JWTZ yatangaza nafasi za kazi kwa vijana wenye mafunzo ya JKT

JWTZ yatangaza nafasi za kazi kwa vijana wenye mafunzo ya JKT

Mwambie usaili WA Kule lazma wakague ka marinda yapo hawakubal kuuziwa mbuzi kwny gunia
Nilienda kwa mujibu wa sheria, ila intake yangu hatukukaguliwaaa marindaaa. Ila wa mwanzo walikaguliwa.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Nilienda kwa mujibu wa sheria, ila intake yangu hatukukaguliwaaa marindaaa. Ila wa mwanzo walikaguliwa.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kwa mujibu hua hawakagui Mara nyingi wanawakagua wa kujitolea na ukitaka kuivaa nguo yao yaani baka lazima ukaguliwe Haswaa sio marinda tu hata mshipa ka ufanya kazi utaambiwa ukohoe
 
Tunatengeneza Jeshi la vilaza (Kuna Vigezo havina mashiko kabisa)

1- Upuuzi wa JKT kuanzia (Mujibu na kuendelea)
2- Upuuzi wa Umri
3- Upuuzi wa kutoweka msisitizo ktk vipaji maalumu (Potentiality)

Jeshi linatakiwa lisukwe na watu wenye akili changamfu na sio wajinga wajinga
CCM kwa sasa ina wanachama na uongozi unaoharibu taifa. Watolewe wameshashindwa kulijenga taifa maana wapo nje ya misingi ya ujenzi wa taifa.
 
Back
Top Bottom