kama polisi wameshindwa tuna jukumu la kulivunja jeshi la polisi na kuunda taasisi ambayo mosi haiwakandamizi raia wake wanaolipa kodi kwa wao kuwa pale na pili kulinda maslahi ya raia wake na rasilimali zao.

Ngoja waje wakujibu kwa sababu una mapungufu ya sheria na hata tu taratibu za mifumo ya uendeshaji nchi hujui. Lkn ngoja nikusaidie kidogo. Jeshi limetoa kauli ya iliyomo ktk sheria za nchi. Ukifanya utoto wa kukiuka unakamatwa na yeyote hata km ni raia unakabidhiwa sehemu sahihi ya kukushughulikia (polisi?) Baadaye unakwenda mahakama za kiraia..... ngoja waje wenyewe wakupe!
 
Ngoja waje wakujibu kwa sababu una mapungufu ya sheria na hata tu taratibu za mifumo ya uendeshaji nchi hujui. Lkn ngoja nikusaidie kidogo. Jeshi limetoa kauli ya iliyomo ktk sheria za nchi. Ukifanya utoto wa kukiuka unakamatwa na yeyote hata km ni raia unakabidhiwa sehemu sahihi ya kukushughulikia (polisi?) Baadaye unakwenda mahakama za kiraia..... ngoja waje wenyewe wakupe!

Hivi unafikiri kwa nini watu siku hizi wamenunua bastola kihalali? Ni kwa sababu hawataki kusumbuliwa na wapuuzi kama nyinyi ambao mnajichukulia sheria mikononi. Mbona hamuwakamati mafisadi na kuwapeleka polisi wakati mnafahamu kabisa ni wezi?

BTW wewe unafahamu sheria tuwekee hivyo vifungu vya sheria.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Kama kauli imetolewa na JWTZ maana yake ni nini? Je, JWTZ wana uwezo kisheria kutoa kauli? Je hizo power za kutoa kauli kama hiyo ni sahihi? Na kama ni sahihi Je, ni halali?

Ninavyofahamu mimi Tanzania haiko chini ya sheria za kijeshi na kumbukumbu zangu zinanifanya niwe na mashaka na uelewa wako maana ni hawa hawa Wanajeshi ambao tunasikia wanawapiga raia bila sababu zozote za msingi na hawafanywi chochote. Je, Jeshi la Tanzania limeshindwa kuwa na nidhamu? Kama wanataka kuingilia mambo ya kutunga sheria za nchi hii wajikite kwenye siasa waondoke kwenye makambi ambako tumewawekea sheria zinazowalinda.

Hawa wanajeshi wanaachiwa kutoa kauli kama hizi ambazo hazina kichwa wala mkia sio competent kwenye nyanja zao ndio sababu wanajikita katika mambo yasiyowahusu. Swala la ulinzi na usalama wa raia ndani ya nchi ni jukumu la polisi kama polisi wameshindwa tuna jukumu la kulivunja jeshi la polisi na kuunda taasisi ambayo mosi haiwakandamizi raia wake wanaolipa kodi kwa wao kuwa pale na pili kulinda maslahi ya raia wake na rasilimali zao.

Kazi ya kulinda raia ni kazi ya polisi tu, wewe kama raia hupaswi kulinda raia wenzio? JWTZ wanamajukumu yaliyogawanyika katika vipindi viwili, yaani wakati wa amani na wakati wa vita. Wakati amani moja ya majukumu yao ni pamoja na kusaidia mamlaka za kiraia, mfano: Madaktari wamegoma JWTZ, Wanaenda kufanya kazi badala yao. Kwenye Maafa huwa tunaona wanavyosaidia. Na? ikitoe mtu anaporwa halafu karibu yake kuna Askari wa JWTZ kama wa tano tu, na wasinsaidie mporwaji, unadhani mporwaji hatalalamika wanajeshi hawakumsaidia? Polisi wao wamekabidhiwa jukumu hilo walisimamie wao, lakini hamaanishi wewe na mimi hatupaswi kulinda usalama wa raia wenzetu.
 
Back
Top Bottom