JWTZ yatangaza nafasi za kazi kwa vijana wenye mafunzo ya JKT

Chenga ndio kama hizo mara msogeze pwani alafu anabunda
By the way sinaga uvumilivu soon nitaanza kumlalamikia
 
Inauma saana mtu una sifa zote alafu ukakosa nafasi bad enough unasikia kuna mtu analeta habari za "jamaa wa ikuru"

Ushauri kwenu
Connection zinaundwa kwa nidhamu sio pesa
RPC kapunwa 1.5 milioni
Kuwa makini sana Kuna matapeli
 
Kuweni makini sana aise
 
Kama huna coonection haya mambo hata uwe na sifa 200 hutoboi nakwambia ni ngum uwe na sifa za jkt miak miwil au huna mzee kwasasa ins short uta suffer subir waje na mrejesho wa mujibu au mtaani utawakut uko uko kikubwa nikuomba mungu ila sio kujipa vyeo nilipita huku au kule
 
ni kweli kabisa bila connection utabakia na vyeti vyako vya jakata.... af watu hata jakata hawajapita af haoo wanapita tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…