"K" tatu ninazotamani kukutana nazo kabla ya mwaka kuisha...

"K" tatu ninazotamani kukutana nazo kabla ya mwaka kuisha...

Mentor

JF-Expert Member
Joined
Oct 14, 2008
Posts
20,328
Reaction score
23,909
Kaunga King'asti Kongosho

(an apology to the perverts who thought otherwise😕)

Hawa wadada/wabibi/wamama wananivutia sana na nimechoka kuunda illusions kichwani mwangu.
Kila mara nionapo comments zao mimi huvutiwa tu na kujua wameandika nini yani.
Honestly kama ningeweza ningependa walau kuwaona in real life mlivyo...ningefurahi sana.
And that is my wish before 2013 knocks...good morning.
 
Last edited by a moderator:
Hahaha, mentor hujatulia ujue. Hebu nipe picha yangu uliyonayo kichwani, nisije nikatokea ukazimia ama kukimbia meza.

No King'asti nipo siriaz sana aisee...
Yan maushauri yenu tu..mixed na utani apa na pale...uelewa mpana wa many different thngs....yani dah!
Honestly if t were possible...if only wishes were horses!
 
Last edited by a moderator:
Kaunga King'asti Kongosho

(an apology to th pervs who thought otherwise😕)

Hawa wadada/wabibi/wamama wananivutia sana na nimechoka kuunda illusions kichwani mwangu.
Kila mara nionapo comments zao mm huvutiwa tu na kujua wameandika nn yani.
Honestly kama ningeweza ningependa walau kuwaona in real life mlivyo...ningefurahi sana.
And that is my wish before 2013 knocks...good morning.

Kongosho kwa kweli jinsia yake ni tatanishi
 
Last edited by a moderator:
Yaani hiyo initial utata mtupu! Natumia mobile so sijapata notification yoyote, ila niliignore hii thread baada ya heading tu (my gender sensitivity was very sensitive), sasa imagine the shock nilivyoona majina.

Anyway l finaly got the humor (nimeichagua hiyo), na kuignore the other meaning. LOL
 
Kaunga King'asti Kongosho

(an apology to th pervs who thought otherwise😕)

Hawa wadada/wabibi/wamama wananivutia sana na nimechoka kuunda illusions kichwani mwangu.
Kila mara nionapo comments zao mm huvutiwa tu na kujua wameandika nn yani.
Honestly kama ningeweza ningependa walau kuwaona in real life mlivyo...ningefurahi sana.
And that is my wish before 2013 knocks...good morning.
Heheheeee unataka K zao ? Jiite Kmentor
 
Mkuu unajua kweli kuchagua " k " za maana, ongera sana
 
Haha Erickb52 iyo itakua fake/implant K..ilhali kuna natural....
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom