"K" tatu ninazotamani kukutana nazo kabla ya mwaka kuisha...

"K" tatu ninazotamani kukutana nazo kabla ya mwaka kuisha...

sidhani hawasikii,japo nawajua kwa kiburi
watakuja niamini,sipe moyo kisirani
wasubiri waja na kheri,nawajua majirani
nawajua kwa jeuri japo waja ila wasubiri
Kofia nakuvulia, Mwalimu uko vizuri,
Vina umepangilia, na mizani iso shari,
Lugha umeipatia, kiswahili adhimuni
Hongera mwalimu wetu, Kwa ushairi tukuka
 
Dogo una mistari, ya vina hata mizani,
Kwa hakika ninakiri, kipaji kiko damuni,
Imelazimu kukiri, bila ya donge rohoni,
Kilichochacha usambe, uzima wake ni moto.

Loh,

Hawavumi kumbe wamo, babu ninakusifia
kwako mimi mbilikimo, kichanga ninatambaa
vipaji viso kipimo, bibi wajikusanyia
-ila-
unajichimbia shimo, wengine (uwe) unaniachia!

hahahah...

Kofia nakuvulia, Mwalimu uko vizuri,
Vina umepangilia, na mizani iso shari,
Lugha umeipatia, kiswahili adhimuni
Hongera mwalimu wetu, Kwa ushairi tukuka
 
Kofia nakuvulia, Mwalimu uko vizuri,
Vina umepangilia, na mizani iso shari,
Lugha umeipatia, kiswahili adhimuni
Hongera mwalimu wetu, Kwa ushairi tukuka
Kofia bora uvae,mwalimu hana uzuri,
MENGINE MALIZIA
 
Duh mkuu..hatuko huko.

Hata hivyo ngoja nmkuitie: Miss Natafuta aaaaaaaaaa



Ewaa mkuu hizi zote nimezishika tangu utotoni...




Mwalimu upo vizuri, heko ninakupatia
thamani yako uturi, vito havitofikia
wambie wache kiburi, K ninawangojea
peupe pasi na siri, Mentor ninawaitia!!!
[emoji23] [emoji23] [emoji23]...........kwani mnazungumzia K zipi mkuu?
 
Kwema jamani naomben niulize swali na mtaji wa laki nane naweza pafom bizness ya nafaka .Niko Moro.
 
Kaunga King'asti Kongosho

(an apology to the perverts who thought otherwise😕)

Hawa wadada/wabibi/wamama wananivutia sana na nimechoka kuunda illusions kichwani mwangu.
Kila mara nionapo comments zao mimi huvutiwa tu na kujua wameandika nini yani.
Honestly kama ningeweza ningependa walau kuwaona in real life mlivyo...ningefurahi sana.
And that is my wish before 2013 knocks...good morning.
Kausha damu je?
 
Back
Top Bottom