K-Lyinn azindua duka la kifahari nchini - Amorette

K-Lyinn azindua duka la kifahari nchini - Amorette

Sijui ni ushamba wangu??!! Ila hii dining table kwangu mimi sio nzuri hata kidogo.

aw1a9465-jpg.401413
 
Katimiza msemo tukiwezeshwa tunaweza...angefungua kabla ya kuwa na babu ningempata big up ila kwa hili tunafundisha mabinti kuwa whore ...I ain't saying she a gold digger
But she ain't messin with no Broke niggas... Kanye west
huyu dada kapata bingo tu.. na kajua kulitumia danga vizuri..
lakini yeye na kina mwafulani ndo wale wale..
angefanya kwa pesa zake kama kina odemba au millen tunge muelewa lakini huyo baba ni sponser kwake !
ambacho katufundisha ni kukamatia danga na kutulia kulichuna haswa.
 
Wema kama kweli kapata bilionea Arusha atulie nae tu ale maisha aachane na usanii afanye kazi alizosomea shuleni
 
  • Thanks
Reactions: MC7
Mtu anae jielewa anajielewa2,unafikiri hakuna vibopa hapa bongo ambao hawawezikuwachukua kina wema,wolper nk..sema ndo hivo2 kwamba ukiwaangalia utajua2 kwamba ni watu wakiozoea mamvo ya kiswazi. Mi binafsi k lyin namkubali asee...
 
Aliyewahi kuwa miss Tanzania mwaka 2000, Jackline Ntuyabaliwe maarufu kama K-Lynn au bosslady ambaye pia ni mke halali wa billionea na mfanyabiashara maarufu nchini bwana Reginald Mengi, hivi karibuni amefungua duka lake jipya la FURNITURE 'Amorette" lenye brand yake ambapo atakuwa anauza furniture mbalimbali za nyumbani pamoja na mambo ya interior decorations.

View attachment 401358

Huwa napenda Mademu wa aina hii ambao " wanabanduliwa " na " Mataita " halafu na Wao wanajiongeza siyo hii Midemu mingine kutwa " inabanduliwa " na " Mitaita " halafu inaishia tu kuomba Hela ya kwenda kusuka nywele Mwenge, kununua Madila Kariakoo na ya kununulia Vocha na kupangiwa Chumba kwa Mtogole. Safi sana K-Lynn " nyapu " yako inakulipa sasa imemkuna kunakotukuka " Mipua " hadi sasa kachanganyikiwa nawe.
 
Huwa napenda Mademu wa aina hii ambao " wanabanduliwa " na " Mataita " halafu na Wao wanajiongeza siyo hii Midemu mingine kutwa " inabanduliwa " na " Mitaita " halafu inaishia tu kuomba Hela ya kwenda kusuka nywele Mwenge, kununua Madila Kariakoo na ya kununulia Vocha na kupangiwa Chumba kwa Mtogole. Safi sana K-Lynn " nyapu " yako inakulipa sasa imemkuna kunakotukuka " Mipua " hadi sasa kachanganyikiwa nawe.
Mademu wa kibongo wanajua kuomba hela tu wakasukie mawigi kwa asnat pale mwenge
 
waliachana mke alikuwa mtata yule mama dah iko siku alimfukuza mzee akatoka nduki akaruka ukuta wa nyumba hata geti hakuliona
[emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16]
 
Kuna watu wana nyota ya kutosemwa yani hii couple ingekuwa bi couple nyingine age difference na ndoa ya mzee ya awali basi ingesemwa hatari.
Lakini ajabu kwao kila mtu anamsifia k lyn


Ndugu yangu usisahau kua Mzee Mengi ni mlezi wa wanahabari na ili hayo yasemwe ni kupitia habari hata kama ni za udaku.
 
Back
Top Bottom