Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Halafu "K" zao zote kubwa!! Hakuna inayoanza na herufi ndogo.
Paw kwa amani kabisa naomba usielewe vingine...nisaidie bas namba zake??!Paw is around and watching
Jamani na K yangu?
Hunaga historia ya kutoa ban huku
ladyfurahia sasa ukintongoza nkakataa ndo nageuka mbaya??!wee mentor una matatizo makubwa sana wewe? watu wa watu unataka kuonana nao kivipi wewe au una lako jambo? yaani nyie msikubali kabisa kuonana naye live huyo kwani wakaka wa humu jf wana tabia mbaya sana hasa mentor,
nawashauri msionane naye huyo ana lake jambo huyo mentor kwani ajui wanawake wa kibantu walivyo asa anataka nini kwenu.
KWA MSISITIZO: KATAENI KUONANA NAYE KABISA MENTOR ANATAKA KUWACHORA TU HUYO ANA JIPYA!
Mie niko tayari kukusaidia umchukue Kongosho kwa mkopo usio na riba wala ukomo!!
Kaunga King'asti Kongosho
(an apology to th pervs who thought otherwise😕)
Hawa wadada/wabibi/wamama wananivutia sana na nimechoka kuunda illusions kichwani mwangu.
Kila mara nionapo comments zao mm huvutiwa tu na kujua wameandika nn yani.
Honestly kama ningeweza ningependa walau kuwaona in real life mlivyo...ningefurahi sana.
And that is my wish before 2013 knocks...good morning.
Hao wengine sijui lakini Kuhusu Kaunga wasiliana na Ruttashobolwa au na snowhite,mara ya mwisho nimesikia wana mpango wa kuanzisha kanisa la upako chini ya watunza sadaka charminglady na mumewe @c6
Kabakabana k yako siyo nzuri
toka huko, k yangu ni nzuri tu sema haijui labda
kumbe nawe upo kwenye list ya hizo K zinazo mzuzua Mentor...!!!
Bi king'asti bana ana staili yake bana ya kutoa ushauri huku anatania..napenda sana. Sometimes i wish i was her young bro ningemweleza challenges zangu zote....
K's hzo mutu zenye hzo K nazkubali sana.
Kaunga King'asti Kongosho
(an apology to th pervs who thought otherwise😕)
Hawa wadada/wabibi/wamama wananivutia sana na nimechoka kuunda illusions kichwani mwangu.
Kila mara nionapo comments zao mm huvutiwa tu na kujua wameandika nn yani.
Honestly kama ningeweza ningependa walau kuwaona in real life mlivyo...ningefurahi sana.
And that is my wish before 2013 knocks...good morning.