"K" tatu ninazotamani kukutana nazo kabla ya mwaka kuisha...

"K" tatu ninazotamani kukutana nazo kabla ya mwaka kuisha...

  • Thanks
Reactions: SMU
Kaunga King'asti Kongosho

(an apology to th pervs who thought otherwise😕)

Hawa wadada/wabibi/wamama wananivutia sana na nimechoka kuunda illusions kichwani mwangu.
Kila mara nionapo comments zao mm huvutiwa tu na kujua wameandika nn yani.
Honestly kama ningeweza ningependa walau kuwaona in real life mlivyo...ningefurahi sana.
And that is my wish before 2013 knocks...good morning.
Ahhaaaa! Nimekumbuka umemaliza juzi ule mtihani wa la Saba.
Mdogo wangu vumilia matokeo yakitoka uendelee na Shule wanawake mbona wapo wengi na wanazaliwa kila kukicha.
Hivyo utawakuta hapo baadaee chamsingi hivisasa tengeneza maisha yako ili baadaee uchukuwe utakae Mpenda
 
Hahahahah unantafutia ban naona!!!

Shikamoo tena na tena...




What!!!! Mkuu SMU wewe nawe umepotea sana humu sijui ni midlife crisis ama nini!????
marahaba mdogo wangu!
ahahahahhahhaa ukisikia verossa huna hamu!
ahahahahahahhahahhaha chaaa!ule uuuzi!ulikuwa kiboko!hebu kaufufue ulipo af ututag wote
 
mimi hakii mekumiss sana ,ufanye kunisalimia kwa kweli!
hemu do the needful!
call me Kaizer na Asprin na Mkirua na gfsonwin na Kongosho na madame amu yu name them!
wambie natamani kuwaona hata miandiko yao!
nimewamiss hakika!
but pls hebu anzisha tu uzi wa kutukusanya hata tujikumbushe VEROSSA!
Ni mimi hapa mwalimu, kwa maana umeniita.

Naahidi sitakuangusha, naomba watanzania waniombee
 
Ni mimi hapa mwalimu, kwa maana umeniita.

Naahidi sitakuangusha, naomba watanzania waniombee
ahahahhahahahha I MISS YOU SANA jamani,I miss our times na mawehu yale!
ahahahah dah!
miaka inaenda hakika but wat u guys tulikuwa nayo asee stays forever!
 
ahahahhahahahha I MISS YOU SANA jamani,I miss our times na mawehu yale!
ahahahah dah!
miaka inaenda hakika but wat u guys tulikuwa nayo asee stays forever!
Tatizo mwalimu ulizidisha unoko wanafunzi tukaona isiwe tabu.... tukahamia st. mtakatifu international english medium kwa masista school.

Kule hata Kaizer anafaulu hisabati hivi sasa....

Baada ya kusema hayo naomba nikufahamishe rasmi kuwa nilikumisi mpaka baioloji yangu ikagoma kufanya physical change.
 
Tatizo mwalimu ulizidisha unoko wanafunzi tukaona isiwe tabu.... tukahamia st. mtakatifu international english medium kwa masista school.

Kule hata Kaizer anafaulu hisabati hivi sasa....

Baada ya kusema hayo naomba nikufahamishe rasmi kuwa nilikumisi mpaka baioloji yangu ikagoma kufanya physical change.

hivi hommie unaweza kuniambia kwa uhakika kabisa kwamba huu uhakiki wa snowhite haukuhusu kisa upo sekta binafsi ya masista?
 
mimi hakii mekumiss sana ,ufanye kunisalimia kwa kweli!
hemu do the needful!
call me Kaizer na Asprin na Mkirua na gfsonwin na Kongosho na madame amu yu name them!
wambie natamani kuwaona hata miandiko yao!
nimewamiss hakika!
but pls hebu anzisha tu uzi wa kutukusanya hata tujikumbushe VEROSSA!

Wewe bwana husomeki siku hizi!!!

Hebu piga shairi kwanza ili babu afurahi.

Nimekumithi sana tu!
 
Tatizo mwalimu ulizidisha unoko wanafunzi tukaona isiwe tabu.... tukahamia st. mtakatifu international english medium kwa masista school.

Kule hata Kaizer anafaulu hisabati hivi sasa....

Baada ya kusema hayo naomba nikufahamishe rasmi kuwa nilikumisi mpaka baioloji yangu ikagoma kufanya physical change.
Siwi mnoko tena eeenh,mwambie Kaizer nae arudi
 
hivi hommie unaweza kuniambia kwa uhakika kabisa kwamba huu uhakiki wa snowhite haukuhusu kisa upo sekta binafsi ya masista?
Hhhhhahahahah huko sent mtakatifu goreti hakuna isssueee kitu kilo huku, pale kidumu pale Fagio LA chelewa kule ubuyu wa maji hapa sambusa za viazi!
Shaurilo!
 
1475119923870.jpg
 
Back
Top Bottom