JWTZ yatangaza nafasi za kazi kwa vijana wenye mafunzo ya JKT

JWTZ yatangaza nafasi za kazi kwa vijana wenye mafunzo ya JKT

Kumbe na nyie mnamchoraga eee KENGE huy anawaona mujibu sijui kama nini kati na yeye ni mbwa tu na vyeo tunampita jeshini atabaki kuvaa V tu mujibu wanavaa STAR[emoji92]
Kumbe Bado una wish na ka elimu kako ka form six unawaza nyota hata chomboni hujaingia chicken head
 
Utakuta wamemuambia dg na form six yako jeshini ukifika lazma ulambe nyota ndio akili Za mujibu izo
apo atakua hata akiwaona makoplo anaona hamna kitu wakati yeye hata chomboni tu bado hajaingia
 
Naona mikwaruano kati ya mujibu na kujitolea... Binafsi naona kujitolea jakata haikufanyi uwe bora kuliko mujibu and vice versa is true.

Kuhusu kuingia chomboni, miaka ya nyuma watu walikuwa wanaingia hata jakata hawaijui.
 
Connection ambazo sio za ndugu haziji kibahati mbaya tu ila zinajengwa kwa nidhamu

Kuna dogo mwaka 2020 alikuwa ni fundi rangi (alikuwa anafundishwa na kaka yake baada ya kumaliza form six)

Katika harakati zao za upakaji rangi wakajuana na mibanga mbalimbali like mameneja wa Tigo,voda,tanesco,tbs nk
Wakajuana na mibanga wengine wa jwtz polisi tanapa nmb nk

Sasa juzi nikampigia simu kaka yake na huyo dogo nilitaka amwambie dogo aje anipakie rangi dinning room (huwa nampenda aje huyo dogo sababu yupo very humble)

Kaka yake akanijibu kuwa "DOGO ALIPATA CONNECTION NOW YUPO NCHI MOJA WAPO YA middle east ANACHUKUA KOZI YA cyber security......na NYOTA YA PILI...."

In short young man alipata connection kwa kupitia wateja wao wa kazi zao za ufundi nidhamu yake ikambeba nadhani atakuwa na 23 years now

Nitarudi kusema......
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] eve mie nna cheti cha JKT kwa mujibu wa Sheria 2019, mgambo JKT kabuku Tanga.

Wala sio hivyo unavowazaaa, uwiiiiih.
Wee twendeee.
Asee umenikumbusha mbali sana Komsanga,duty free na kijijini kwa wamang'ati😁
Time flies so fast🙌
 
watu washaahidiwa ka % wakipeleka wateja, wanaanza KUONGEA et Jamaa wa ikulu, hahaahah Fox nyie tulieni bana we subiri vitu viwili tu katika nafasi hizi ambavyo ni
1. uchaguliwe kwa kukidhi qualification au
2. ALLAH aonyeshe mkono wake (i mean ubahatike)
hawa wengine WANAOONGEA mtawaona humu Jf kila mwaka na kila threads ya kazi watakoment, sasa jiulize jamaa wa ikulu bado ajawaona tu.
-NIMEMALIZA-
 
watu washaahidiwa ka % wakipeleka wateja, wanaanza KUONGEA et Jamaa wa ikulu, hahaahah Fox nyie tulieni bana we subiri vitu viwili tu katika nafasi hizi ambavyo ni
1. uchaguliwe kwa kukidhi qualification au
2. ALLAH aonyeshe mkono wake (i mean ubahatike)
hawa wengine WANAOONGEA mtawaona humu Jf kila mwaka na kila threads ya kazi watakoment, sasa jiulize jamaa wa ikulu bado ajawaona tu.
-NIMEMALIZA-
Hakika

Sent from my Infinix X658E using JamiiForums mobile app
 
watu washaahidiwa ka % wakipeleka wateja, wanaanza KUONGEA et Jamaa wa ikulu, hahaahah Fox nyie tulieni bana we subiri vitu viwili tu katika nafasi hizi ambavyo ni
1. uchaguliwe kwa kukidhi qualification au
2. ALLAH aonyeshe mkono wake (i mean ubahatike)
hawa wengine WANAOONGEA mtawaona humu Jf kila mwaka na kila threads ya kazi watakoment, sasa jiulize jamaa wa ikulu bado ajawaona tu.
-NIMEMALIZA-
Hahaha usipokaa makini unapigwa pesa na huendi unabaki kusema jamaa wa ikulu so poah kule unapelekwa afu wiki ya kwanza tu unaomba kurudi nyumbani
 
Back
Top Bottom