Kofia nakuvulia, Mwalimu uko vizuri,sidhani hawasikii,japo nawajua kwa kiburi
watakuja niamini,sipe moyo kisirani
wasubiri waja na kheri,nawajua majirani
nawajua kwa jeuri japo waja ila wasubiri
Dogo una mistari, ya vina hata mizani,
Kwa hakika ninakiri, kipaji kiko damuni,
Imelazimu kukiri, bila ya donge rohoni,
Kilichochacha usambe, uzima wake ni moto.
Kofia nakuvulia, Mwalimu uko vizuri,
Vina umepangilia, na mizani iso shari,
Lugha umeipatia, kiswahili adhimuni
Hongera mwalimu wetu, Kwa ushairi tukuka
Hiyo kweli ni K.
Kofia bora uvae,mwalimu hana uzuri,Kofia nakuvulia, Mwalimu uko vizuri,
Vina umepangilia, na mizani iso shari,
Lugha umeipatia, kiswahili adhimuni
Hongera mwalimu wetu, Kwa ushairi tukuka
[emoji15] [emoji15] [emoji3] [emoji3] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji85] [emoji125]Hiyo kweli ni K.
[emoji23] [emoji23] [emoji23]...........kwani mnazungumzia K zipi mkuu?Duh mkuu..hatuko huko.
Hata hivyo ngoja nmkuitie: Miss Natafuta aaaaaaaaaa
Ewaa mkuu hizi zote nimezishika tangu utotoni...
Mwalimu upo vizuri, heko ninakupatia
thamani yako uturi, vito havitofikia
wambie wache kiburi, K ninawangojea
peupe pasi na siri, Mentor ninawaitia!!!
Kausha damu je?Kaunga King'asti Kongosho
(an apology to the perverts who thought otherwise😕)
Hawa wadada/wabibi/wamama wananivutia sana na nimechoka kuunda illusions kichwani mwangu.
Kila mara nionapo comments zao mimi huvutiwa tu na kujua wameandika nini yani.
Honestly kama ningeweza ningependa walau kuwaona in real life mlivyo...ningefurahi sana.
And that is my wish before 2013 knocks...good morning.