"K" tatu ninazotamani kukutana nazo kabla ya mwaka kuisha...

"K" tatu ninazotamani kukutana nazo kabla ya mwaka kuisha...

Yaani hiyo initial utata mtupu! Natumia mobile so sijapata notification yoyote, ila niliignore hii thread baada ya heading tu (my gender sensitivity was very sensitive), sasa imagine the shock nilivyoona majina.

Anyway l finaly got the humor (nimeichagua hiyo), na kuignore the other meaning. LOL

Bi Kaunga naomba jibu.
I hope u also saw th seriousness in there.
 
Last edited by a moderator:
5weeks and you are already too attached to like let go just incase? I would be scared of you as well. I saw on style network, some lady got a bf and she went and bought a wedding dress just incase.

More reason y i love these Ks...now would you pipo blame me if i love these ladies?
 
Last edited by a moderator:
I am wasting a time!
le me shift to another forum!
 
wee mentor una matatizo makubwa sana wewe? watu wa watu unataka kuonana nao kivipi wewe au una lako jambo? yaani nyie msikubali kabisa kuonana naye live huyo kwani wakaka wa humu jf wana tabia mbaya sana hasa mentor,
nawashauri msionane naye huyo ana lake jambo huyo mentor kwani ajui wanawake wa kibantu walivyo asa anataka nini kwenu.
KWA MSISITIZO: KATAENI KUONANA NAYE KABISA MENTOR ANATAKA KUWACHORA TU HUYO ANA JIPYA!
 
Back
Top Bottom