Sio Jack Daniel tu. Ni karibia whiskey zote.hazina hangover.Jack Daniel unakunywa sa11 sa1 asbh unaamka unaenda kazin huna hangover wala nini.
Jaribu GRANT'S pia utanishukuru
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio Jack Daniel tu. Ni karibia whiskey zote.hazina hangover.Jack Daniel unakunywa sa11 sa1 asbh unaamka unaenda kazin huna hangover wala nini.
Achana kabisa na K Vant. Nliendaga kwetu migombani nikajiapiza sitatoka na motokaa mpaka siku narudi Dar. K Vant ikanituma twenzetu Mamsera... nikapiga mtungi nikasahau nimeenda na motokaa. Nikapanda boda mpaka home. Asubuhi nastuka sioni motokaa... nikaenda kuripoti polisi wizi wa motokaa...mUkienda bar ukanywa Kvant utakuja tu kujikuta umeamka nyumbani kesho yake. Kumbukumbu ya mwisho ni kuwa ulikuwa bar fulani ukaagiza kvant.
Ndio maana babu yangu Asprin huwa yeye kvant yake ananitumaga nimletee nyumbani. Akinywa anasahau shida zake.
Kwaiyo unataka kwenda mbiguni na figo mpya?Wewe endelea kunywa pombe siku Figo ikifeli ndio utajua hujui.
Sitosahau hii kitu ktk maisha yangu yoteWe kunywa bia tuu ,k vant waachie wao wenyewe ,k vant haijawai kuwa na mwisho mzuri, kama ujapoteza simu basi umepasua kioo au imearibika vibaya, kama hamjapigana na wale ulioenda nao basi umekwaruzana na muhudumu au meneja ,kama hujamshika mtu makalio basi kunatukio tu utakuwa umelifanya linalofanana nalo kama hukupata ajari basi kulala kituoni ni kawaida.
K vant nilishaachana nazo nimerudi kwenye konyagiBinfsi ni mpenzi wa Konygi na Viceroy
Hanson Choice ipo vizuri sana hiyo
Bei yake tafadhariHanson Choice ipo vizuri sana hiyo
Kawaida TU hata usiiogope made in shinyanga bt east Africa Spirit Bei around 4500-7000Bei yake tafadhari
Drink at your own risk.Kwaiyo unataka kwenda mbiguni na figo mpya?
Ulijinyea sema unaficha mkuu poleK Vat dah hapana kwangu ilinizimisha ilikuwa bado kidogo nijinyee shikamoo kvat na kwa kheriiiiiii
Hasa hizi chupa ndogo za konyagi na kvant yani feki zipo mpaka kwenye maduka makubwa,nimeachana na hayo makalakali,yani usiombe ukagongana na hiyo feki ukinywa hata chupa ndogo moja utalewaeea siku tatu.Sasa hivi ugonjwa wa kufeli Figo ni namba nne.
1. Kisukari
2. Presha
3. Ukosefu wa nguvu za kiume
4. Kufeli kwa Figo
Kumbuka Kuna pombe Kali nyingi Sana feki mtaani wanazotengeneza wachina majumbani. Zina sticker za tra na chupa halisi.
Especially konyagi, K vant na Hennessy.
Drink at your own risk.
Hilo la K Vant kusababisha tatizo la kusahau ni HUJUMA ya wapinzani dhidi ya kinywaji changu kitamu cha K Vant! Nina mwaka wa tano sasa nakunywa K Vant na nipo fiti kwenye memory.Wakuu, wote tunajua pombe zina athari nyingi ingawa pia zina utamu wake.
Mimi ni mnywaji wa pombe ingawa hazijawahi kunisumbua kwa maana ya kuwa addicted ila nikinywa siku yoyote naenjoy tu. Sijawahi kuwa mpenzi wa konyagi au pombe za aina hiyo.
Juzi juzi hapa nilipiga K Vant, ilinipeleka sana aisee. Na kwa siku kadhaa baada ya hapo nilikuwa nasahau sahau tu vitu ovyo. Niliwahi kusikia hii pombe ina matatizo hayo. Je, ni kweli yanawatokea wengi na ni ya muda mrefu au ni kama sehemu tu ya hangover?
Inafaa kuimix na nnKawaida TU hata usiiogope made in shinyanga bt east Africa Spirit Bei around 4500-7000
Vipande vya barafuInafaa kuimix na nn