"K" tatu ninazotamani kukutana nazo kabla ya mwaka kuisha...

"K" tatu ninazotamani kukutana nazo kabla ya mwaka kuisha...

He he he, mie lazima nivae mask
Naweza watisha Mentor na K zingine zote

Kumbuka, tusio na sura tunajaribu ku-investi kwenye personality - Source EMT

Mpwao kasahau kiatu kimoja (all stars) beach, kanuna huyo; changanya na kumsubiri uncle na aunt yake in vain.

So what do we do about our??? Mentor, do we grant his wish au tunampotezea? lara 1 atupe twisheni ya kuwa matawi au vipi?
 
Last edited by a moderator:
Afanaaaleki, kufa hakuna breki.

Nyie K holders Kaunga, Kongosho na King'asti mnaona mwanamke mwenzenu anavowaonea wivu? Nyie mna K yeye ana V.. does it make any difference?

The lady is wasting "a time"

Afu we kijana Mentor hebu niambie hii K for Kongosho a.k.a asali ya ODM unaitamania nini? My weapon is missing some bullets.

niliiona hiyo ingilishi nikaipita kimya kimya. I dont want to waste a time neither.
 
Last edited by a moderator:
Nyie vibabu viwili vijiba vya roho vitawaua!


Una bahati mwaka unaisha...ila kama 2013 itaanza hivi hivi kama inavyoisha 2012, basi kazi unayo....

Jiandae kutanza hiyo kitu kama mkeka ili watu wajipumzikie...

Babu DC!!
 
thubutu yake

siitandazi labda awe babu mwenye mvi.

Una bahati mwaka unaisha...ila kama 2013 itaanza hivi hivi kama inavyoisha 2012, basi kazi unayo....

Jiandae kutanza hiyo kitu kama mkeka ili watu wajipumzikie...

Babu DC!!
 
thubutu yake

siitandazi labda awe babu mwenye mvi.
Kongosho mi mbabu ujue..nakumbuka kipindi kile Mangi Meli anatawazwa kuwa mangi wa wachagga ndo nlikua naoa (nadhani nlikua na miaka 18)...them good old daiz!
 
Last edited by a moderator:
He he he, Babu bana


SIkosi ki-kibatari kibindoni:glasses-nerdy:

Poa Kongosho,

Endelea kukimbizana na vibabu, labda ni maelekezo ya Sangoma wako.


Ila ujue unawafukuza akina Zombie na muda wenyewe unakimbia kama swala. Hata sijui utamlaumu nani giza likikukuta ungali unasubiri!
 
What babu Dark City na bi snowhite ...mpo!???? shikamoooni aisee...been tooooo long... [HASHTAG]#nimewamissSana[/HASHTAG]
mimi hakii mekumiss sana ,ufanye kunisalimia kwa kweli!
hemu do the needful!
call me Kaizer na Asprin na Mkirua na gfsonwin na Kongosho na madame amu yu name them!
wambie natamani kuwaona hata miandiko yao!
nimewamiss hakika!
but pls hebu anzisha tu uzi wa kutukusanya hata tujikumbushe VEROSSA!
 
Back
Top Bottom