mudryk
Senior Member
- Jan 21, 2023
- 174
- 224
Sasa si wanapita njia tu miezi mitatu baada ya hapo wanaenda chuo kwani shida iko wapiBraza unajikutaaa!!...kumbe hamna kitu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa si wanapita njia tu miezi mitatu baada ya hapo wanaenda chuo kwani shida iko wapiBraza unajikutaaa!!...kumbe hamna kitu
We dg fala nn kwaio msiambiwe ukweliNi service man... hakuna askar mjinga mjinga hivyo
Kumbe Bado una wish na ka elimu kako ka form six unawaza nyota hata chomboni hujaingia chicken headKumbe na nyie mnamchoraga eee KENGE huy anawaona mujibu sijui kama nini kati na yeye ni mbwa tu na vyeo tunampita jeshini atabaki kuvaa V tu mujibu wanavaa STAR[emoji92]
Unavosema tutampita utafikir una uhakika sasa wa kuingia we kiaziKumbe na nyie mnamchoraga eee KENGE huy anawaona mujibu sijui kama nini kati na yeye ni mbwa tu na vyeo tunampita jeshini atabaki kuvaa V tu mujibu wanavaa STAR[emoji92]
usikute kashalishwa sumu na elimu yake ya form 6 hapo humwambii kitu akaelewa... kifupi mujib sio sawa na kujitolea hata siku moja.Unavosema tutampita utafikir una uhakika sasa wa kuingia we kiazi
Utakuta wamemuambia dg na form six yako jeshini ukifika lazma ulambe nyota ndio akili Za mujibu izousikute kashalishwa sumu na elimu yake ya form 6 hapo humwambii kitu akaelewa... kifupi mujib sio sawa na kujitolea hata siku moja.
apo atakua hata akiwaona makoplo anaona hamna kitu wakati yeye hata chomboni tu bado hajaingiaUtakuta wamemuambia dg na form six yako jeshini ukifika lazma ulambe nyota ndio akili Za mujibu izo
mambo yamenyooka mkuu?!Jamaa wa ikuru kashafanya yake safi saana
hongera kwa utambuzi mkuuHaya maisha hayajawahi kuwa rahisi hata kidogo
Si nd hapo wanaponishangazaapo atakua hata akiwaona makoplo anaona hamna kitu wakati yeye hata chomboni tu bado hajaingia
Kwa 50% jamaa wa ikuru hajawai kuniangushamambo yamenyooka mkuu?!
Asee umenikumbusha mbali sana Komsanga,duty free na kijijini kwa wamang'ati😁[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] eve mie nna cheti cha JKT kwa mujibu wa Sheria 2019, mgambo JKT kabuku Tanga.
Wala sio hivyo unavowazaaa, uwiiiiih.
Wee twendeee.
Hakikawatu washaahidiwa ka % wakipeleka wateja, wanaanza KUONGEA et Jamaa wa ikulu, hahaahah Fox nyie tulieni bana we subiri vitu viwili tu katika nafasi hizi ambavyo ni
1. uchaguliwe kwa kukidhi qualification au
2. ALLAH aonyeshe mkono wake (i mean ubahatike)
hawa wengine WANAOONGEA mtawaona humu Jf kila mwaka na kila threads ya kazi watakoment, sasa jiulize jamaa wa ikulu bado ajawaona tu.
-NIMEMALIZA-
Hahaha usipokaa makini unapigwa pesa na huendi unabaki kusema jamaa wa ikulu so poah kule unapelekwa afu wiki ya kwanza tu unaomba kurudi nyumbaniwatu washaahidiwa ka % wakipeleka wateja, wanaanza KUONGEA et Jamaa wa ikulu, hahaahah Fox nyie tulieni bana we subiri vitu viwili tu katika nafasi hizi ambavyo ni
1. uchaguliwe kwa kukidhi qualification au
2. ALLAH aonyeshe mkono wake (i mean ubahatike)
hawa wengine WANAOONGEA mtawaona humu Jf kila mwaka na kila threads ya kazi watakoment, sasa jiulize jamaa wa ikulu bado ajawaona tu.
-NIMEMALIZA-