Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,926
- 95,626
Mimi natamani nikutane na K ya Miss Natafuta,nasikia ana nyege sana![emoji1]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahhhhha Kaiser naeeeee,hem mwite aache utoro!Alirudi ukamtoroka. Kahama tena. Ana hasira za mkizi yule
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Halafu "K" zao zote kubwa!! Hakuna inayoanza na herufi ndogo.
Babu shairi majibu utaweza niingieWewe bwana husomeki siku hizi!!!
Hebu piga shairi kwanza ili babu afurahi.
Nimekumithi sana tu!
Anasema eti unamchapa asipomaliza kuuza ubuyu unaompa. Mwalimu nawe... kwani mshahara haukutoshi.Hahhhhha Kaiser naeeeee,hem mwite aache utoro!
Mwanafunzi gani anakuwa mvivu wa test restest hivyo?
Hajui siku hizi kuna competence based syllabus
Simchapi tenaaaa,mwambie aje!Anasema eti unamchapa asipomaliza kuuza ubuyu unaompa. Mwalimu nawe... kwani mshahara haukutoshi.
Watanzania tutakuombea ili usituangushe
Mimi natamani nikutane na K ya Miss Natafuta,nasikia ana nyege sana![emoji1]
Kusoma, kuandika, kuhesabu :
Babu shairi majibu utaweza niingie
Babu sinipe jaribu usitake nipanie
Babu sitaki jawabu la mjukuu nisamehe
Nikiliweka shairi babu talitaka na jibule
Si King'asti wala Kaunga ,wote wajua hitajioDuh mkuu..hatuko huko.
Hata hivyo ngoja nmkuitie: Miss Natafuta aaaaaaaaaa
Ewaa mkuu hizi zote nimezishika tangu utotoni...
Mwalimu upo vizuri heko nakupatia
thamani yako uturi vito havitofikia
wambie wache kiburi K nawangojea
peupe pasi na siri Mentor nawaitia!!!
sidhani hawasikii,japo nawajua kwa kiburiHaja yangu kwao moja, japo macho niwatie
na sina vingi vioja, naomba uniitie
nawaomba japo moja, dakika wanisikie
nawaombea kwake Jah, mavuno awapatie.
sidhani hawasikii,japo nawajua kwa kiburi
watakuja niamini,sipe moyo kisirani
wasubiri waja na kheri,nawajua majirani
nawajua kwa jeuri japo waja ila wasubiri
ahahahhahahhahahha njoo mwaya selfie muhimu,lolyaani mi nikapigemo picha tu pilau nisile
sasa naenda buguruni kesho kumsindikiza maalim, sitaki ujinga mimi
Dogo una mistari, ya vina hata mizani,Haja yangu kwao moja, japo macho niwatie
na sina vingi vioja, naomba uniitie
nawaomba japo moja, dakika wanisikie
nawaombea kwake Jah, mavuno awapatie.