JWTZ yaonya wanaovaa sare zake

JWTZ yaonya wanaovaa sare zake

Haya ndio matatizo ya nchi masikini, kuvaa mavazi kama ya jeshi nako kuna sheria? Sheria zilizopitwa na wakati ni ishara ya udhaifu wa uongozi. Kama vazi limekuwa kitambulisho si waseme basi? Wamekalia kuangalia mambo ambayo hayana tija kwa raia lakini mambo ya msingi wanayakwepa mathalani vifurushi vya binadamu ambavyo vinatupwa hovyo hadharani? Wizi uliokubuhu unaoendeshwa kutoka Magogoni. Uporaji wa rasilimali za nchi na wageni ambao wanaingia holela na kufanya wanavyotaka. Rais dhaifu matokeo yake ndio haya. Mlisema Mwinyi alikuwa dhaifu mzee wa Rukhsa ambaye ndiye aliyekaleta haka kajambazi kanakotusumbua.

Yaani wewe ni kichaa kabisa,, kwa hiyo ungekuwa rais ungeruhusu nguo za jeshi kuvaliwa hovyo? Sio lazima uchangie mada kama huna hoja za msingi wewe kaa kimya!!
 
“Msisitizo uliwekwa hapa katika vifungu vya sheria ni kwamba sio lazima ukutwe na sare ambazo zinatumiwa na JWTZ. Hasha!. Hapa sheria inasema hata kama tu nguo hiyo itaelekea kufanana kwa namna yoyote ile na sare za JWTZ, ni kosa la kisheria kuitumia,” ilisema taarifa ya Jeshi kwa vyombo vya habari.

575686_171810116354558_542460542_n.jpg

Watamkamata na huyu waziri?
 
Mbona zinazofanana na OG hazikatazwi mpaka wanafunzi wanavaa?.
 
Yaani wewe ni kichaa kabisa,, kwa hiyo ungekuwa rais ungeruhusu nguo za jeshi kuvaliwa hovyo? Sio lazima uchangie mada kama huna hoja za msingi wewe kaa kimya!!

Kwani wewe unafikiri kila mtu ana nyege ya kuvaa mavazi ya kijeshi. Soma nilichoandika , nimechema viongozi wamekalia mambo ambayo hayana tija. Je wanaotorosha wanyama kutoka serengeti wamevaa sare za kijeshi? Je, mafisadi wanaolala Magogoni wamevaa sare za kijeshi? Wanaotorosha madini kutoka Mwanza, geita kwa ndege maalumu wamevaa mavazi ya kijeshi? Walioiba pesa za escrow wamevaa magwanda ya kijeshi? The list goes on and on kwa sababu ya kuwa na rais kichaka dhaifu, hajui kwa nini yuko pale .. ... .. shame on you ------ who think by looking at your nose.
 
Ni kweli wao ni eksepsheni kwani wewe hutaki? Kama unabisha njoo home nikupe gwanda la kombati nilitoa mtumbani ili uwe unavaa kama unaweza lkn?

!
!
mafala tu hawana lolote, kazi kutwa nzima kucrow kufyekafyeka majani na kupiga push up tu hawana kazi za kufanya na ndio maana wanajikuta wanazinguana na raia. Wanajeshi nchi nyingine wako katika mambo makubwa ya maendeleo huku wamekalia gongo na bange mwishoni wakistaagu wanakuwa walinzi. Mbwa kabisa hao. Wanaona bora sare zao zikakatikiwe mauno stejini kuliko mtu kuvaa tena isitoshe unakuta umevaa imeandikwa kabisa US ARMY ila bado wanakomaa. Senge mno.
 
!
!
mafala tu hawana lolote, kazi kutwa nzima kucrow kufyekafyeka majani na kupiga push up tu hawana kazi za kufanya na ndio maana wanajikuta wanazinguana na raia. Wanajeshi nchi nyingine wako katika mambo makubwa ya maendeleo huku wamekalia gongo na bange mwishoni wakistaagu wanakuwa walinzi. Mbwa kabisa hao. Wanaona bora sare zao zikakatikiwe mauno stejini kuliko mtu kuvaa tena isitoshe unakuta umevaa imeandikwa kabisa US ARMY ila bado wanakomaa. Senge mno.

Kimaendeleo hata katika level ya nchi Tanzania bado huwezi fananisha na Marekani hivyo iweje jeshi letu ufananishe na Marekani?

Sheria zetu ni tofauti na za hizo nchi unazotaja,,Tanzania nia Tanzania pamoja na sheria zake hivyo sheria yetu inaruhusu wanajeshi tu kuvaaa kombati...... Kwa mfano Sudan ya Khartoum polisi anarusiwa kumchapa mtu viboko visivyozidi sita pale mtu anapofanya vitendo vinavyokwenda kinyume na maadili ya jamii ya kisudan hizo ni sheria zao!!!
 
Duh!! Hizi zina sumu yake sijui raia anaanzaje kujipimp na kile kivazi cha jungle green chenye vibaka vyekundu mabegani...ila hatasahau shurba na kichapo chake!! Ghasia wana ghasia saana.

Tatizo nguo za polisi zinafanana na security guard ndo sababu raia huwa hawazishobokei!!!
 
Duh pole diamond ....subiri adhabu na fedheha
 

Attachments

  • 1413902184751.jpg
    1413902184751.jpg
    43.1 KB · Views: 61
  • 1413902205252.jpg
    1413902205252.jpg
    53.3 KB · Views: 56
  • 1413902330536.jpg
    1413902330536.jpg
    49.4 KB · Views: 54
Taarifa hiyo ilitolewa na Kurugenzi ya Habari na Mahusiano, Makao Makuu ya Jeshi, jijini Dar es Salaam, jana. Kwa mujibu wa taarifa hiyo, mtu yeyote yule asiye na ruhusa ya kushona, kuuza au kuingiza nchini sare za jeshi, atakuwa ametenda kosa, hivyo atafikishwa mahakamani.

Hapa ndo mahakamani na huyu mjeda ni hakimu/jaji?

IMG-20141014-WA0003.jpg
 
Na wao wasivae sare za raia.., wavae hizo hizo za kwao.., tusiingiliane kabisa.

Bado wao ni raia wa nchi hii, huwezi kuwanyang'anya haki yao. Ila wewe kama si mwanajeshi, ni kwamba si mwanajeshi, period! Usilinganishe vitu visivyokuwa na msingi wowote.
 
Back
Top Bottom