Mikepoti
Senior Member
- Jun 5, 2014
- 101
- 136
Je walipoita kwa mujibu wa sheria,? Hawana sifa??
Lazima uwe umepitia jkt miaka 2 kwa kujitoleaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Je walipoita kwa mujibu wa sheria,? Hawana sifa??
Duuh mie nilipita kwa mujibu miezi 3, sasa miaka 2 ya kujitolea tenaa?? Uwiiiiih sitawezaaaLazima uwe umepitia jkt miaka 2 kwa kujitoleaa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] eve mie nna cheti cha JKT kwa mujibu wa Sheria 2019, mgambo JKT kabuku Tanga.We coca wewe si utatrend kama afande rama [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nilienda kwa mujibu wa sheria, ila intake yangu hatukukaguliwaaa marindaaa. Ila wa mwanzo walikaguliwa.Mwambie usaili WA Kule lazma wakague ka marinda yapo hawakubal kuuziwa mbuzi kwny gunia
Kwa mujibu hua hawakagui Mara nyingi wanawakagua wa kujitolea na ukitaka kuivaa nguo yao yaani baka lazima ukaguliwe Haswaa sio marinda tu hata mshipa ka ufanya kazi utaambiwa ukohoeNilienda kwa mujibu wa sheria, ila intake yangu hatukukaguliwaaa marindaaa. Ila wa mwanzo walikaguliwa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mujibu hakuna kitu pale.Kwa mujibu hua hawakagui Mara nyingi wanawakagua wa kujitolea na ukitaka kuivaa nguo yao yaani baka lazima ukaguliwe Haswaa sio marinda tu hata mshipa ka ufanya kazi utaambiwa ukohoe
CCM kwa sasa ina wanachama na uongozi unaoharibu taifa. Watolewe wameshashindwa kulijenga taifa maana wapo nje ya misingi ya ujenzi wa taifa.Tunatengeneza Jeshi la vilaza (Kuna Vigezo havina mashiko kabisa)
1- Upuuzi wa JKT kuanzia (Mujibu na kuendelea)
2- Upuuzi wa Umri
3- Upuuzi wa kutoweka msisitizo ktk vipaji maalumu (Potentiality)
Jeshi linatakiwa lisukwe na watu wenye akili changamfu na sio wajinga wajinga
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kumbeee.Kwa mujibu hua hawakagui Mara nyingi wanawakagua wa kujitolea na ukitaka kuivaa nguo yao yaani baka lazima ukaguliwe Haswaa sio marinda tu hata mshipa ka ufanya kazi utaambiwa ukohoe
hawaelewekagiMwenye ronja wapi wamefikia hawa ndgu wa tpdf
Au sms/ phone wameshaanza kupiga??
Sent from my Infinix X658E using JamiiForums mobile app
keshoMwenye ronja wapi wamefikia hawa ndgu wa tpdf
Au sms/ phone wameshaanza kupiga??
Sent from my Infinix X658E using JamiiForums mobile app
wanapiga simu au ndo ma pdfkesho
Ndio ivo jeshi hawakosei hicho kipengele labda huko kwingine[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kumbeee.
OukNdio ivo jeshi hawakosei hicho kipengele labda huko kwingine
Sa mujibu si wapita njia tu
Braza unajikutaaa!!...kumbe hamna kituSa mujibu si wapita njia tu
Huyu jamaa namuona tu hua ana dharau kinoma .utafikiria kayamaliza maishaBraza unajikutaaa!!...kumbe hamna kitu
Kumbe na nyie mnamchoraga eee KENGE huy anawaona mujibu sijui kama nini kati na yeye ni mbwa tu na vyeo tunampita jeshini atabaki kuvaa V tu mujibu wanavaa STAR✨Huyu jamaa namuona tu hua ana dharau kinoma .utafikiria kayamaliza maisha
Ni service man... hakuna askar mjinga mjinga hivyoKumbe na nyie mnamchoraga eee KENGE huy anawaona mujibu sijui kama nini kati na yeye ni mbwa tu na vyeo tunampita jeshini atabaki kuvaa V tu mujibu wanavaa STAR[emoji92]