Kabakwa live


nakubali kabisa, kwa hiyo our problem is in the definition of what constitutes kutongoza au siyo?
 
Yule dada alidhani opportunities come by chance!!!! Opportunities are created bwana!!!! Asingemwita jamaa chumbani na kumtegatega angepata wapi huduma hii adhimu na adimu hasa kwa mtu kama yeye ambaye ni mke wa mtu!!!!
 

Can not buy this stuff ni Urongo huu......niliwahi kuusikia mahali
 
Jamaa hana huruma na mama wa watu, anajua kabisa jirani yake hajapata huduma muda mrefu akawa anampotezea tu. Jamani tuhurumiane, mtu anakula anashiba halafu hafanyi kazi unafikiri chakula kinaenda wapi?? Lazima mwili utahitaji mahitaji yake yote....
 
yaani ulipossema kubakwa nikazani mdada atambaka kumbe nduguyo ni yai sasa huo ugumu wa kuttolala na wake za watu umekufa ila ni kweli hapa duniani kulala na wake za watu aombe mungu mumewe asiwe wa kuumiza as atajutaaaaa na na hisi hawakutumia mpira labda mimba imeingia hapo au alijikinga?
 
Ngoja awe amenasa na mimba ndo patakuwa patamu hapo
 
Umeitunga vizuri hadithi yako. Inaelekea unaota mpangajo mwenzio afanye hivyo. Unaweza kunawa lakini usile.
 
teh teh teh! Hapo walikuwa wanasubiri oportunity kama hiyo. Jiulize kama ingetokea hivyo kwa mama yake au dada yake kwa bahati mbaya wakati anaenda bafuni, will he do the same?

Hapo sasa
 
Huyo jamaa kwa udhaifu aliouonyesha anaeweza hata kusaini hati ya nyumba kwa uyo mwanamke; kisa uroda wa kitonga (aka mteremko/free)
 
Jamaa inaonekana naye alikuwa anataka ila akakosa pa kuanzia sasa mwanamke alimrahisishia...maana hakuna na hisia na huyo mwanamke shughuli isingeweza kuanza kwa ghafla hivyo..na mguu wake wa katikati muda wote wanapanga pangua fanicha tayari ulikuwa umekasirika unasubiri kwann hautendewi haki.angeweza kupotezea.
 
Nadhani mkuu umechanganya habari, pengine heading hii sio ya habari hii. Mtu aliebakwa haezi omba aongezewe dozi acha uzushi wewe.
 

Angeweza tu kukimbia tu...Mbona Yusuph alikimbia tena akaacha na nguo yake! sembuse yeye amevaa suruali yake...na yeye tu alikuwa anatamani!
 
Hapo ni kutafuta wapi mlango ulipo, yaani ni kutoka mbio kama zile za kufukuza mwizi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…