"K" tatu ninazotamani kukutana nazo kabla ya mwaka kuisha...

"K" tatu ninazotamani kukutana nazo kabla ya mwaka kuisha...

Kaunga King'asti Kongosho

(an apology to th pervs who thought otherwise😕)

Hawa wadada/wabibi/wamama wananivutia sana na nimechoka kuunda illusions kichwani mwangu.
Kila mara nionapo comments zao mm huvutiwa tu na kujua wameandika nn yani.
Honestly kama ningeweza ningependa walau kuwaona in real life mlivyo...ningefurahi sana.
And that is my wish before 2013 knocks...good morning.

siku ya kwenda kuwaona naomba nikusindikize na mimi niwaone...wakina KaKiKo
 
Kaunga King'asti Kongosho mie nilivyo fikiria ndivo... zo ni "K"....... hizo
 
mi najua huna hata hofu na unajiamini. Nakungojea baba tutoke kwenda kwa wifi nilishawaahidi wapwa zako.

Mpwao kasahau kiatu kimoja (all stars) beach, kanuna huyo; changanya na kumsubiri uncle na aunt yake in vain.

So what do we do about our??? Mentor, do we grant his wish au tunampotezea? lara 1 atupe twisheni ya kuwa matawi au vipi?
 
Last edited by a moderator:
wee mentor una matatizo makubwa sana wewe? watu wa watu unataka kuonana nao kivipi wewe au una lako jambo? yaani nyie msikubali kabisa kuonana naye live huyo kwani wakaka wa humu jf wana tabia mbaya sana hasa mentor,
nawashauri msionane naye huyo ana lake jambo huyo mentor kwani ajui wanawake wa kibantu walivyo asa anataka nini kwenu.
KWA MSISITIZO: KATAENI KUONANA NAYE KABISA MENTOR ANATAKA KUWACHORA TU HUYO ANA JIPYA!

hebu dadavua tafadhali, ana tabia gani mbaya? Manake nina mpango wa kwenda na Paw kummeet.
 
Mpwao kasahau kiatu kimoja (all stars) beach, kanuna huyo; changanya na kumsubiri uncle na aunt yake in vain.

So what do we do about our??? Mentor, do we grant his wish au tunampotezea? lara 1 atupe twisheni ya kuwa matawi au vipi?

wifi na wewe, why hukukusanya vitu vyote jamani? Muambie asijali, ankal Paw atamletea vingine, na swimming coatume na nguo za karate.
Huyu Mentor namngojea hazbend aje nimuambie kama atanipeleka kummeet. Otherwise ongea na kaka Eiyer kama akitoa ruksa twende wote.
 
Last edited by a moderator:
Jamani jamani tangu asubuhi mnanizungusha....kwann sasa...
Ata niambieni kanisa gan mnaenda nije uko tu.
Ama niwa pm??!
 
Jamani jamani tangu asubuhi mnanizungusha....kwann sasa...
Ata niambieni kanisa gan mnaenda nije uko tu.
Ama niwa pm??!

kanisa la misukule. Nitavaa nguo ya kitenge na lemba kuubwa, Paw atakuwa na shati la kitenge la kumechisha na mimi na kofia ya kitenge ya kinaijeria na sarawili ya kijani. Tunakaa mbele kabisa. Isisahau sadaka.
 
kanisa la misukule. Nitavaa nguo ya kitenge na lemba kuubwa, Paw atakuwa na shati la kitenge la kumechisha na mimi na kofia ya kitenge ya kinaijeria na sarawili ya kijani. Tunakaa mbele kabisa. Isisahau sadaka.

Mh basi we tukutane jtatu. Kongosho na Kaunga nyie wapi kanisan kesho??!
 
Last edited by a moderator:
Navyoogapaga lawama mie!
Sipendagagi kulaumiwaga eti nachuzi sredi za kukomenti !
Haya nyie akina "K" hamjambo?
 
I am wasting a time!
le me shift to another forum!

Afanaaaleki, kufa hakuna breki.

Nyie K holders Kaunga, Kongosho na King'asti mnaona mwanamke mwenzenu anavowaonea wivu? Nyie mna K yeye ana V.. does it make any difference?

The lady is wasting "a time"

Afu we kijana Mentor hebu niambie hii K for Kongosho a.k.a asali ya ODM unaitamania nini? My weapon is missing some bullets.
 
Last edited by a moderator:
Kaunga King'asti Kongosho

(an apology to th pervs who thought otherwise😕)

Hawa wadada/wabibi/wamama wananivutia sana na nimechoka kuunda illusions kichwani mwangu.
Kila mara nionapo comments zao mm huvutiwa tu na kujua wameandika nn yani.
Honestly kama ningeweza ningependa walau kuwaona in real life mlivyo...ningefurahi sana.
And that is my wish before 2013 knocks...good morning.

baby baby baby............ haya tu.
 
Last edited by a moderator:
Afanaaaleki, kufa hakuna breki.

Nyie K holders Kaunga, Kongosho na King'asti mnaona mwanamke mwenzenu anavowaonea wivu? Nyie mna K yeye ana V.. does it make any difference?

The lady is wasting "a time"

Afu we kijana Mentor hebu niambie hii K for Kongosho a.k.a asali ya ODM unaitamania nini? My weapon is missing some bullets.

Babu Asprin..."..sina maana hiyo." (namnukuu amiri jeshi mkuu mh. Dr.)

baby baby baby............ haya tu.

Sweetheart Catherine wajua ww ndo umeujaza moyo wangu..hawa watakaa wapi baby??!
Nimependa tu kuwafahamu zaidi tu..sio 'kuwajua'
 
Last edited by a moderator:
Babu Asprin..."..sina maana hiyo." (namnukuu amiri jeshi mkuu mh. Dr.)



Sweetheart Catherine wajua ww ndo umeujaza moyo wangu..hawa watakaa wapi baby??!
Nimependa tu kuwafahamu zaidi tu..sio 'kuwajua'

maumivu ya kichwa huanza taratiiiibu.
 
Last edited by a moderator:
maumivu ya kichwa huanza taratiiiibu.

Babu Asprin, whats there to like in this comment!??

Sweetheart, honey pie, hot chocolate the love of my life Catherine....GOOD MORNING!
Alafu hujaniachia dedication cku nyingi..ebu go do ze nidful!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom