K - Lyn ni mtu wa ku -spend ama kutafuta maisha?

K - Lyn ni mtu wa ku -spend ama kutafuta maisha?

Watu wameanza kuhoji kama yale maisha na mapicha picha yaliyokuwa yanatumwa kwenye mitandao ya kijamii hayakuwa na ajenda nyingine nyuma yake zaidi ya mahaba niue?
Yule demu toka ameolewa mpaka kuzaa na babu alikua anakula bata ila hapa mwishoni lilizidi kipimo
 
Inavyoonekana amekua kiakili na busara za utu uzima pia..sidhani kama atakua wakula bata
 
Shamim Mwasha alikua anapost vitu unavyovitaka.... leo yuko central siku ya kumi nadhani.. ananyea debe
Regardless..... angalau alijua wajibu wake... hakuna aliemsafi including hao wakina mengi... ni kama ontario na forex lakini trust me kuna watu kawaonesha njia licha ya kuwapiga...so kuna tofauti kufanya unachopaswa kufanya na kufanya ambacho ulipaswa kufanya kwa nafasi uliyonayo...
 
Mzee Reginald Mengi ndiyo keshaondoka duniani na Mke wake Jacqueline Ntuyabaliwe kabakia kutunza familia yao.

Kwa kufuatilia Maisha yake baada ya kuolewa na Mzee Mengi nimebaki na swali kama Jacqueline ataweza kutunza hali ya ufanyabiashara na matumizi ya Fursa aliyokuwa nayo Mzee Mengi.

Hapa ndipo tutaona zaidi ya Uzuri wa kimaumbile wasichana warembo wa Tanzania wana nini kingine cha ziada. Kama matumizi yakizidi mapato basi si muda Magazeti ya udaku ndiyo yatakuwa chanzo cha Mapato kwa Jacqueline.

Maisha baada ya Kifo cha Mzee Mengi ndiyo yatatoa picha halisi kama Jacqueline ni mtu wa kula bata ama ni mtafutaji maisha!!
unategemea mijihela yote atafanyia nini bado rambirambi,huyu dada ana nyota ya pesa,
 
Nilikua kazini, nilikutana na mama mmoja yeye ni cleaner. Alinieleza kesho yuko off, nikamuuliza umepanga kuitumiaje off yako. Alinijibu nitalala nikiamka nisafishe nyumba. Mimi nilimjibu kama jua linatoka mimi ninapenda kutembea madukani. Alinijibu yeye huenda madukani akihitaji kununua kitu. Aliendelea kuwa kama huna plan na hela uatajza mavitu wakati nyumba na gari huna.
enhe endelea....!
 
Jamii ni social judges,ukiolewa na mtu mzee..

.akafariki uko guilty!....ndivyo ilivyo,

the same kwa wasioolewa,waliozalia nyumbani et

c...…………………………...tunawa label na kuona kama second class citizens hawapaswi kuwa na sauti…

.ila akina Regina no mater how ndoa ya baba yenu iliwaumiza,amezaa na baba yenu,wale ni wadogo zenu...na msiunderestimate the happiness Jack brought to your dad,even though it was short lived...


Thing is no one knows if marehemu was really happy na Jacky's spending ways/spree....HAKUNA mwanaume anayependa mwanamke mtumbuaji na anayetia hasara. Believe me, you'll never live happily hata kama unampenda vipi. Kumbukeni, kuna maisha ya maigizo (Insta na Facebook) kama waishio mastaa uchwara wa kibongo kuiga mastaa wa majuu. There's no competition there.
 
Hahaha mkuu sio wote tuna ndoto kuwa ma billioner wengine tunapenda maisha ya kawaida.
Hapo ndipo watu wanapokosea unafikiri mtu km Mengi angeridhika na nyumba moja, mshahara na pension yake, Leo tungekuwa tunamsifu kwa mapambio humu? Nimegundua maono ya watu wengi ni kuwa na nyumba, gari, watoto wasome English medium. Basi hapo ndipo wamemaliza. Lazima tuwe na mawazo ya kuacha alama hapa duniani. At least uwe na hata wafanyakazi 10 uliowaajiri ambao wao na familia zao wataomboleza kwenye msiba wako. Na huo uwezo Sky Eclat najua unao. Kama unadhani hauna nitafute nikuambie cha kufanya!
 
Huyo Jack nilimdharau toka nimfollow insta sabab anapost mapicha yaleyale tu ya maslay queen yaan nilitgemea kwa level yake angekua mhamasishaji flani au anapost baadhi ya projects kuhamasisha vijana.... ni mtu wa bata tu nadhani hajabadilika mtazamo
Uko sahihi mimi nilivyoona watu wanamsifia nilimfollow baadae nikamunfollow baada ya kuwa sioni cha maana
 
Mmoja nilikutana nae Mlimani City analipia shopping ya nguo million 3 dada aliitoa cash
Sababu ya mpangilio mzuri, wajanja huenda mlimani city kuangalia kilichopo sokoni na kukipiga picha then haooo wanaenda kukitafuta Kariakoo.
Mlimani city wakikuuzia tsh 400,000 basi kariakoo wata kuuzia tsh 75,000
 
Huyo Jack nilimdharau toka nimfollow insta sabab anapost mapicha yaleyale tu ya maslay queen yaan nilitgemea kwa level yake angekua mhamasishaji flani au anapost baadhi ya projects kuhamasisha vijana.... ni mtu wa bata tu nadhani hajabadilika mtazamo
1091513

Kupost hizi picha kumbe ni hobby ya Jacq?
 
Back
Top Bottom