JWTZ yatangaza nafasi za kazi kwa vijana wenye mafunzo ya JKT

JWTZ yatangaza nafasi za kazi kwa vijana wenye mafunzo ya JKT

Miaka 27 ni kigezo cha kupunguzaa watu ila hakina uhalisiaa kabisaa
27 Ina Maana hawataki graduates hapo target fm4 na 6 ,,

Maana nasikia hawa vijana walihakikiwaga jeshini kabla ya kuondoka ,Maana wanataarifa nao za umri kitambo sana MAAANA mpka kuweka kigezo hicho ni kuwa hawataki graduates au ka wapo ni wachache mnoooooo

Jmani wenye kujaribu jaribu vijna mliopita jkt huwezi jua ya kesho
 
27 Ina Maana hawataki graduates hapo target fm4 na 6 ,,

Maana nasikia hawa vijana walihakikiwaga jeshini kabla ya kuondoka ,Maana wanataarifa nao za umri kitambo sana MAAANA mpka kuweka kigezo hicho ni kuwa hawataki graduates au ka wapo ni wachache mnoooooo

Jmani wenye kujaribu jaribu vijna mliopita jkt huwezi jua ya kesho
kifupi kwenye umri hapo ni mtego wa kuchuja watu
 
Kivipi hebu fafanua kidogo.
nili peleka vyeti vyangu vyote nika jieleza kwamba nime pita jkt ila sikuchukuaga Cheti MP wa pale getin makao makuu aka sema Una nidanganya eee nika mjibu hapana aka itwa afande mwingine Nika pelekwa kwenye kichumba Kwa ndani kidogo waka nikaba tena kwamba sema ukweli nika salimu amri Nika sema sija pita ila nalipenda jeshi na Nina omba nijiunge vyeti hivi hapa waka vicheki wakani pongeza then waka sema kwa sasa hawana nafasi ila wata toa nafasi sa professional mwezi wa 5 then wata toa za jkt hapo hapo ndio waka sema Kwa muda huo ujao nina weza kuapply nika ondoka lakin baada ya hapo mwanajeshi mmoja aka nofuata kwa nyuma aka ningata skio kwamba kama nina kitu ana weza nisaidia kuingia Nika mwambia Mim yatima hela sina kazi sina aka niambia kila la kheri ... ndio hivyo wadau wangu
 
nili peleka vyeti vyangu vyote nika jieleza kwamba nime pita jkt ila sikuchukuaga Cheti MP wa pale getin makao makuu aka sema Una nidanganya eee nika mjibu hapana aka itwa afande mwingine Nika pelekwa kwenye kichumba Kwa ndani kidogo waka nikaba tena kwamba sema ukweli nika salimu amri Nika sema sija pita ila nalipenda jeshi na Nina omba nijiunge vyeti hivi hapa waka vicheki wakani pongeza then waka sema kwa sasa hawana nafasi ila wata toa nafasi sa professional mwezi wa 5 then wata toa za jkt hapo hapo ndio waka sema Kwa muda huo ujao nina weza kuapply nika ondoka lakin baada ya hapo mwanajeshi mmoja aka nofuata kwa nyuma aka ningata skio kwamba kama nina kitu ana weza nisaidia kuingia Nika mwambia Mim yatima hela sina kazi sina aka niambia kila la kheri ... ndio hivyo wadau wangu
Pole mkuu. Nimekuomba ufafanue na umefafanua kwa kirefu mpaka imekuwa ramli chonganishi.
 
nili peleka vyeti vyangu vyote nika jieleza kwamba nime pita jkt ila sikuchukuaga Cheti MP wa pale getin makao makuu aka sema Una nidanganya eee nika mjibu hapana aka itwa afande mwingine Nika pelekwa kwenye kichumba Kwa ndani kidogo waka nikaba tena kwamba sema ukweli nika salimu amri Nika sema sija pita ila nalipenda jeshi na Nina omba nijiunge vyeti hivi hapa waka vicheki wakani pongeza then waka sema kwa sasa hawana nafasi ila wata toa nafasi sa professional mwezi wa 5 then wata toa za jkt hapo hapo ndio waka sema Kwa muda huo ujao nina weza kuapply nika ondoka lakin baada ya hapo mwanajeshi mmoja aka nofuata kwa nyuma aka ningata skio kwamba kama nina kitu ana weza nisaidia kuingia Nika mwambia Mim yatima hela sina kazi sina aka niambia kila la kheri ... ndio hivyo wadau wangu
Du hatari sana aisee.

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
pale makao panatisha MP wa kutosha,kama ni wa mujib au op za sahizi mafyekeo yapo mengi pale unakuta tuu wadau wanaendelea kufyeka wengine bodaboda,ila kuna jamaa nae ni op samia na hana chet walivyo mbana wakajua katokea mbali wakamuonea huruma wakamuambia aweke barua yake pale
 
pale makao panatisha MP wa kutosha,kama ni wa mujib au op za sahizi mafyekeo yapo mengi pale unakuta tuu wadau wanaendelea kufyeka wengine bodaboda,ila kuna jamaa nae ni op samia na hana chet walivyo mbana wakajua katokea mbali wakamuonea huruma wakamuambia aweke barua yake pale
Kambi ya jeshi siyo pakuleta mzaha pale.

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
pale makao panatisha MP wa kutosha,kama ni wa mujib au op za sahizi mafyekeo yapo mengi pale unakuta tuu wadau wanaendelea kufyeka wengine bodaboda,ila kuna jamaa nae ni op samia na hana chet walivyo mbana wakajua katokea mbali wakamuonea huruma wakamuambia aweke barua yake pale

nilichokiona pale kwa makamanda wapo happy sana ni kama wanawishi kila anaeleta barua aingie chomboni.yani wanasisitiza sana watu walete kwa mkono pale inapowezekana
 
nili peleka vyeti vyangu vyote nika jieleza kwamba nime pita jkt ila sikuchukuaga Cheti MP wa pale getin makao makuu aka sema Una nidanganya eee nika mjibu hapana aka itwa afande mwingine Nika pelekwa kwenye kichumba Kwa ndani kidogo waka nikaba tena kwamba sema ukweli nika salimu amri Nika sema sija pita ila nalipenda jeshi na Nina omba nijiunge vyeti hivi hapa waka vicheki wakani pongeza then waka sema kwa sasa hawana nafasi ila wata toa nafasi sa professional mwezi wa 5 then wata toa za jkt hapo hapo ndio waka sema Kwa muda huo ujao nina weza kuapply nika ondoka lakin baada ya hapo mwanajeshi mmoja aka nofuata kwa nyuma aka ningata skio kwamba kama nina kitu ana weza nisaidia kuingia Nika mwambia Mim yatima hela sina kazi sina aka niambia kila la kheri ... ndio hivyo wadau wangu
Mkuu, Afande alikuambia watahitaji professional gani ?

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom