JWTZ yatangaza nafasi za kazi kwa vijana wenye mafunzo ya JKT

JWTZ yatangaza nafasi za kazi kwa vijana wenye mafunzo ya JKT

Imagine we ni wa mujibu una miaka 23 au 24 afu unayo degree yoyote ile, mfano Mimi na degree yang ya account and finance, then naziangalia nafasi kwa uchungu yaani dah. Au niombe tu liwalo na liwe Mungu mkubwa bana
Nikushauri tu jitahidi kuomba pia nafasi ya kujitolea kupitia JKT kwa umri ulionao huo unaweza ukawa na sifa za kutosha ukiwa umefanya mafunzo ya kujitolea kwa angalau miaka miwili
Alafu Mujibu wa sheria na mtu aliyejitolea for mo than 2yrs hawalingani kivigezo kweli ajira ni changamoto lkn acheni wenye sifa hizo waende Kama na wewe una ndoto hizo jitahidi na wewe uwe na sifa hizo kamili guys kujitolea miaka 2 JKT narudia Tena kujitolea JKT kwa miaka miwili na zaidi paka kufikia ile hatua ya kulia mwisho si mchezo Wala si lelemama Tena mtu ambae ana taaluma afu anadumu kwenye hyo taasisi tuheshimu vigezo jaman.
 
Imagine we ni wa mujibu una miaka 23 au 24 afu unayo degree yoyote ile, mfano Mimi na degree yang ya account and finance, then naziangalia nafasi kwa uchungu yaani dah. Au niombe tu liwalo na liwe Mungu mkubwa bana
Omba yote yanawezekana.. kukosa na kupata ni majaliwa. Pia Kwa umri wa miaka 23,24 unaweza kwenda kujitolea Kwa target nzuri... After 2-3 Years
Utapata tu chochote Kitu, hata ukatoboa Mpk ukaenda Cadet au CCP Moshi
Usikate tamaa.
 
Nieleweshen Jwtz na jkt tofaut ni nini
Kuna tofauti kubwa sana.
Jeshi la kujenga Taifa kuandaa Vijana kuwafundisha katika nyanja za ulinzi, ujuzi na uzalishaji Mali pia kuwalea Kwa ajili ya majukumu ya Kesho katika ulinzi wa Taifa katika vyombo mbalix2 kama vile polisi, Usalama wa Taifa, Uhamiaji n.k
Jtwz ni Jeshi la ulinzi la Wanachi wa Tanzania.
 
Kuna tofauti kubwa sana.
Jeshi la kujenga Taifa kuandaa Vijana kuwafundisha katika nyaya za ulinzi, ujuzi na uzalishaji Mali pia kuwalea Kwa ajili ya majukumu ya Kesho katika ulinzi wa Taifa katika vyombo mbalix2 kama vile polisi, Usalama wa Taifa, Uhamiaji n.k
Jtwz ni Jeshi la ulinzi la Wanachi wa Tanzania.
Asant ila Jkt umeongelea ulinz na jw ulinz vp hapo
 
Hapo waliopo kwenye Target ni wale Op Uchumi wa kati ambao walimaliza mikataba ila walikosa ajira before the Death of The Hon. JPM serikali ikapata kashfa nyingi za kuwaita waasi then baadaye wakarudishwa makambini na Op ikapewa jina samia. Kama una cheti cha jkt chenye hiyo sifa kopa hapa pesa nenda Dodoma utakuja kunishukuru..Done!📌
 
Omba yote yanawezekana.. kukosa na kupata ni majaliwa. Pia Kwa umri wa miaka 23,24 unaweza kwenda kujitolea Kwa target nzuri... After 2-3 Years
Utapata tu chochote Kitu, hata ukatoboa Mpk ukaenda Cadet au CCP Moshi
Usikate tamaa

Omba yote yanawezekana.. kukosa na kupata ni majaliwa. Pia Kwa umri wa miaka 23,24 unaweza kwenda kujitolea Kwa target nzuri... After 2-3 Years
Utapata tu chochote Kitu, hata ukatoboa Mpk ukaenda Cadet au CCP Moshi
Usikate tamaa.
Tatzo mkuu nafasi pia za kujitolea hazitoki miezi hii ya mwanzoni, zaidi mpaka mwezi wa 9. Ila mi hizi ntaomba nitatia ushawishi wa kutosha na ntamuomba mungu kadri niwezavyo, nikikosa nasubr nijitolee mwaka huu kwa target uliyonielekeza
 
Nikushauri tu jitahidi kuomba pia nafasi ya kujitolea kupitia JKT kwa umri ulionao huo unaweza ukawa na sifa za kutosha ukiwa umefanya mafunzo ya kujitolea kwa angalau miaka miwili
Alafu Mujibu wa sheria na mtu aliyejitolea for mo than 2yrs hawalingani kivigezo kweli ajira ni changamoto lkn acheni wenye sifa hizo waende Kama na wewe una ndoto hizo jitahidi na wewe uwe na sifa hizo kamili guys kujitolea miaka 2 JKT narudia Tena kujitolea JKT kwa miaka miwili na zaidi paka kufikia ile hatua ya kulia mwisho si mchezo Wala si lelemama Tena mtu ambae ana taaluma afu anadumu kwenye hyo taasisi tuheshimu vigezo jaman.
Mwaka huu ntaoomba kujitolea ahsante kwa ushauri mkuu. Lengo ni kulinda usalama wa nchi na mipaka yake, naomba mungu anitangulie katika ndoto hizi
 
Tatzo mkuu nafasi pia za kujitolea hazitoki miezi hii ya mwanzoni, zaidi mpaka mwezi wa 9. Ila mi hizi ntaomba nitatia ushawishi wa kutosha na ntamuomba mungu kadri niwezavyo, nikikosa nasubr nijitolee mwaka huu kwa target uliyonielekeza
Inawezekana.
 
Hapo waliopo kwenye Target ni wale Op Uchumi wa kati ambao walimaliza mikataba ila walikosa ajira before the Death of The Hon. JPM serikali ikapata kashfa nyingi za kuwaita waasi then baadaye wakarudishwa makambini na Op ikapewa jina samia. Kama una cheti cha jkt chenye hiyo sifa kopa hapa pesa nenda Dodoma utakuja kunishukuru..Done![emoji419]
Sio Op uchumi Ni Op makao dodoma ndio wame target hapo
 
Back
Top Bottom