BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,790
- 288,165
πππππstill single Mkuu labda nifanane na wewe au ufanane na mimi πππ
Nyinyi hamjafanana?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nyinyi hamjafanana?
Yule demu toka ameolewa mpaka kuzaa na babu alikua anakula bata ila hapa mwishoni lilizidi kipimoWatu wameanza kuhoji kama yale maisha na mapicha picha yaliyokuwa yanatumwa kwenye mitandao ya kijamii hayakuwa na ajenda nyingine nyuma yake zaidi ya mahaba niue?
Regardless..... angalau alijua wajibu wake... hakuna aliemsafi including hao wakina mengi... ni kama ontario na forex lakini trust me kuna watu kawaonesha njia licha ya kuwapiga...so kuna tofauti kufanya unachopaswa kufanya na kufanya ambacho ulipaswa kufanya kwa nafasi uliyonayo...Shamim Mwasha alikua anapost vitu unavyovitaka.... leo yuko central siku ya kumi nadhani.. ananyea debe
unategemea mijihela yote atafanyia nini bado rambirambi,huyu dada ana nyota ya pesa,Mzee Reginald Mengi ndiyo keshaondoka duniani na Mke wake Jacqueline Ntuyabaliwe kabakia kutunza familia yao.
Kwa kufuatilia Maisha yake baada ya kuolewa na Mzee Mengi nimebaki na swali kama Jacqueline ataweza kutunza hali ya ufanyabiashara na matumizi ya Fursa aliyokuwa nayo Mzee Mengi.
Hapa ndipo tutaona zaidi ya Uzuri wa kimaumbile wasichana warembo wa Tanzania wana nini kingine cha ziada. Kama matumizi yakizidi mapato basi si muda Magazeti ya udaku ndiyo yatakuwa chanzo cha Mapato kwa Jacqueline.
Maisha baada ya Kifo cha Mzee Mengi ndiyo yatatoa picha halisi kama Jacqueline ni mtu wa kula bata ama ni mtafutaji maisha!!
enhe endelea....!Nilikua kazini, nilikutana na mama mmoja yeye ni cleaner. Alinieleza kesho yuko off, nikamuuliza umepanga kuitumiaje off yako. Alinijibu nitalala nikiamka nisafishe nyumba. Mimi nilimjibu kama jua linatoka mimi ninapenda kutembea madukani. Alinijibu yeye huenda madukani akihitaji kununua kitu. Aliendelea kuwa kama huna plan na hela uatajza mavitu wakati nyumba na gari huna.
Mi najua hana wazazi wote wawili@raynavero hukujibu swali langu kule kuwa eti mamaake mzazi Jacq yuko hai anaishi upanga?
Si huwa anasema yatima?
Eti mamaake yupo hai sema hawapatani kabisaMi najua hana wazazi wote wawili
Haya Mambo ya kweli lakini?Eti mamaake yupo hai sema hawapatani kabisa
Jamii ni social judges,ukiolewa na mtu mzee..
.akafariki uko guilty!....ndivyo ilivyo,
the same kwa wasioolewa,waliozalia nyumbani et
c...β¦β¦β¦β¦β¦β¦β¦β¦β¦β¦...tunawa label na kuona kama second class citizens hawapaswi kuwa na sautiβ¦
.ila akina Regina no mater how ndoa ya baba yenu iliwaumiza,amezaa na baba yenu,wale ni wadogo zenu...na msiunderestimate the happiness Jack brought to your dad,even though it was short lived...
Sijui kwa kweli sitaki kudanganyaEti mamaake yupo hai sema hawapatani kabisa
Kwa huyo mjane?Diamond aliwahi kupiga show sebuleni kwake... shimakoo pesa..
Ndio... ilikua birthday yake, Mengi akam suprise kwa kumualika Diamond apige showKwa huyo mjane?
Hapo ndipo watu wanapokosea unafikiri mtu km Mengi angeridhika na nyumba moja, mshahara na pension yake, Leo tungekuwa tunamsifu kwa mapambio humu? Nimegundua maono ya watu wengi ni kuwa na nyumba, gari, watoto wasome English medium. Basi hapo ndipo wamemaliza. Lazima tuwe na mawazo ya kuacha alama hapa duniani. At least uwe na hata wafanyakazi 10 uliowaajiri ambao wao na familia zao wataomboleza kwenye msiba wako. Na huo uwezo Sky Eclat najua unao. Kama unadhani hauna nitafute nikuambie cha kufanya!
Ndio... ilikua birthday yake, Mengi akam suprise kwa kumualika Diamond apige show
Hahaha mi nilijua mondi amemla kiboga seblen daaaamn.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji16][emoji3][emoji3][emoji3]punguza saut.Hahahahaha.... see your dirty mind..
Uko sahihi mimi nilivyoona watu wanamsifia nilimfollow baadae nikamunfollow baada ya kuwa sioni cha maanaHuyo Jack nilimdharau toka nimfollow insta sabab anapost mapicha yaleyale tu ya maslay queen yaan nilitgemea kwa level yake angekua mhamasishaji flani au anapost baadhi ya projects kuhamasisha vijana.... ni mtu wa bata tu nadhani hajabadilika mtazamo
Sababu ya mpangilio mzuri, wajanja huenda mlimani city kuangalia kilichopo sokoni na kukipiga picha then haooo wanaenda kukitafuta Kariakoo.Mmoja nilikutana nae Mlimani City analipia shopping ya nguo million 3 dada aliitoa cash
Huyo Jack nilimdharau toka nimfollow insta sabab anapost mapicha yaleyale tu ya maslay queen yaan nilitgemea kwa level yake angekua mhamasishaji flani au anapost baadhi ya projects kuhamasisha vijana.... ni mtu wa bata tu nadhani hajabadilika mtazamo