Kaanzisha mahusiano mengine akiwa na mimba

Sawa mkuu...
 
Hayo maneno tu mkuu...Kama ana mimba bhasi hilo jamaa linamtumia tu itakuwa demu wako mshamba hajui tabia za Madoctor kuna siku atarudi analia Mrudianw mkuu amini nakwambia... Wanawake akili zao hizi achana nazo usitake serious maneno yake lakini kwa hili analofanya Hakika move on damu ya mtu haipoteo kamwee...
 
Daah kweli mkuu, ngoja nisitake sana serious
 
Mwache aende ..atarudi mwenyewe tu tena kwa magoti
 
Pole kwa yote endelea na mambo yako mengine yatajulikana mbele kwa mbele.
 
Duh aiseee mademu bana wakati mwingine akili zao wanazijuaga wenyewe
 
Wapo tu mkuu
Vijana wa sasa kuna sehemu mnakosea nayo ni kuchukua mwanamke bila kumjua vizuri mnachojua ni kutongoza kuchomeka na kutia mimba hamjui kama huyo mwanamke dish liko sawa au mwezi mchanga
 
Nashindwa kuelewa hata huyu jamaa anakwamia wapi, mimi mwanamke aniambie Sikutaki tuachane! Wala hata siulizi, mbaya zaidi akileta ushenzi unaopelekea kuleta maana ya Huna Hadhi ya kuwa na mimi, wala siwazi mara mbili.

Au nimeshakuwa Malaya!?
Ndiyo mkuu
 
Hilo lina ugumu gani hadi uulize huku kwanza una uhakika gani kuwa mimba ni ya kwako.
Huyo achana naye endeleza mishe zako hivi wewe ni kijana au mtu mzima.
Acheni kutuaibisha wanaume.
 
Utoto unamsumbua

Anaumri gani huyo binti? Na wewe una umri gani?
 
asisubiri mtoto azaliwe, kama kweli ana uhakika mimba ni yake na kwa hali ilivyo aende kwa wazazi wa binti sasahivi akaeleza kilichotokea na maamuzi na maneno ya binti yao na awambie kabisa kama binti yenu hanitaki ni sawa, na kama nyinyi pia mnaona sifai pia ni sawa lakini damu yangu kamwe haiwezi kuwa ya mtu mwingine alafu mimi ndo niwe kivuli, ijulikane mapema kabla mtoto hajazaliwa ili hata kadi la hospitali mtoto aandikwe jina la baba halisi wa mtoto
 
Nachukua ushauri huu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…