Trevor Belmont
Member
- Oct 21, 2022
- 15
- 30
mrejesho kuhusu maombi ya kujiunga na JWTZ nime tupiliwa mbali😓😓😓
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Navy yetu ina frigates?Ruka nayo Mjomba
Uende ukacheze na Frigates Bahari ya Hindi
Ni kitu kimoja.Nieleweshen Jwtz na jkt tofaut ni nini
Hata JKT ni wapiganaji pia.JWTZ ni umeweka maisha rehani ikitokea vita huna uchaguzi, unapelekwa popote.
JKT ni kundi la wakulima na wafanyakazi wa jeshi, hawa watapelekwa vitani kusaidia kuchimba mitaro
27 Ina Maana hawataki graduates hapo target fm4 na 6 ,,Miaka 27 ni kigezo cha kupunguzaa watu ila hakina uhalisiaa kabisaa
Kivipi hebu fafanua kidogo.mrejesho kuhusu maombi ya kujiunga na JWTZ nime tupiliwa mbali😓😓😓
kifupi kwenye umri hapo ni mtego wa kuchuja watu27 Ina Maana hawataki graduates hapo target fm4 na 6 ,,
Maana nasikia hawa vijana walihakikiwaga jeshini kabla ya kuondoka ,Maana wanataarifa nao za umri kitambo sana MAAANA mpka kuweka kigezo hicho ni kuwa hawataki graduates au ka wapo ni wachache mnoooooo
Jmani wenye kujaribu jaribu vijna mliopita jkt huwezi jua ya kesho
Hawawezi kukuelewa ila ipo siku nitaeleza maana huu ujinga unazidi kutamalaki .Nafasi za mchongo zmetoka
Unapoteza mdaKwa hizi nafac kama hujaenda jkt unaweza jaribu kutuma maombi au ni kupoteza muda wataalamu
SahihiNi kitu kimoja.
JKT Ni kamandi ya JWTZ ambapo JWTZ Ina kamandi tano nazo Ni Kamandi ya makao makuu, kamandi ya Anga, Kamandi ya ardhini (Land Force Command), kamandi ya JKT na kamandi ya majini.
nili peleka vyeti vyangu vyote nika jieleza kwamba nime pita jkt ila sikuchukuaga Cheti MP wa pale getin makao makuu aka sema Una nidanganya eee nika mjibu hapana aka itwa afande mwingine Nika pelekwa kwenye kichumba Kwa ndani kidogo waka nikaba tena kwamba sema ukweli nika salimu amri Nika sema sija pita ila nalipenda jeshi na Nina omba nijiunge vyeti hivi hapa waka vicheki wakani pongeza then waka sema kwa sasa hawana nafasi ila wata toa nafasi sa professional mwezi wa 5 then wata toa za jkt hapo hapo ndio waka sema Kwa muda huo ujao nina weza kuapply nika ondoka lakin baada ya hapo mwanajeshi mmoja aka nofuata kwa nyuma aka ningata skio kwamba kama nina kitu ana weza nisaidia kuingia Nika mwambia Mim yatima hela sina kazi sina aka niambia kila la kheri ... ndio hivyo wadau wanguKivipi hebu fafanua kidogo.
Pole mkuu. Nimekuomba ufafanue na umefafanua kwa kirefu mpaka imekuwa ramli chonganishi.nili peleka vyeti vyangu vyote nika jieleza kwamba nime pita jkt ila sikuchukuaga Cheti MP wa pale getin makao makuu aka sema Una nidanganya eee nika mjibu hapana aka itwa afande mwingine Nika pelekwa kwenye kichumba Kwa ndani kidogo waka nikaba tena kwamba sema ukweli nika salimu amri Nika sema sija pita ila nalipenda jeshi na Nina omba nijiunge vyeti hivi hapa waka vicheki wakani pongeza then waka sema kwa sasa hawana nafasi ila wata toa nafasi sa professional mwezi wa 5 then wata toa za jkt hapo hapo ndio waka sema Kwa muda huo ujao nina weza kuapply nika ondoka lakin baada ya hapo mwanajeshi mmoja aka nofuata kwa nyuma aka ningata skio kwamba kama nina kitu ana weza nisaidia kuingia Nika mwambia Mim yatima hela sina kazi sina aka niambia kila la kheri ... ndio hivyo wadau wangu
Du hatari sana aisee.nili peleka vyeti vyangu vyote nika jieleza kwamba nime pita jkt ila sikuchukuaga Cheti MP wa pale getin makao makuu aka sema Una nidanganya eee nika mjibu hapana aka itwa afande mwingine Nika pelekwa kwenye kichumba Kwa ndani kidogo waka nikaba tena kwamba sema ukweli nika salimu amri Nika sema sija pita ila nalipenda jeshi na Nina omba nijiunge vyeti hivi hapa waka vicheki wakani pongeza then waka sema kwa sasa hawana nafasi ila wata toa nafasi sa professional mwezi wa 5 then wata toa za jkt hapo hapo ndio waka sema Kwa muda huo ujao nina weza kuapply nika ondoka lakin baada ya hapo mwanajeshi mmoja aka nofuata kwa nyuma aka ningata skio kwamba kama nina kitu ana weza nisaidia kuingia Nika mwambia Mim yatima hela sina kazi sina aka niambia kila la kheri ... ndio hivyo wadau wangu
Wewe tuma tuma tu lolote linaweza kutokea.Kwa hizi nafac kama hujaenda jkt unaweza jaribu kutuma maombi au ni kupoteza muda wataalamu
Kambi ya jeshi siyo pakuleta mzaha pale.pale makao panatisha MP wa kutosha,kama ni wa mujib au op za sahizi mafyekeo yapo mengi pale unakuta tuu wadau wanaendelea kufyeka wengine bodaboda,ila kuna jamaa nae ni op samia na hana chet walivyo mbana wakajua katokea mbali wakamuonea huruma wakamuambia aweke barua yake pale
pale makao panatisha MP wa kutosha,kama ni wa mujib au op za sahizi mafyekeo yapo mengi pale unakuta tuu wadau wanaendelea kufyeka wengine bodaboda,ila kuna jamaa nae ni op samia na hana chet walivyo mbana wakajua katokea mbali wakamuonea huruma wakamuambia aweke barua yake pale
Mkuu, Afande alikuambia watahitaji professional gani ?nili peleka vyeti vyangu vyote nika jieleza kwamba nime pita jkt ila sikuchukuaga Cheti MP wa pale getin makao makuu aka sema Una nidanganya eee nika mjibu hapana aka itwa afande mwingine Nika pelekwa kwenye kichumba Kwa ndani kidogo waka nikaba tena kwamba sema ukweli nika salimu amri Nika sema sija pita ila nalipenda jeshi na Nina omba nijiunge vyeti hivi hapa waka vicheki wakani pongeza then waka sema kwa sasa hawana nafasi ila wata toa nafasi sa professional mwezi wa 5 then wata toa za jkt hapo hapo ndio waka sema Kwa muda huo ujao nina weza kuapply nika ondoka lakin baada ya hapo mwanajeshi mmoja aka nofuata kwa nyuma aka ningata skio kwamba kama nina kitu ana weza nisaidia kuingia Nika mwambia Mim yatima hela sina kazi sina aka niambia kila la kheri ... ndio hivyo wadau wangu