Kaanzisha mahusiano mengine akiwa na mimba

Kaanzisha mahusiano mengine akiwa na mimba

Dah ! Dunia ina watu wenye ujasiri. Yaani unamuacha mtu uliyedumu nae miezi kadhaa tena ukiwa na kiumbe wake kwa ajili ya mwanaume uliyekuwa nae kwa wiki tena ukiwa na kiumbe cha mtu mwingine tumboni.

Sioni huyu dada akiwa na mwisho mzuri. This i guarantee you. Atakuja kukulia when it's too late.
Hata mimi mwenyewe nimeshangaa ujasiri huu kaupata wapi.
 
Ni kweli mabadilko ya hormones yanaweza kumfanya mwenye mimba yako akuchukie na kuhama nyumbani mpaka atakapo jifungua.....
Na mengineo mengi.....

Nenda naye atakavyo kwa sasa....kulinda afya ya mtoto....
Daah kweli ujauzito unaweza kumfikisha mtu katika step hii? Basi kama ni hivyo hii ni hatari.
 
Mmmmh Mkuu hiyo mimba yawezekana sio ya kwako kabisaaa, jaribu kufuatilia kwa ukaribu
 
Don't take a serious every word from woman ,unauhakika kwamba anamtu mwingine? kama anae how you can prevent it? Cha msingi mtafute ukimkumbuka mtimizie anachokitaka, Fanya mambo yako ya muhimu,
Don't take seriously
 
Kuwa mvumilivu ujauzito unatubadilisha sana wanawake......
Subiria mtoto azaliwe ndio ufuate sheria.....

Kama kuhakikisha jina lako liko kwenye cheti za mtoto......mengine yatafuata.

Usiache kuhudumia kwa sasa....
Uvumilivu huo wa vp tena na kombe lake linaondoka, kbaya n wk m2 tu je hio miezi m5 iliyobaki
 
Kwa mazingira ninayoyafahamu najua ni yangu, labda kama kuna namna nyingine nisiyoijua
Huyo Dada hakuheshimu hata kidogo. Kama ana ujasiri wa kukuambia hawezi kukutambulisha nyumbani kwao maana take huna hadhi ya kuwa naye.
Mwanamke ambaye hajisikii fahari kuwa na wewe basis fahamu ukimpa mgongo atafanya vitu vingi vyenye ukakasi dhidi yako.

Nakushauri kubali matokeo achana naye. Umejitahidi kadri ya uwezo wako ila amekukataa. Ila usishangae huko mbeleni akarudi kwako analia.
 
Huyo Dada hakuheshimu hata kidogo. Kama ana ujasiri wa kukuambia hawezi kukutambulisha nyumbani kwao maana take huna hadhi ya kuwa naye.
Mwanamke ambaye hajisikii fahari kuwa na wewe basis fahamu ukimpa mgongo atafanya vitu vingi vyenye ukakasi dhidi yako.

Nakushauri kubali matokeo achana naye. Umejitahidi kadri ya uwezo wako ila amekukataa. Ila usishangae huko mbeleni akarudi kwako analia.
Ni kweli mkuu, pengine kakwepa ili amtambulishe mwenye hadhi atakayo, ndio aonekane.
 
Don't take a serious every word from woman ,unauhakika kwamba anamtu mwingine? kama anae how you can prevent it? Cha msingi mtafute ukimkumbuka mtimizie anachokitaka, Fanya mambo yako ya muhimu,
POINT
 
Ukimpenda sanaaaa na ukamsikiliza sanaaaaa atakuchukulia poa sanaaaa matokeo yake atakutreat vyovyote.
Japo ngumu ila jaribu kumpuuza,usimtafute kwa simu wala njia yoyote,mfanye ajue kua to you ni kama kafariki ila mjulishe nia yako ya kumpima mtoto DNA akizaliwa.
Atajaribu kujirudisha after some time,Nina uhakika.Ila kamwe,narudia tena KAMWE usimrudie!
 
Kuwa mvumilivu ujauzito unatubadilisha sana wanawake......
Subiria mtoto azaliwe ndio ufuate sheria.....

Kama kuhakikisha jina lako liko kwenye cheti za mtoto......mengine yatafuata.

Usiache kuhudumia kwa sasa....
Kwaiyo nikubari wakapige machine kwingine
 
Hyo mimba si yako mkuu achana nae huyo
 
Kuna wanaume wenzetu ni wajinga sana.
Nashindwa kuelewa hata huyu jamaa anakwamia wapi, mimi mwanamke aniambie Sikutaki tuachane! Wala hata siulizi, mbaya zaidi akileta ushenzi unaopelekea kuleta maana ya Huna Hadhi ya kuwa na mimi, wala siwazi mara mbili.

Au nimeshakuwa Malaya!?
 
Back
Top Bottom