Kaanzisha mahusiano mengine akiwa na mimba

Kaanzisha mahusiano mengine akiwa na mimba

Wewe jitahmini na kujirekebisha, kuna kitu amekiona kwako na kuhitimisha kwamba wewe hauwezi ukawa baba mwema kwa mwanaye.
 
Mwanangu, hakutaki huyo. Mwache kabla hayajakukuta makubwa.
 
Wewe jitahmini na kujirekebisha, kuna kitu amekiona kwako na kuhitimisha kwamba wewe hauwezi ukawa baba mwema kwa mwanaye.
Pengine sijameet standards.
 
Ni kweli mabadilko ya hormones yanaweza kumfanya mwenye mimba yako akuchukie na kuhama nyumbani mpaka atakapo jifungua.....
Na mengineo mengi.....

Nenda naye atakavyo kwa sasa....kulinda afya ya mtoto....
mmh sijawahi kuona mimba za hadi kucheat aisee, yani kaamua kuwa na bwana mwingine kisa mimba? duh
 
Sidhani kama ame msaliti ...amemalizana Naye ndio akaanzisha mahusiani mengine.

Nina shuhuda ndio maana nikasema wengine wanahama nyumbani...(walikuwa kwenye ndoa)....mpaka anapojifungua....

Sababu ni walitokea kuwachukia na kukasirishwa na Waume zao kwenye vitu vidogo sana......ila kero zilikuja potea baada ya kujifungua....
mmh sijawahi kuona mimba za hadi kucheat aisee, yani kaamua kuwa na bwana mwingine kisa mimba? duh
 
Sidhani kama ame msaliti ...amemalizana Naye ndio akaanzisha mahusiani mengine.

Nina shuhuda ndio maana nikasema wengine wanahama nyumbani...(walikuwa kwenye ndoa)....mpaka anapojifungua....

Sababu ni walitokea kuwachukia na kukasirishwa na Waume zao kwenye vitu vidogo sana......ila kero zilikuja potea baada ya kujifungua....
labda kama tumeelewa tofauti, ila mimi nilivyoelewa ni kamba walikuwa tayari wana mawasiliano mpaka jamaa akamkataza kumbe waliendelea, hvi kweli mtu mmeachana leo baada ya wiki anakwambia yupo na jamaa waliokuwa wanawasiliana nae, mmh hapana kwa kweli
 
Mshukuru sana Mungu kwa kukuepusha na kisirani ktk maisha yako. Ni zamu yako sasa na wewe ku block mawasiliano yote na kumsahau na kuanza safari mpya. Usiwe ndezi mimba ni ya baba anaeilea.
 
Ndio mapenzi ya sasa...alimtamkia tumeachana......mwenzake akadhani utani sio....
Ningependa atuletee mrejesho mambo yakibadilika wengine tujifunze hapo.
labda kama tumeelewa tofauti, ila mimi nilivyoelewa ni kamba walikuwa tayari wana mawasiliano mpaka jamaa akamkataza kumbe waliendelea, hvi kweli mtu mmeachana leo baada ya wiki anakwambia yupo na jamaa waliokuwa wanawasiliana nae, mmh hapana kwa kweli
 
Kwa mazingira ninayoyafahamu najua ni yangu, labda kama kuna namna nyingine nisiyoijua
Wewe huna any scientific means as per now to prove beyond reasonable doubt kwamba mimba ni yako. Achana na kung'ang'ana na vitu vya kitoto chapa lapa tafuta wanawake wengine.....Demu alikuwa anawachezea double action sasa mchzi kasomeke zaidi yako wewe chapa lapa.
 
Wewe huna any scientific means as per now to prove beyond reasonable doubt kwamba mimba ni yako. Achana na kung'ang'ana na vitu vya kitoto chapa lapa tafuta wanawake wengine.....Demu alikuwa anawachezea double action sasa mchzi kasomeke zaidi yako wewe chapa lapa.
Sawa mkuu
 
Ndio mapenzi ya sasa...alimtamkia tumeachana......mwenzake akadhani utani sio....
Ningependa atuletee mrejesho mambo yakibadilika wengine tujifunze hapo.
Nitaleta mrejesho, baada ya miezi 5 kutoka sasa, kama amezaa ama la, maana simuelewi elewi, bado namtazama.
 
Subira yavuta kheir

Kwanini usimpotezee ukavuta subira dunia ikimfunza atarudi
 
Huyo utoto unamsumbua mvumilie tu
 
Ilikuwa ngumu mkuu kupotezea akiwa na kiumbe, ambacho nina imani ni changu, ila hii ya sasa hivi naona imezidi kipimo.
kuna wanaume ni wa pole sana jaman hongera sana ila utandeshwa kama gari bovu mpaka uyo mtot azaliwe
 
Ahudumie nini Sasa wakati mwanamke ni kisirani? Huyu mwanamke hajakutana na wanaume watata. Halafu acheni kuwa mnasingizia eti mimba inamuendesha. Mimba haibebwi kichwani.
Kuwa mvumilivu ujauzito unatubadilisha sana wanawake......
Subiria mtoto azaliwe ndio ufuate sheria.....

Kama kuhakikisha jina lako liko kwenye cheti za mtoto......mengine yatafuata.

Usiache kuhudumia kwa sasa....
 
Ahudumie nini Sasa wakati mwanamke ni kisirani? Huyu mwanamke hajakutana na wanaume watata. Halafu acheni kuwa mnasingizia eti mimba inamuendesha. Mimba haibebwi kichwani.
[emoji846][emoji846][emoji846]
 
Back
Top Bottom