Super!
Hahaha, mentor hujatulia ujue. Hebu nipe picha yangu uliyonayo kichwani, nisije nikatokea ukazimia ama kukimbia meza.
Hahaha, mentor hujatulia ujue. Hebu nipe picha yangu uliyonayo kichwani, nisije nikatokea ukazimia ama kukimbia meza.
Hahaha, mentor hujatulia ujue. Hebu nipe picha yangu uliyonayo kichwani, nisije nikatokea ukazimia ama kukimbia meza.
Halafu "K" zao zote kubwa!! Hakuna inayoanza na herufi ndogo.
Ila akiongea vizuri na mimi, nampeleka derekti hadi kwa Kongosho
Kaunga King'asti Kongosho
(an apology to th pervs who thought otherwiseπ)
Hawa wadada/wabibi/wamama wananivutia sana na nimechoka kuunda illusions kichwani mwangu.
Kila mara nionapo comments zao mm huvutiwa tu na kujua wameandika nn yani.
Honestly kama ningeweza ningependa walau kuwaona in real life mlivyo...ningefurahi sana.
And that is my wish before 2013 knocks...good morning.
Halafu "K" zao zote kubwa!! Hakuna inayoanza na herufi ndogo.
Heheheeee unataka K zao ? Jiite KmentorKaunga King'asti Kongosho
(an apology to th pervs who thought otherwiseπ)
Hawa wadada/wabibi/wamama wananivutia sana na nimechoka kuunda illusions kichwani mwangu.
Kila mara nionapo comments zao mm huvutiwa tu na kujua wameandika nn yani.
Honestly kama ningeweza ningependa walau kuwaona in real life mlivyo...ningefurahi sana.
And that is my wish before 2013 knocks...good morning.