Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Afanaaaleki, kufa hakuna breki.
Nyie K holders Kaunga, Kongosho na King'asti mnaona mwanamke mwenzenu anavowaonea wivu? Nyie mna K yeye ana V.. does it make any difference?
The lady is wasting "a time"
Afu we kijana Mentor hebu niambie hii K for Kongosho a.k.a asali ya ODM unaitamania nini? My weapon is missing some bullets.
Nyie vibabu viwili vijiba vya roho vitawaua!
niliiona hiyo ingilishi nikaipita kimya kimya. I dont want to waste a time neither.
Una bahati mwaka unaisha...ila kama 2013 itaanza hivi hivi kama inavyoisha 2012, basi kazi unayo....
Jiandae kutanza hiyo kitu kama mkeka ili watu wajipumzikie...
Babu DC!!
thubutu yake
siitandazi labda awe babu mwenye mvi.
Poa Kongosho,
Endelea kukimbizana na vibabu, labda ni maelekezo ya Sangoma wako.
Ila ujue unawafukuza akina Zombie na muda wenyewe unakimbia kama swala. Hata sijui utamlaumu nani giza likikukuta ungali unasubiri!
ahahahhahahhaha ngoja waje
mimi hakii mekumiss sana ,ufanye kunisalimia kwa kweli!
kumbe nawe upo kwenye list ya hizo K zinazo mzuzua Mentor...!!!
bado hujapevuka tuHeheheeee unataka K zao ? Jiite Kmentor